mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Fanya namna ulipize kisasi mkuu.....usivumilie madharauNdiyo mkuu wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya namna ulipize kisasi mkuu.....usivumilie madharauNdiyo mkuu wangu
Kasema kazi lkn sio helaMungu pia anasema baada ya ibada ukafanye kazi,
Asiyefanya kazi na asile,
Sasa umeelewa Dogo?
😂😂😂😂😂😂😂 Daaah aseee inataka moyo kutomzaba kibaoNdiyo mkuu wangu
Una umri gani kwani?Kasema kazi lkn sio hela
Watakua wamefata Hela au wamekufuata wewe sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta hela za kutosha,
Ukisha zipata hao wanawake watakua wanapanga foleni wenyewe.
Kuna wenye Hela zao na bado wanagongewa tu Tena na makapuku hii nayo inatokana na niniTafuta hela mkuu., na ukikueleza matatizo yake ya kifedha kama kodi ya nyumba, sijala, mama anaumwa, nimechoka kupanda daladala nk, wew mpe hela usiulize sana hapo mkuu utakuwa unawapata kirahis.
Unaulizwa Ili ijulikane kwamba una Hela unatakiwa uwe na kiasi Gani Cha fedha? Maana kusema manara Hana Hela napo inafikirisha. Halafu mbona bill gates kaachwa licha ya kuwa tajiri mkubwa? Yule tajiri wa Amazon naye? Usiishi Kwa kukariri haya mambo hayana formulaHuyo Mwanamke aliyeachana na huyo Manara aliulizwa kua,watu wanasema ulifuata hela,ni kweli? akajibu kwa kuuliza "Kwani Haji ana hela? ana hela za kawaida tu"Kijana tafuta hela acha kujifariji na misamiati,hii Dunia ya leo inahitaji fedha.
Wakati huo na wenyewe wanatafuta hela. Mkija kutana wote mna hela 🤣Tafuta hela wanawake watakutongoza wenyewe na wewe ndio utachagua yupi anaekufaa. As a man, focus on building your frame and ignore chasing women.
Hawana AFYA YA AKILIUtakuta unamu-approach mdada kistaarabu uanzishe naye mahusiano ya kimapenzi, ambayo pengine yataishia kwenye ndoa, sometimes unachukua namba yake unachat nae kistaarabu, aloo majibu anayojibu unajiuliza sababu ya kukujibu hivyo huoni, useme labda alikukataa halafu unaendelea kumsumbua hakuna, useme umemwambia kitu cha kumtusi au kumdhalilisha, hamna. Useme huyo mdada ni slay queen mdangaji, ukimuangalia sio tabia zake hata hafananii, kimahusiano useme kuna wanaume waliwahi kumuumiza, unakuta hata ex hana,
Ukimwambia mwanaume usiemtaka kuwa "Nashukuru kwa kunipenda, ila kiukweli sihitaji mahusiano ya kimapenzi na wewe, samahani kama nimekukwaza" halafu, akiendelea kukusumbua ndiyo sasa uchukue hatua Ya kumtukana na kumpa majibu ya dharau utapungukiwa nini?
Ile mtu unamtext sms za kwanza tu, Unapewa majibu ya dharau na ya kunya kama yote nakaaga nashangaa, najiuliza huyu mtu akipata mume, huko kwenye ndoa atakua ni mke wa aina gani.