jodac
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 339
- 371
Naiomba TRA ishughulikie hili, hivi ni kwanini mashine za ATM mfano NMB, CRDB n.k hazitoi risiti pasipo kuuliza? Ilihali akifanya hivyo mfanya biashara kariakoo anakamatwa .
Kwanini risiti za ATM kuzipata kunamakato ilihali kudai risiti ni haki ya mteja?
Kwanini risiti za ATM kuzipata kunamakato ilihali kudai risiti ni haki ya mteja?