Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hezbullah wanasema vita havisimami mpaa Gaza kuwe salama. Kaongelea ceasefire sababu US, Europe wanataka serekali ya Lebanon wawazuie Hezbullah wasipigane kwa ajili ya Gaza. Walicho jibu ni kwamba vita havisimami mpaa wao wafanye ceasefire kule Gaza. Hezbullah wako wazi tulikuwa tuna support sasa sisi ndio tuko vitani direct na adui.Huu ndio uzuri wa imani,mpaka unakufa nayo.safi sana.
ila jana niliona hesbora wanazungumzia cease fire,ah ah aha