Huko ni kukosa mafunzo sahihi ya sheria ya mavazi ndio maana wanalazimika kuweka matangazo juu ya mavazi, sisi wakristo inajulikana wazi kwamba kinachoangaliwa ni roho sio mavazi, kuna haja ipi ya kuweka haya mabandgo, uliona wapi misikitini wanaweka matangazo ya aina hiyo?
Nijuavyo kinachoangaliwa ni roho na sio mavazi, haya makatazo yalishapitwa na muda ni mambo ya agano la kale lililokataza kula wanyama kama mbwa na nguruwe, kunywa pombe, kuvaa mavazi yanyositiri, kukataza kuchonga nywele na ndevu, n.k.