bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Matendo ya mwili yanaathiri roho,tamaa ya mwili huja kwa kuangalia kwanzaKinachoangaliwa ni roho na sio mavazi, inakuwaje tena wanaweka sheria za mavazi ya kuvaa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matendo ya mwili yanaathiri roho,tamaa ya mwili huja kwa kuangalia kwanzaKinachoangaliwa ni roho na sio mavazi, inakuwaje tena wanaweka sheria za mavazi ya kuvaa ?
Kila sehem Ina mavazi yake,mbona hawavai overoli kanisan.Kinachozungumziwa ni watu waliovaa nguo, sio ambao hawajavaa nguo
Hata kimini ni nguo
Ya 6Yaani wanawake waje na mavazi ya kutamanisha wanaume - kama yale ya kulalia, mgongo wazi, maziwa nje nje, vimini, hiyo Amri ya 9 ya Mungu haitavunjwa kweli?
Mavazi ya kuuchora mwili hayafai uchochea tamaaHiyo nguo haina tatizo. Hata akiingia kanisa lolote hakuna atakae mshangaa wala kumrudisha.
Makanisani wapo wanaume wanaojitambua sio wale wengine kule hata akiona kidole anadinda, maana muda wote wanawaza ngono.
Pana Sala binafsi za mmoja mmoja na Sala za pamoja zinazofanyika kwenye jengoKama Mungu yupo kila mahali, anaona na kusikia kila kitu, kwanini watu wanaenda kusali kwenye jengo maalum tu.
Dini ni siasa, ukiingia, zingatia vigezo na masharti.
mwisho wa siku utahukumiwa kwa matendo,sio kusali sana ukiwa na watu au peke yako.Kama Mungu yupo kila mahali, anaona na kusikia kila kitu, kwanini watu wanaenda kusali kwenye jengo maalum tu.
Dini ni siasa, ukiingia, zingatia vigezo na masharti.
Walivaa mavazi ya kuusitiri mwili mfano kanzu hijabu kama wanavyovaa masisterKwani Yesu Kristo na Bikira Maria na wengine wakati wa Yesu waliofuata mafundisho yake walikuwa wanavaaje?
Inawezekana hivyo kwa upande wako. Ndo maana kuna sehemu mbali mbali za kuabudu unajichagulia unayoona inafaa unaishi nayo. Wengine unawaacha na mambo yao waendelee kusisimuana kama inawapendeza.Mavazi ya kuuchora mwili hayafai uchochea tamaa
kama umeona umbo lake katika gauni hili,hata angevaa mkeka bado ungeona tu.kuna hii fasheni imejizolea umaarufu makanisani kuvaa magauni / sketi zinachoresha makalio, mapaja na hips, haya ni mavazi ya heshima ?
View attachment 2832956
Umeona eenhhh??!!!,Yaani kuna watu wakorofi sana.Sasa wewe ambacho hujaelewa kwenye hilo bango ni nini? Au basi tu unataka ligi zisizoenda shule?