chura na unene ni tofauti mkuuMimi hata sijui nipo upande gani.
Nikimuona demu mwenye chura namtamani, nikimuona mwembamba pia natamani vile vile.
Kwa kifupi sichagui. Kama gari ya Shamba!
Hahahaaaaa sijafanikiwa kununua badoAise!! Sikuwa nafahamu Kama hapo kuna chimbo.Bei zao zipoje!
5/5
Dah! Hapo umenena mzee.
Nikiri waz hapa dar mm ni mgen cz rasmi nimeanza life hapa mjini 2010.Kipindi hik chote mwenze u sijawahi kushuhudia machangaduoa a.k.a wanaojiuza mabarabarani mbali ya kuwaona kwenye picha za magazeti na mitandao
Nmefurah kusikia ivo
[emoji16][emoji16] umefurahi kusikia sijui au umeelewajeNmefurah kusikia ivo
Nmefurah kusikia hujui...kwakua unanifanya nijue nn cha kufanya.
Nini hicho utafanya etiNmefurah kusikia hujui...kwakua unanifanya nijue nn cha kufanya.
Macho yataona, Masikio yatasikia na mdomo utasema.
AiseeTuombeane uzima, Macho yataona, Masikio yatasikia na mdomo utasema.