Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Low wages
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho tunapita maeneo na hayo tunawarushia maji ya kunywa. Kawadanganye wasiofika huko. Kwa ufupi mkoa wa Arusha robo tatu ya wakazi wake ni chokambaya tu.una haki ya kukataa kwa sababu haujawaza kwa kina,yale maeneo la longido na loliondo,hasa loliondo juu ya ardhi yake,wanapishana watu kutoka mataifa mbalimbali duniani{watalii na watafiti mbalimbali wa kibailojia na ekolojia-mazingira}watu wanaopita pale ni kama wanaishi pale kwa kuwa wakiondoka hawa wanarudi wengine,,,,,then watu wenyewe hao watalii ni matajiri wakubwa sana,wacheza flam maarufu{nazungumzia level ya kina J-ZEE na BILL GATE,,,sawa mzee!!!sasa njoo kwa wenyeji wanaoishi pale{wamasai} wamasai ni matajiri sana kwa tamaduni na mila zao, na hauwezi kukuta mshirikina wa kimasai,,,na hata siku moja hauwezi kuta mmasai ana mambo ya kiswahiliswahili kama ya umbea,kusengenyana,chuki zisizo na sababu n.k lakini ukiacha hilo wamasai ni matajiri sana kwa mifugo...unaweza kukuta mmasai anamiliki makundi kwa mamia ya mifugo kama ng'ombe,mbuzi kondoo n.k......."jifunze kufikiri kwa kina jamaa"
Kwani Mbagala ipo mbeya?
Eti duni daah,[emoji23]Zamani Wakazi wa mikoa mbalimbali ilikuwa ni utamaduni kukaa mwelekeo wa kwao, kwahiyo zone hiyo wamejaa makabila duni ya wamatumbi, wandengereko na wamakonde na hata mabus ya njia hiyo sasa hivi ndio angalau kuna hizi Youtong luxury, lakini mabasi ya kipindi cha nyuma njia hiyo ni hovyo kabisa.
Umechambua vizur sanaWapo Wamakonde kibao kutoka Mtwara waliokuwa wanachanja chale aliyekudanganya sijui nani?
Kifupi enzi za milki ya Kilwa kulikuwa na Wamakonde wengi kutoka mji wa Mikindani walioenda kuomba katika mji wa Kilwa.
Baadae Mikindani ikakua na Wamakonde waliopo Mwambao mwa bahari kupokea dini ya kiislamu na kuacha tamaduni zao hasa kuchanja.
Hivyo kujulikana kama Wamakonde Marhaba ambao wanatofautiana na wale waliopo bara maeneo kama Masasi, Nangomba, Nanyumbu, Newala na Nanyamba.
Hali hii ilitokea hivyo hivyo na Mozambique kwa jamii za kimakonde zilizopo Pwani maeneo kama Jimbo la Pemba.
Hivyo kuweka ndonya na kuchanja ni Utamaduni wa Wamakonde wote ila kwa Sasa wameuacha.
N.B Lindi wenyeji ni Wamwera
Kilwa wenyeji ni Wamatumbi na Wangindo.
Tunduru wenyeji ni Wayao
N.B hii PHD ulikaa darasani au ulinunua?
Kama hata lugha ya dhihaka hujui ndio utajua maana ya elimu?Unajua maana ya mipaka? Unajua Thread inazungumzia nini? Elimu Elimu Elimu.
Rudi usome title kwanza.
Wabongo elimu yetu ni mbovu sana inafundisha watu kukariri badala ya kuelewa.....Kuna Dogo ametred sana week hii anatoka fedha mshindi wa tatu hesabu ,elimu ya TZ ikifikia ikawa na wanafunzi kama wale aisee tungefika mbali.
Tatizo tuna vijana empty set wa kutosha ndiyo maana viongozi wanatubuluza tu....imagine thread inazungumzia mbagala kwanini ardhi yake aina thamani halafu mtu anaanza kuzungumzia mambo nje ya mada na kutaka kujikita huko.
Shukrani mkuu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Umechambua vizur sana
Kama hata lugha ya dhihaka hujui ndio utajua maana ya elimu?
Mjinga ni mjinga tu
Elimu elimu elimu yenyewe hata huna
Ndio maana huna akiliLengo langu ni kwamba ujikite kwenye muktadha na sio kupayukapayuka! Kwanini Ardhi ya mbagala haina thamani? Jibu langu lilikuwa kwasababu mbagala haijapimwa means wakazi wa huko wanaishi Uswekeni kwenye skwata.....skwata haiwezi kuwa na thamani....sasa sijui mambo ya Mbeya uliyatolea wapi.
Fuatilia ujue, kambi ilipelekwa kwannSi kuwa wao wameikuta kambi?
kwa taarifa yako,ata NEWYORK kuna ombaomba,nenda NAPOLI,ONTARIO,MILAN,LONDON,kote huko kuna ombaomba,INDIA nchi yenye watu wengi na utajiri mkubwa,ikifika usiku baadhi ya mitaa inafungwa ili maskini walale bararani.....njoo posta ,samora avenue ndani ya jiji la DSM karibu na IKULU utakutana na ombaomba,,,,wewe jamaa vipi?.....vutaga bange kidogo basi akili yako ikawe sawa!!!!Hakuna kitu kama hicho tunapita maeneo na hayo tunawarushia maji ya kunywa. Kawadanganye wasiofika huko. Kwa ufupi mkoa wa Arusha robo tatu ya wakazi wake ni chokambaya tu.
ushirikina ni kumshirikisha MUNGU na hayyawani wengine ambao mawakala wa shetani kama waganga majini wabaya,vinyamkera n.k,mawakala wa MUNGU ni malaika,wachungaji,masheikh,mapadre,masista,n.k....sasa nakuuliza ulishawai kumwona mganga wa kimasai{wao ni watu wa mitishamba, na sio wapiga ramli kama wewe,ulishawai kwenda kwa mganga ukakutana na mmasai wewe mwenye akikli isiyo ganda!!!mmasai sio maskini weweeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!! zunguna miji yote TANZANIA kama utakutana na ombaomba mmsai,narudia zunguka nchi nzima kama utakutana na ombaomba!!!!!,,,swali la wazungu kuhesabiwa siwezi kukujibu manake limekakaaa kimlendamlmenda.........................................kanuse ugoro labda utakaa sawa!!Kwa hiyo wamasai hawana ushirikina?
Ushirikina kwako ni nini?
Kwa Wamasai ni Matajiri?
Wale Masikini kule ni Wasomali?
Wazungu kwa hiyo wanaopita wote kwenda Selous na wenyewe wahesabiwe?
Hizi ni mawazo mgando na akili mgonyoko tu, ndio mtu atawaza hivyo.
Ndio maana huna akili
Kasome tena kwa nini uliulizwa hilo swali
Mshamba hachekwiElimu Elimu Elimu ,Ujuaji mwingi kumbe empty set aka Zero Brain ,watu wanazungumzia mbagala kisha unaleta ushamba wako ,ndiyo tatizo la kuja mjini na gari ya mizigo.
Kwasababu baada ya Kila nyumba Moja jalala!!Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi, miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Thamani kwako ni shilingi ngapi?Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi, miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Mshamba hachekwi
Tatizo meaneo mengi hayajapangiliwa hivyo kuwa vigumu kupitisha miundo mbinu kama vile Barabara maji umeme ambavyo ni muhimu viwepo ndipo thamani ipandeMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi, miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Kufanya makazi ni mojawapo ya kutafuta pesa piawapo wachaga lkn ni very few. Anyway, uchagani kuna uhaba wa ardhi hivyo mchaga akitoka tu, kitu cha kwanza ni kupata ardhi. Ndiyo maana wamjzana kila mahali. Makabila mengine walikuwa na ardhi tele, hivyo mtu alitoka kuja kutafuta hela na kurudi kwao, siyo kufanya makazi