Kwanini asilimia kubwa ya wanawake wanaojiuza ni wanene?

Mara nyingi Maumbo ya mwili yanajengwa na tabia.
Sasa mdada hataki kujishughulisha/mvivu, anataka hela haraka haraka tena kwa starehe na sio kufanya shughuli rasmi, anakunywa bia karibia daily, analala sana mchana. Hajali Maisha yake.

Utaacha kunenepa?
 
mtoto wa kiume unakuja na maswali ya kipumbavu unataka jiuza weye....mchagua nyama sio mwindaji..we piga mbupu tu tukifika hatujiulizi
 
Nitumie link mkuu nijiunge huko aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…