Kwanini asilimia 98 ya watanzania wanaojua Kingereza wanaongea Broken!! Tumerogwa au

Kwanini asilimia 98 ya watanzania wanaojua Kingereza wanaongea Broken!! Tumerogwa au

Mshangae mtu akishindwa lugha yake lakini hizi za kujifunza ukubwani. Kuchapia kupo maana siyo lugha yako lakini bwana yule alizidi alafu "eti" alikuwa na PhD.
umemweleza vizuri sana.

Na ashangae pia kwanini bazungu, bahindi na bakongoman (akina patcho mwamba) wengi hawaongei kiswahili kilichonyooka licha kuishi dar miaka chungu mzima?
 
Hili ni tatizo la mitaala yetu Wala sio tatizo la wazungumzaji.

Tumechanganyikiwa , msingi tunasoma kwa kiswahili Kisha Sekondari Kiingereza.

Breakthrough (sijui kiswahili chake) ya lugha ni kati ya umri wa 1-10.

Na tuliowengi Kiingereza ni lugha yetu ya tatu. Na hili haliathriri uzungumzaji wetu tu. Linaenda mbali na kuathiri hata confidence yetu.

Tuamue moja, kutumia kiswahili au Kiingereza ngazi zote.
Daah mkuu ulipotea [emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken si sana mfano waziri wa elimu Prof. Ndalichako, hata Lissu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.

Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr. Lwaitama anachapia Kingereza.

Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya Serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, Somo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema Lissu anawahutubia mabeberu siyo watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Idiot, mjapani, Chinese, Russian, German, Italian, France, Americans, Canadian, Brazilian mbona wote hao huwa hawaongei kingereza fasaha kama original Scotland and Wales. Wewe umezoea kuwaona waswahili tu na broken zao hao mataifa mengine ungekuwa unaelewa accent zao huwa wanaongea broken English lakini ujumbe unafika vizuri sana. Akili uliyo nayo ni slaves mentality. Hata Pope Francis ukimusikiliza anaongea English huwa anachapia Sana lakini ujumbe unafika maana siyo lugha mama.
 
Kingeleza sio lugha yetu hatatukiongea broken... Sawa warusi wanaongea broken Eng. Wachina the same why tunakuwa washamba kiasi hiki...?
 
Hata Waingereza wanaojua Kiswahili karibia 98% yao wanaongea Iliyofunjika.. Na hawajarogwa.
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken si sana mfano waziri wa elimu Prof. Ndalichako, hata Lissu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.

Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr. Lwaitama anachapia Kingereza.

Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya Serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, Somo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema Lissu anawahutubia mabeberu siyo watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Kwani kiswahili tu chenyewe wanaongeaje,
Hayupo ...ayupo
Haleluya ...aleluya
Hakubaliki ...akubaliki
 
Kabla hujawaza kuhusu kingereza, Kiswahili unakijua?
 
Kwa wale waliopikwa seminari na wakakubali kupikwa, wana grammer nzuri.
 
WAMASAI ndio kabila pekee ambalo watu wake wanaojua kimasai wanaweza kutamka maneno ya kiingereza kwa usahihi.

Kuna sababu za kimsingi na utafiti ulifanyika kwa Kenya na Tanzania

Makabila mengine yote kuanzia Nigeria, India, Ghana na sehemu zingine duniani haziwezi kupronounce maneno vizuri.
 
Kuna shida Gani, Sasa hivi suala la kuongea Kingereza limezidi kuwa kubwa kadiri siku zinavyozidi kusogea, Sasa hivi yani watanzania wengi Wana elimu ya form four au six , Ila wengi hawajui Kingereza, na hao wachache wanaojitahidi au tumasema wanakijua asilimia kubwa zaidi ya 98 ukiwasikiliza wanaongea Broken English japo anaeleweka lakini broken si sana mfano waziri wa elimu Prof. Ndalichako, hata Lissu ana kizungu kizuri lakini anachapia akiongea muda mrefu, mama Samia anaupiga mwingi kwasababu anasoma, katika kusoma ni rahisi kuliko free style.

Wakenya wanafanyaje, na hizi aibu zetu tunaziweka wapi, sababu hata Mwalimu wa lugha Dr. Lwaitama anachapia Kingereza.

Wanaosoma shule za English Medium ni wachache mno 0.0x , wengi ni mashule ya Serikali ambapo hata walimu hawajui Kingereza, Somo la English linafundishwa kwa kiswahili , yaani wanafundishwa cha kujibia mtihani.

Ukienda You tube , Mtanzania akaongea Kingereza atapata comments mbaya sana, Kuna wakati Hadi wanasema Lissu anawahutubia mabeberu siyo watanzania.

Angalau Mkapa alikuwa anakipiga chenyewe
Bado unadai asilimia 98 wanajua kiingereza kama kimepondwa? Ni kwamba hawakijui.
 
Idiot, mjapani, Chinese, Russian, German, Italian, France, Americans, Canadian, Brazilian mbona wote hao huwa hawaongei kingereza fasaha kama original Scotland and Wales. Wewe umezoea kuwaona waswahili tu na broken zao hao mataifa mengine ungekuwa unaelewa accent zao huwa wanaongea broken English lakini ujumbe unafika vizuri sana. Akili uliyo nayo ni slaves mentality. Hata Pope Francis ukimusikiliza anaongea English huwa anachapia Sana lakini ujumbe unafika maana siyo lugha mama.
 

Attachments

  • VID-20220131-WA0060.mp4
    9.8 MB
Back
Top Bottom