Kwanini asilimia kubwa ya viongozi wanawake wakubwa Serikalini na taasisi zake wengi hawana waume?

Unachezea kuwa na mme
Kuna upungufu wa wanaume na demand ni kubwa kuliko supply
 
Kadili mwanamke anavyozidi kupanda ngazi kielimu, kiuchumi au kimadaraka ndivyo anavyozidi kupoteza sifa za kuwa mke bora.
 
Ningewajua ningeenda nikajaribu bahati yangu !
 
Umefanya utafiti wa sample ya viongozi wangapi wa kike?

Unaposema asilimia kubwa, una maana gani?

Unaweza kuweka data za utafiti wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…