Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Wengine tukiingiaga ofisini kwao
Wanajuaga kabisa watata wamekuja
Maana wakizingua tunawachanaga
Ofisi zote za serikali wengine huduma tunapewaga chapchap.....maana wakileta ujinga kifuatacho wanakijuaa

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenifaanya nicheke kwa nguvu..Hivi Ikitokea si unaanza kukemea pepo bila kutarajia?[emoji2]
Halafu dharau kwenye kazi za Watu sasa... Hapana.
Mie si unanijua, ukiniletea dharau sikuachi salama hata kama nina shida🤣🤣🤣
 
Kwanza ukingia ofisi yote iwe ya umma iwe binafsi kama unataka huduma au unakwenda lipia kitu fulani
Lazima ujiamini
Sitakagi uni treat kinyonge

Ova
 
Wengine tukiingiaga ofisini kwao
Wanajuaga kabisa watata wamekuja
Maana wakizingua tunawachanaga
Ofisi zote za serikali wengine huduma tunapewaga chapchap.....maana wakileta ujinga kifuatacho wanakijuaa

Ova
Ewaaa!! Unaletaje dharau katika kutekeleza majukumu yako!!
 
Binti mpumbavu akipata uhakika wa kujiegesha ujawa kiburi cha ujinga
 
Kuna member avatar yake ina picha ya lijamaa lenye kipara, naona muda wote anatype, nimesoma page 1-4 anatype tu.

Mkuu unatype gazeti??
Kuna herufi hazioni kwenye keyboard yake
 
Ufeminist ni aina flani ya ushetani wanapandikiziwa, kupindua mpango alioweka Mungu. Mwanaume siku zote ni mtawala sasa wao na haki sawa ndio inawapa kiburi na dharau na kuona wanaume hatuna lolote.
Hii ingeingia hadi kwenye ndoa,kwa msaada wa tathmilia.
Ukiona mwanamke anashinda anaangalia tathmilia hasa bongo movie akili yake lazima iwe ya kibongo movie.
Lengo kuu la tamthilia ni kubomoa ndoa
 
Ukiona mwanamke anahudumia kwa nidhamu Basi ujue hiyo kazi kaipata kihalali ama la amehangaika Sana kapitia maisha magumu mpk kufikia hapo alipo, kinyume na hapo ni kansa kiukweli ofisi nyingi za umma huwa naomba nikuutane na mwanaume kero yao ni kuomba ngono tu ila kwingine wanaume wako vizuri mno,,wachache mno kukuta ana nyodo
 
Moja kwa moja

Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.

Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"

Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .

Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
Wanawake Wana tabia ya dharau na kujisikia,mi ndiomaana kwenye maisha yangu Ni kamwe siwezi kumsaidia mwanamke, labda mama yangu na ndugu wa karibu haswaa
 
Ni kukosa tu akili mkuu.

Baadhi yao humo maofisini hudhani kila anaeingia humo basi anaujua utaratibu ilhali kila ofisi ina utaratibu wake.
 
Back
Top Bottom