Kwanini baadhi ya vitabu vimetolewa katika biblia?

Kwanini baadhi ya vitabu vimetolewa katika biblia?

Sijakataa uwepo wa tofauti wa idadi ya vitabu katika mathehebu, lakini je kabla ya hapo idadi harisi ni ipi mpaka mtu anasema imepunguzwa?
Idadi halisi inaweza patikana kwa kuangalia vitabu ambavyo havikuwa compiled kwenye biblia.
 
Idadi halisi inaweza patikana kwa kuangalia vitabu ambavyo havikuwa compiled kwenye biblia.
Hivyo idadi yake ni ngapi, je hivyo vilivyo chwa mafundisho yake hayakizani na vitabu vilivyopo.
 
Hivyo idadi yake ni ngapi, je hivyo vilivyo chwa mafundisho yake hayakizani na vitabu vilivyopo.
Hapo itabidi nivitafute sasa nije na hitimisho hapa.
Kuhusu kukinzana sidhani kwani vimeandikwa chini ya muongozo wa MUNGU na sidhani kama yupo wa kukosoa kukosoa kazi MUNGU.
Pengine unataka uniambie havijawekwa kwa sababu vinakinzana na vitabu vilivyopo mimi ninakataa kwa sababu havijaandikwa kama vitabu vingine vilivyoandikwa na inadamu.

Halafu kuna mstari unaonya kabisa lisipunguzwe neon lake kwenye kitabu chake kitakatifu sasa wewe binadamu unaanze kutoa vitabu vyake?
 
Hapo itabidi nivitafute sasa nije na hitimisho hapa.
Kuhusu kukinzana sidhani kwani vimeandikwa chini ya muongozo wa MUNGU na sidhani kama yupo wa kukosoa kukosoa kazi MUNGU.
Pengine unataka uniambie havijawekwa kwa sababu vinakinzana na vitabu vilivyopo mimi ninakataa kwa sababu havijaandikwa kama vitabu vingine vilivyoandikwa na inadamu.

Halafu kuna mstari unaonya kabisa lisipunguzwe neon lake kwenye kitabu chake kitakatifu sasa wewe binadamu unaanze kutoa vitabu vyake?
Kuna vitabu vinaruhusu kuombea wafu, wakati huo huo vingine vinapinga suala la kuombea wafu, infact vingine vimeachwa kutokana na utata kama huo.
 
Kuna vitabu vinaruhusu kuombea wafu, wakati huo huo vingine vinapinga suala la kuombea wafu, infact vingine vimeachwa kutokana na utata kama huo.
Viweke hapa mkuu tuvichaambue.
Sidhani kama viliandikwa chini ya uweza wa MUNGU labda ni kazi feki za binadamu.
 
Viweke hapa mkuu tuvichaambue.
Sidhani kama viliandikwa chini ya uweza wa MUNGU labda ni kazi feki za binadamu.
Mbona vinatajwa humu sana, kama bible ya waroma inatofauti na protestant, sababu ni hiyo.
 
Kikubwa mkuu Mambo ya biblia na madhehebu hayakusaidii kitu wewe pambana kumtafuta mungu kama kweli yupo
Wacha uongo wewe umetokea wapi? Duniani au kuzimu hivi humu ndani kuna watu kamili na watu wa kuzimu, hayo maneno yako siyo sahihi kwa sababu Mungu tunaongea naye kupitia maandiko,sasa km hayamuhusu atajuaje ili asidanganywe
 
Hilo la Yesu kumuua mtoto, alirusha jiwe juu kwa bahati mbaya likatua utosini mwa mtoto akafa . Swala la Maria Magdalena lipo wazi . Yesu alikuwa mwanaume wa enzi hizo
This is so new to me.
 
Biblia ni kitabu kinachojumuisha vitabu mbalimbali vilivyoandikwa na watu mbalimbali katika nyakati tofauti na sehemu tofauti.
Biblia ni mkusanyiko wa hivi vitabu ambavyo viliandikwa na waandishi mbalimbali ksha vikapangwa katika mtiririko unaofaa kuanzia miaka ya mwanzo kabisa hadi ya mwisho (Mwanzo hadi ufunuo).

Kitabu cha kwanza kwenye biblia ni Mwanzo ambacho kinaelezea uumbaji wa hii dunia, binadamu wa kwanza na habari za awali kabisa za dunia na ulimwengu. Kitabu cha mwisho ni Ufunuo Kilichoandikwa na Yohane Mbatizaji.

Hivi vitabu viliandikwa katika lugha ya kiebrania eneo la mashariki ya kati na sehemu za kaskazini mwa Africa (Misri, Ethiopia, Libya n.k) kwa sababu ndipo MUNGU alipopachagua ili neno na habari zake zisambae sehemu nyingine za ulimwengu.
Biblia imeanza kutumika rasmi baada ya kuondoka kwa Yes Kristo ila maandiko yalikua yamehifadhiwa hata kabla ya Kristo kuja duniani.


Shida yangu ni hii
1/Kwanini vitabu kadhaa vitolewe kwenye biblia kwa misingi ya mawazo ya watu? Kama maandiko yanaonya kuongeza au kupunguza neno la MUNGU kwanini binadamu wanatoa hivyo vitabu?
2/Kitabu cha Enoch kimeondolewa, vitabu vya deuteron kanoni vinaumiwa na Roman Catholic ila Protestant na makanisa mengine hayavitumii! Injili ya Thomas, Bikira Maria, Injili ya Yuda, Injili ya Barnabas, Injili ya Eva na vitabu vingine vingi?
Ni kwaninihivi vitabu vitolewe wahusika hawakuona wanakwenda kinyume na maandiko ya MUNGU?
Hivyo vingine sivijui.

Kuna kitabu umukiita injili ya Barnaba....hiki ni kitabu cha kipropaganda cha kiislamu! Kimetungwa na waislamu. Nimewahi kukisoma kimejaa vituko na vichekesho kama kawaida ya waislam kulazimisha uislam ndani ya Biblia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vingine sivijui.

Kuna kitabu umukiita injili ya Barnaba....hiki ni kitabu cha kipropaganda cha kiislamu! Kimetungwa na waislamu. Nimewahi kukisoma kimejaa vituko na vichekesho kama kawaida ya waislam kulazimisha uislam ndani ya Biblia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo waislamu ndio wanalazimisha uislamu ndani ya biblia na sio wakristo ndio wanalazimisha ukristo ndani ya biblia? Hebu nisaidie hapo mkuu.
 
Utamjua vipi mungu wa kweli bila kusoma maandiko?
Kwa nza kabisa niseme tu hata hivyo vitabu visingetolewa, Usingeweza kumjua Mungu kwa ukamilifu wake, Sisi tunamjua kwa kupapasapapasa tu; Hivyo excuse ya kwamba huwezi kumjua Mung
Mkuu hata hivyo vitabu vingewekwa; Bado waandishi walisema kwamba Waliandika kwa uchache tu; kama yangeandikwa yote/Kila kitu basi Hata dunia isingetosha.

Ila mimi nakushauri tu, kwamba hao waliopunguza hao wataulizwa wenyewe; Wewe tumia hicho kilichopo kwan kuna shida gani?
 
Back
Top Bottom