Kwanini baadhi ya Wabena wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu kwa Wakinga kwenye mafanikio ya kibiashara?

Kwanini baadhi ya Wabena wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu kwa Wakinga kwenye mafanikio ya kibiashara?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
katika mijadala ya hapa na pale inayohusu maendeleo hata humu ndani jamiiforums huwa inakuwepo mijadala ya wakinga kuwa moja ya kabila linalojitahidi kwenye anga za biashara licha ya kuwa kabila dogo kwa idadi yao ndogo.

Sasa kunakuwaga na tabia flani hivi unakuta mjadala unavyoendelea pakiwa na mbena pembeni (sio wote) anaanza kuchangia kwamba na wao wabena wanakuja kwa spidi kwasababu wao na wakinga wilaya zao zimepakana kwa hio ni nao wanakuja kasi.

Naombeni mnisahishe kama ntakuwa nimekosea lakini kwa jinsi nionavyo mimi katika ramani ya biashara hapa Tanzania naona hata Mzaramo na Mkurya wana nafuu.

Nachowaza tu ni kwamba kwanini kwa sasa nguvu kubwa sana inatumika na wabena kulazimisha ukaribu na wakinga ? binafsi navyojua wabena ndugu zao ni wahehe maana hata luga hazijapishana sana.

Kwa wabena (na kwa wahehe) nacho wakubali ni kwamba wana wanawake ambao wapo kwenye chati za juu linapokuja swala la kupata wife material, ila huku kwenye biashara bado sana kiukweli
 
sijui kwanin uwa siukubari utajiri wa wakinga, umejaa mauzauza na makafara, hawa watu hawanaga maana.

Kuna jamaa yangu alikuwa mkinga tulikuwa tunapiga kazi pamoja mara ghafla akawa tajiri tena mkubwa ndani ya mwaka mmoja tu yan dah mara mtoto akafa kifo cha utata mara mama yake, mara baba yake.

Saa hizi ni millionea mkubwa tu na anamiaka 30 tu ndugu wote wanamkimbia.
 
Ndugu mbona hatukuelew mada zako kama za uchonganishi wa makabila kila siku we na wakinga unawatengenezea sifa mbaya ya kujikweza ambaye hawana
 
sijui kwanin uwa siukubari utajiri wa wakinga, umejaa mauzauza na makafara, hawa watu hawanaga maana...
una ushahidi wa wakinga wachawi ama ni kufata mkumbo wa mawazo ya wengi ambao nao waliyafata kwa mkumbo?

Nikujuze tu, wakinga licha ya idadi yao ndogo ndilo kabila kutoka bongo lenye watu wengi China kwenye mji wa Guangzhou wenye viwanda tele na bandari, wanatumia fursa hii kuleta bidhaa hapa bongo kwa kampuni yao ya usafirishaji inayoitwa mapembelo cargo, alafu hata mzigo ukifka huku wao ni mwendo wa faida ndogo tu, waeja wanapenda bei ndogo ndio maan awanajazana kwao. akili!
 
sijui kwanin uwa siukubari utajiri wa wakinga, umejaa mauzauza na makafara, hawa watu hawanaga maana. kuna jamaa yangu alikuwa mkinga tulikuwa tunapiga kazi pamoja mara ghafla akawa tajiri tena mkubwa ndani ya mwaka mmoja tu yan dah mara mtoto akafa kifo cha utata mara mama yake, mara baba yake, saiz ni millionea mkubwa tu na anamiaka 30 tu ndugu wote wanamkimbia.
Unasema kweli ama umesikia kwa story tu
Mnk wakinga na wwaha biashara ,zako inasemekana zinaendeshwa kwa kupuuliza tu
 
Hao Wakinga mnaosema wameteka biashara lifestyle zao zikubali kabisa. Wanakuwa na hela ila wanaishi kama hawana sasa sijui wanatafuta za nini.

Napenda the way Wachaga wanaishi wakiwa na pesa, napenda Wahaya wanaishi wakiwa na hela.

Sipendi mtu awe milionea ila hata kukata tiketi yeye mwenyewe kwenda Uingereza hawezi, hana exposure kabisa
 
Hao Wakinga mnaosema wameteka biashara lifestyle zao zikubali kabisa. Wanakuwa na hela ila wanaishi kama hawana sasa sijui wanatafuta za nini. Napenda the way Wachaga wanaishi wakiwa na pesa, napenda Wahaya wanaishi wakiwa na hela. Sipendi mtu awe milionea ila hata kukata tiketi yeye mwenyewe kwenda Uingereza hawezi, hana exposure kabisa
Hata mchich huanza kama mbuyu.

Ni kweli hapo zamani wengi sana walikuwa wanatokea moja kwa moja kutoka vijijini na akili ya biashara tu lakini mjini walipata shida ya kuendana na mazingira.

lakini kwa sasa wengi washaanza kupazoea mjini na wapo vijana wadogo wa kikinga wameshakulia mjini kidogo na mafanikio wanayo tayari.

Pia kwa sasa wakinga ndio wanaongozea kuwa na idadi kubwa ya wabongo wanaoishi jiji la Guangzhou nchini China ambalo ni jiji lenye viwanda kibao, lipo pia karibu na Hongkong na kuna bandari huwa inatumika kuwasafirishia bidhaa ndugu zao wenye maduka bongo (wana kamouni yao tayari ya usafirishaji), trip za bongo hadi Guangzhou zimekuwa kawaida sana na kama ni pamba wanazinyuka ili kuendana na mazingira ya jiji.

Kuhusu wahaya hapo watoe maana hii maada imejikita kwenye mambo ya biashara, hao ni watu wa darasani na siku hizi elimu imekuwa very diversed, sio kama zamani waweza kuta shirika zima la serikali wenye sifa za kuajiriwa ni wahaya.

1652213788826.png
 
Hata mchich huanza kama mbuyu.

Ni kweli hapo zamani wengi sana walikuwa wanatokea moja kwa moja kutoka vijijini na akili ya biashara tu lakini mjini walipata shida ya kuendana na mazingira.

lakini kwa sasa wengi washaanza kupazoea mjini na wapo vijana wadogo wa kikinga wameshakulia mjini kidogo na mafanikio wanayo tayari.

Pia kwa sasa wakinga ndio wanaongozea kuwa na idadi kubwa ya wabongo wanaoishi jiji la Guangzhou nchini China ambalo ni jiji lenye viwanda kibao, lipo pia karibu na Hongkong na kuna bandari huwa inatumika kuwasafirishia bidhaa ndugu zao wenye maduka bongo (wana kamouni yao tayari ya usafirishaji), trip za bongo hadi Guangzhou zimekuwa kawaida sana na kama ni pamba wanazinyuka ili kuendana na mazingira ya jiji.

Kuhusu wahaya hapo watoe maana hii maada imejikita kwenye mambo ya biashara, hao ni watu wa darasani na siku hizi elimu imekuwa very diversed, sio kama zamani waweza kuta shirika zima la serikali wenye sifa za kuajiriwa ni wahaya.

View attachment 2219648
Kampuni yao ni Mapembelo inaitwa
 
Dr. Isack Ndodi - mbena
Anna Makinda. - mbena
Phillip Mangula. - mbena
Deo Mwanyika. - mbena
Jackson Makweta - mbena
.........
.........
n.k. n.k

Wabena hawana sifa za kihaya kama hizo unazowapa wakinga!
 
Dr. Isack Ndodi - mbena
Anna Makinda. - mbena
Phillip Mangula. - mbena
Deo Mwanyika. - mbena
Jackson Makweta - mbena
.........
.........
n.k. n.k

Wabena hawana sifa za kihaya kama hizo unazowapa wakinga!
Huu uzi wa biashara wewe umeweka wanasiasa wengi ?, na kama ni siasa kwa sasa ni ukanda wa pwani, awamu iliyopita ilikuwa wasukuma. mna chenu hapo ??
 
Dr. Isack Ndodi - mbena
Anna Makinda. - mbena
Phillip Mangula. - mbena
Deo Mwanyika. - mbena
Jackson Makweta - mbena
.........
.........
n.k. n.k

Wabena hawana sifa za kihaya kama hizo unazowapa wakinga!
Hao ni wafanyabishara wa nini. Namjua Dkt. Ndodi kama mfanyabiashara wa dawa za asili hao wengine ni vipi
 
Back
Top Bottom