Kwanini ATM za Mabenki zinauliza kama tunataka Risiti wakati ni haki ya mteje kama kununua bidhaa?

Kwanini ATM za Mabenki zinauliza kama tunataka Risiti wakati ni haki ya mteje kama kununua bidhaa?

Bank ni kaMa mpesa sio lazima ikupatie risit ya karatasi maana muamala uliofanya utabaki kwenye kumbukumbu zake.
Kwani mpesa huwa inakupatia risiti ya karatasi? Ndiyo maana ukikubali kuchukua risiti wanakucharge kwa hiyo risiti
Naiomba TRA ishughulikie hili, hivi ni kwanini mashine za ATM mfano NMB, CRDB n.k hazitoi risiti pasipo kuuliza? Ilihali akifanya hivyo mfanya biashara kariakoo anakamatwa .
Kwanini risiti za ATM kuzipata kunamakato ilihali kudai risiti ni haki ya mteja?
Naiomba TRA ishughulikie hili, hivi ni kwanini mashine za ATM mfano NMB, CRDB n.k hazitoi risiti pasipo kuuliza? Ilihali akifanya hivyo mfanya biashara kariakoo anakamatwa .
Kwanini risiti za ATM kuzipata kunamakato ilihali kudai risiti ni haki ya mteja?
 
Naiomba TRA ishughulikie hili, hivi ni kwanini mashine za ATM mfano NMB, CRDB n.k hazitoi risiti pasipo kuuliza? Ilihali akifanya hivyo mfanya biashara kariakoo anakamatwa .
Kwanini risiti za ATM kuzipata kunamakato ilihali kudai risiti ni haki ya mteja?
Risiti ya benki sio bure.
Wakilazimisha kukutolea wakakukata hela utarudi hapa kulalamika.
Unaulizwa ili ukubali kwa hiari yako kukatwa.
 
Risiti ya benki sio bure.
Wakilazimisha kukutolea wakakukata hela utarudi hapa kulalamika.
Unaulizwa ili ukubali kwa hiari yako kukatwa.
Wanatakiwa waiweke kwenye gharama za uendeshaji wa account ili kutimiza takwa la kisheria.
 
Teknolojia imekuwa risiti unaweza kuzipata kiganjani muda wowote kwenye app za benki, tunapunguza kujaza karatasi
Wazo zuri. Hapo kuna double standard huyu mfanya biashara wa Kariakoo analazimishwa kutoa risiti alafu huwa wafanya biayara ya fedha wao risiti ni hadi uangalie kwenye App.
 
Hapana
Kuchukua risiti kwenye ATM sio gharama ya uendeshaji, na haipaswi kuwekwa huko.
Ila nisheria kuto risti bila gharama za ziada kwa kila biashara inayo fanyika sindio?
 
ATM za mabenki zinauliza kama unataka risiti kwa sababu ya sababu kadhaa muhimu:

1. Haki ya Mteja: Ni haki ya kila mteja kupata risiti ili kuthibitisha muamala uliofanyika. Risiti inasaidia katika kudhibitisha kwamba umefanya malipo au umechukua fedha.

2. Usalama wa Kifedha: Risiti inaweza kusaidia katika kufuatilia matumizi na kusaidia katika kuzuia udanganyifu. Ikiwa kuna tatizo na muamala, risiti inatoa ushahidi wa kile kilichotokea.

3. Urahisi wa Kufuatilia: Kwa kutoa chaguo la kupokea risiti, ATM inawapa wateja uwezo wa kuzingatia matumizi yao ya kila siku na kurahisisha hesabu za kifedha.

4. Kuhakikisha Faragha: Baadhi ya wateja wanaweza kutaka kutopewa risiti kwa sababu ya faragha au kwa sababu wanataka kuepuka kuandika taarifa zao za kifedha.

5. Sera za Benki: Mabenki yanaweza kuwa na sera tofauti kuhusu kutoa risiti, na hivyo ni muhimu kwao kutoa chaguo kwa wateja ili waweza kuchagua.

Kwa hiyo, ingawa ni haki ya mteja kupata risiti, chaguo la kupokea risiti linawapa wateja udhibiti zaidi juu ya taarifa zao za kifedha.
 
Sababu ni kuokoa mazingira, inawezekana huitaji risiti. Hawana nia mbaya.
Sio hivyo mkuu. Kuomba risiti ni sawa na KUULIZA SALIO. Na kuuliza salio sio bure. Mteja hukatwa pesa kiasi cha Tsh 1500 anapouliza salio. Kwa hiyo, ukiomba risiti unakatwa Tsh 1500. Benki wanakuuliza ili kuomba ridhaa yako kama upo tayari kukatwa kiasi hicho ili wakuchapie salio kwenye risiti. Ndio maana ukiwa na pesa pungufu kwenye akaunti unapotoa pesa na kuomba risiti, ,unaambiwa salio lako halitoshi. Lakini ukitoa bila risiti, pesa zinatoka bila shida. Hii ndio sababu ya kuulizwa kama unahitaji risiti.
 
Ila nisheria kuto risti bila gharama za ziada kwa kila biashara inayo fanyika sindio?
Sheria za usimamizi wa huduma za kifedha ni tofauti.

Sheria ya kutoa risiti bila malipo ni kwa ni kama umeuza bidhaa au huduma. Kutoa hela zako benki, ni biashara gani imefanyika?
 
ATM za mabenki zinauliza kama unataka risiti kwa sababu ya sababu kadhaa muhimu:

1. Haki ya Mteja: Ni haki ya kila mteja kupata risiti ili kuthibitisha muamala uliofanyika. Risiti inasaidia katika kudhibitisha kwamba umefanya malipo au umechukua fedha.

2. Usalama wa Kifedha: Risiti inaweza kusaidia katika kufuatilia matumizi na kusaidia katika kuzuia udanganyifu. Ikiwa kuna tatizo na muamala, risiti inatoa ushahidi wa kile kilichotokea.

3. Urahisi wa Kufuatilia: Kwa kutoa chaguo la kupokea risiti, ATM inawapa wateja uwezo wa kuzingatia matumizi yao ya kila siku na kurahisisha hesabu za kifedha.

4. Kuhakikisha Faragha: Baadhi ya wateja wanaweza kutaka kutopewa risiti kwa sababu ya faragha au kwa sababu wanataka kuepuka kuandika taarifa zao za kifedha.

5. Sera za Benki: Mabenki yanaweza kuwa na sera tofauti kuhusu kutoa risiti, na hivyo ni muhimu kwao kutoa chaguo kwa wateja ili waweza kuchagua.

Kwa hiyo, ingawa ni haki ya mteja kupata risiti, chaguo la kupokea risiti linawapa wateja udhibiti zaidi juu ya taarifa zao za kifedha.
Mkuu ristii haitolewi bure. Unaulizwa kama unahitaji risiti ili benki ijue kama upo tayari kukatwa pesa za kuuliza salio unapomba risiti. Elewa kuomba risiti ni sawa na kuuliza salio.
 
Back
Top Bottom