mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Salaam wakuu,
Mara nyingi tumekuwa tukisikia kuwa watuhumiwa fulani wamesomewa Mashtaka lakini hawakupaswa kujibu CHOCHOTE kwa kuwa Mahakama waliyopelekwa haina uwezo/mamlaka ya kusikiliza kesi husika.
Kwa mifano hai wengi tunatambua kuwa Mahakama Kuu ndio imepewa nguvu, uwezo/mamlaka ya kusikiliza kesi ya Mauji, sawa Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya inaweza kupewa nguvu lakini kwasababu ambazo itaonekana zinafaa.
Kesi ya hivi karibuni inayowakabili watu Tisa kwa mauaji ya mtoto Asimwe Novath, watuhumiwa walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba ambayo ilisema Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, hivyo watuhumiwa hawapaswi kujibu chochote.
Nachohitaji kufahamu ni
Pia soma
Maelezo kutoka kwa Wakili Yakubu
Mara nyingi tumekuwa tukisikia kuwa watuhumiwa fulani wamesomewa Mashtaka lakini hawakupaswa kujibu CHOCHOTE kwa kuwa Mahakama waliyopelekwa haina uwezo/mamlaka ya kusikiliza kesi husika.
Kwa mifano hai wengi tunatambua kuwa Mahakama Kuu ndio imepewa nguvu, uwezo/mamlaka ya kusikiliza kesi ya Mauji, sawa Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya inaweza kupewa nguvu lakini kwasababu ambazo itaonekana zinafaa.
Kesi ya hivi karibuni inayowakabili watu Tisa kwa mauaji ya mtoto Asimwe Novath, watuhumiwa walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba ambayo ilisema Mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo, hivyo watuhumiwa hawapaswi kujibu chochote.
Nachohitaji kufahamu ni
- Pamoja na sheria kuwa wazi, kwanini mtuhumiwa wa mauaji apelekwe Mahakama za chini zisizo na uwezo wa kusikiliza shauri hilo? au Ni sahihi mtuhumiwa wa mauaji kushtakiwa mahakama za chini?
- Nini Faida na hasara za mchakato wa kesi hiyo kuanzia mahakama za chini?
- Mchakato huu hauwezi kusababishwa kukiukwa kwa haki za msingi za mtuhumiwa?
- Mchakato huu hauwezi kusababisha kesi kuchukua muda mrefu kutamatika?
- Mahakama ya chini inaweza kupewa nguvu ya kusikiliza kesi ambayo haina mamlaka ya kesi hiyo? Kama ndiyo, vigezo vipo kwa mujibu wa sheria gani?
Pia soma
Maelezo kutoka kwa Wakili Yakubu