Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Haha mkuu hata mimi nimegundua hiki kitu

Sehemu nyingi ukiwatimbia na gwanda hasa wakiona mabega yamechafuka hamna kuzi analeta ushanta

Vinginevyo hii nchi ukiwa mnyonge utaonewa sana hata sehemu ambazo mtu unastahili kupata haki yako
Kiufupi hamna kukubali kuwa mnyonge
 
Moja kwa moja

Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.

Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"

Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .

Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
bro!!umeongea point sana aisee!!!.....sasa kachunguze ndoa zao!!!balaa,yaani waume zao wanakaribia uchizi!!
 
Kuna wanaotembea na mabosi wao na wengine wanajua Siri mbaya mbaya za mabosi hasa vimada vyao.
 
bro!!umeongea point sana aisee!!!.....sasa kachunguze ndoa zao!!!balaa,yaani waume zao wanakaribia uchizi!!
Katika ndoa Kumi za watumishi wa kike unaweza Kuta moja ndiyo yenye Amani tena utakuta ni mwalimu wa shule ya msingi katika wilaya Fulani!
 
hujakosea mkuu...

wanaviburi kupindukia..

kuna mmoja juzi alinijibu nyodo pale ofisi za ustawi wa jamii karibu na hsp ya levolosi arsh...nilitamani nimtemee mate

ni vile sikukariri jina lake ningemuanzishia uzi
Mie sipendi niende sehemu halafu nikute mtoa huduma ni mwanamke mwenzangu,mood huwa inakata kabisa,

Ata hospital,
 
Back
Top Bottom