matatajungu
Member
- May 10, 2016
- 39
- 17
-Squatters
-income levels ie mostly wa kipato cha kati na chini ndio wengi
-Social services (maji umeme barabara)
-Other factors kama civilisation
-Entry point ambapo tunasema tangu awali ilionekana ni makazi ya watu wakawaida.
-Usalama
Etc etc
Ardhi ya Dar es Salaam haijapimwa kwa asilimia 90..Next time usiende nje ya mada ,jaribu kuelewa mada kwanza ndipo uchangie vizuri ,kwenye chit chat huko unaweza kuchangia chochote lakini kwenye mijadala ya kujenga ni kujikita kwenye context....
Ukiona mtu anatukana tukana hovyo hovyo uje hana hoja ya msingi.
Swali: Kwanini ardhi ya mbagala haina thamani?
Jibu Langu: Kwasababu ardhi ya mbagala haijapimwa.
Jibu lako: Ardhi ya Tanzania 90% haijapimwa 😀 .
Ardhi ya Dar es Salaam haijapimwa kwa asilimia 90..
Na yapo maeneo ya Mbagala yamepimwa, kama unabisha nilete ushahidi hata wa Google map.
Mshamba hachekwi
Powerful[emoji1752]Ukweli ukanda huo haujawahi nivutia kuishi kwa kuwekeza, japo huwa siweki agano la kukataa kujenga, sababu maisha hayatabiriki.
Ukisoma historia wanasema kuchanja chale ilikuwa ni deformation ya nyuso zao kipindi cha biashara ya utumwa ili wasichukuliwe na wareno kwenda ulaya,sasa wareno walikuwa hawataki mtumwa mwenye kasoro kwenye mwili kwahiyo zile chale ndio zikawa manusra yao kutoenda utumwani ureno na brazil nk kwani walikuwa wana tisha na kuonekana sio wazima...[emoji23]Wapo Wamakonde kibao kutoka Mtwara waliokuwa wanachanja chale aliyekudanganya sijui nani?
Kifupi enzi za milki ya Kilwa kulikuwa na Wamakonde wengi kutoka mji wa Mikindani walioenda kuomba katika mji wa Kilwa.
Baadae Mikindani ikakua na Wamakonde waliopo Mwambao mwa bahari kupokea dini ya kiislamu na kuacha tamaduni zao hasa kuchanja.
Hivyo kujulikana kama Wamakonde Marhaba ambao wanatofautiana na wale waliopo bara maeneo kama Masasi, Nangomba, Nanyumbu, Newala na Nanyamba.
Hali hii ilitokea hivyo hivyo na Mozambique kwa jamii za kimakonde zilizopo Pwani maeneo kama Jimbo la Pemba.
Hivyo kuweka ndonya na kuchanja ni Utamaduni wa Wamakonde wote ila kwa Sasa wameuacha.
N.B Lindi wenyeji ni Wamwera
Kilwa wenyeji ni Wamatumbi na Wangindo.
Tunduru wenyeji ni Wayao
N.B hii PHD ulikaa darasani au ulinunua?
Kivipi?Tatizo uislam
Wareno tu ndio waliofanya biashara ya Utumwa?Ukisoma historia wanasema kuchanja chale ilikuwa ni deformation ya nyuso zao kipindi cha biashara ya utumwa ili wasichukuliwe na wareno kwenda ulaya,sasa wareno walikuwa hawataki mtumwa mwenye kasoro kwenye mwili kwahiyo zile chale ndio zikawa manusra yao kutoenda utumwani ureno na brazil nk kwani walikuwa wana tisha na kuonekana sio wazima...[emoji23]
Kuna Dar es Salaam master plan au Dar es salaam city master plan.Tuma Town Plan inayoonyesha kwamba mbagala kuna sehemu kabisa imepimwa ,acha hawa wapimaji matapeli wanaowadanganya wananchi ,nataka za projects eirther ardhi au manispaaa au halmashauri.
Kuna Dar es Salaam master plan au Dar es salaam city master plan.
Lini uliambiwa Mbagala ni Town?
Ilipewa lini hadhi ya Town?
Yapo maeneo yamepimwa najua picha JF hazifunguki ningetuma.
Mbagala Rangi tatu na Zakhiem upande wa biasi kabla hujafika kiburugwa.
Mbagala Sabasaba
Mbagala Kipati
Vikunai
Kumbuka Mshamba hachekwi, urudi mbwinde ulipotokea