Kwanini baadhi ya wadada ukiwatongoza, wanajibu kikatili bila sababu?

Kwanini baadhi ya wadada ukiwatongoza, wanajibu kikatili bila sababu?

Utakuta unamu-approach mdada kistaarabu uanzishe naye mahusiano ya kimapenzi, ambayo pengine yataishia kwenye mdoa, sometimes unachukua namba yake unachat nae kistaarabu, aloo majibu anayojibu unajiuliza sababu ya kukujibu hivyo huoni, useme labda alikukataa halafu unaendelea kumsumbua hakuna, useme umemwambia kitu cha kumtusi au kumdhalilisha, hamna.. useme huyo mdada ni slay queen mdangaji, ukimuangalia sio tabia zake hata hafananii, kimahusiano useme kuna wanaume waliwahi kumuumiza, unakuta hata ex hana,

Ukimwambia mwanaume usiemtaka kuwa "Nashukuru kwa kunipenda, ila kiukweli sihitaji mahusiano ya kimapenzi na wewe, samahani kama nimekukwaza" halafu, akiendelea kukusumbua ndo sasa uchukue hatua Ya kumtukana na kumpa majibu ya dharau utapungukiwa nini?

Ile mtu unamtext sms za kwanza tu, Unapewa majibu ya dharau na ya kunya kama yote..nakaaga nashangaa, najiuliza huyu mtu akipata mume, huko kwenye ndoa atakua ni mke wa aina gani.

Unataka uambiwe mara ngapi kuwa hataki? Jifunze kukubali hali, mwanamke akikumbia hivyo just walk away man usibembeleze wala nn.
 
Lakini kumbuka hata huyo mwenye upendo wa kweli kwako unahitaji pesa kumtimizia mahitaji yake ya kila siku tofauti na hapo atakukimbia.
kama umesoma vizuri...namaanisha mpe vyote pesa kwenye financial issues na mlidhishe kwenye emotional needs to the quantum level....akikukimbia na hapo fanya mambo mengine achana na mapenzi hayo ya mahusiano....kuna aina nyingi za upendo tafute nyingine mkuu..[emoji2211]
 
kama umesoma vizuri...namaanisha mpe vyote pesa kwenye financial issues na mlidhishe kwenye emotional needs to the quantum level....akikukimbia na hapo fanya mambo mengine achana na mapenzi hayo ya mahusiano....kuna aina nyingi za upendo tafute nyingine mkuu..[emoji2211]
Katika dunia ya sasa ukitafuta upendo wa kweli kutoka kwa mtu yeyote basi tarajia kuishi maisha magumu sana mwana mke Kama anakutii na kukuheshimu hilo linatosha huna haja ya kuangaika na mengine.
 
Kwa jinsi ulivyoandika unaonekana ni mr Nice guy na wadada hawapendi wanaume wa dizaini hiyo so badilika kaka kuwa bad boy wadem ni wepesi sana
Mkuu Hawa wasichana wanaowakataa wanaume wazuri ni hao ambao hawaja mature kuanzia 18 mpaka 28 lakini waliogusa 30 hawapendi michezo ya kitoto sababu wanakuwa wameshakuwa kiakili wanatafuta mtu stable.

Kiakili tumewazidi wanawake mbali Sana.Sidhani kama Kuna mwanamke ana 30 anafurahi akituma SMS saa 12:00pm inajibiwa saa 8:00pm .Ila hiyo michezo Hawa wanawake wengine wanapenda Sana.
 
Kuzaa Kwa uchungu ni faida Kwa mwanamke.Kabla ya Hawa kukosea na kula tunda la Kati alipewa adhabu ya kuzidishiwa uchungu wakati wa kuzaa.

Hii ina maana kuwa asingekula tunda la Kati Bado uchungu ungekuwepo lakini ambao sio mkali kama wa sasa hivi.

Huu uchungu ukiachana na faida za kibayalojia kusaidia kuzaa huu uchungu unahusishwa na Upendo.

Kikawaida mwanamke yeyote yule Hana Upendo ndani yake.Upendo ndani yake hutengenezwa na mwanaume.

Kitendo Cha kuzaa Kwa uchungu kinampa mwanamke hali ya kukithamini alichokipata na kukipenda na kuwa tayari kukilinda.

Wangekuwa wanazaa BIla uchungu hata kidogo sidhani kama wanawake wangewapenda hao watoto.

Niseme tu Upendo Kwa mwanamke unatengenezwa,unashawishiwa au unalazimishwa .Upendo Kwa mwanamke unakuwa activated.

Hawajui kupenda ni nini mpaka watakapooneshwa Upendo.Kazi Kwake Kwa anayetaka kuonesha huo Upendo Kwa mwanamke .
 
Utakuta unamu-approach mdada kistaarabu uanzishe naye mahusiano ya kimapenzi, ambayo pengine yataishia kwenye mdoa, sometimes unachukua namba yake unachat nae kistaarabu, aloo majibu anayojibu unajiuliza sababu ya kukujibu hivyo huoni, useme labda alikukataa halafu unaendelea kumsumbua hakuna, useme umemwambia kitu cha kumtusi au kumdhalilisha, hamna.. useme huyo mdada ni slay queen mdangaji, ukimuangalia sio tabia zake hata hafananii, kimahusiano useme kuna wanaume waliwahi kumuumiza, unakuta hata ex hana,

Ukimwambia mwanaume usiemtaka kuwa "Nashukuru kwa kunipenda, ila kiukweli sihitaji mahusiano ya kimapenzi na wewe, samahani kama nimekukwaza" halafu, akiendelea kukusumbua ndo sasa uchukue hatua Ya kumtukana na kumpa majibu ya dharau utapungukiwa nini?

Ile mtu unamtext sms za kwanza tu, Unapewa majibu ya dharau na ya kunya kama yote..nakaaga nashangaa, najiuliza huyu mtu akipata mume, huko kwenye ndoa atakua ni mke wa aina gani.

Ukijinyenyekeza kindezi Kwa Wanawake wakati WA kuwatongoza lazima wakufanyie hizo Drama.

Vaa pendeza, kuwa smart, onyesha unanuru ya Maisha hata Kwa kuigiza,
Jionyeshe kama MTU ambaye ni ndoto ya Wanawake wengi kumpata,

Sio uwe Rafu, mchafu, ngozi haina Nuru alafu uwaite hao viumbe, watakupuuza na kukudharau.
Jiamini, ongea Sauti isiyo na woga.
Usiwaite kihuni, ita kijentomen

Wanawake wanaogopa wanaume wenye vipato, mabishoo, handsome boy, Watawala na wenye vyeo.
Kwa sababu wanaume hao hawajinyenyekezi kwao
 
Heri wewe ulijibiwa kikatili mimi nilikuwa nachatinae kiswahili nilipomtongoza tu akaanza kujibu kwa kiarabu!! Niliachwa njia panda nisijue jibu lake!.
Siku ya siku akaja akapata shida ya hela si akanitafuta boya mimi hapo alikuwa anaandika kiswahili kizuri!,nami nikaanza mjibu kwa kijerumani! Tulionyeshana unyama kwenye lugha!
ila we jamaa dah🤣🤣🤣
 
Kukataa na kuringa ndio thamani ya mwanamke isipokuwa dharau tu kama unampenda demu ww komaa nae ipo siku ataelewa somo tu.
 
Hii mi naona ni lazima Kila mwanaume lazima apitie.....
Nakosa maneno ila ni kama inakujenga kifikra, ni kama unanolewa hivi....[emoji23]

Mabaharia ndo wanazaliwa kutokana na kukataliwa kwa style za kibabe kama hivi
 
Dogo tafuta hela,
Nimesema tafuta hela,
Narudia tena tafuta hela,

Yangu ni hayo tu, wengine watakuja kuongezea yao.
Utakuta unamu-approach mdada kistaarabu uanzishe naye mahusiano ya kimapenzi, ambayo pengine yataishia kwenye ndoa, sometimes unachukua namba yake unachat nae kistaarabu, aloo majibu anayojibu unajiuliza sababu ya kukujibu hivyo huoni, useme labda alikukataa halafu unaendelea kumsumbua hakuna, useme umemwambia kitu cha kumtusi au kumdhalilisha, hamna. Useme huyo mdada ni slay queen mdangaji, ukimuangalia sio tabia zake hata hafananii, kimahusiano useme kuna wanaume waliwahi kumuumiza, unakuta hata ex hana,

Ukimwambia mwanaume usiemtaka kuwa "Nashukuru kwa kunipenda, ila kiukweli sihitaji mahusiano ya kimapenzi na wewe, samahani kama nimekukwaza" halafu, akiendelea kukusumbua ndiyo sasa uchukue hatua Ya kumtukana na kumpa majibu ya dharau utapungukiwa nini?

Ile mtu unamtext sms za kwanza tu, Unapewa majibu ya dharau na ya kunya kama yote nakaaga nashangaa, najiuliza huyu mtu akipata mume, huko kwenye ndoa atakua ni mke wa aina gani.
inategemea na wewe umeenda vipi yan kabla hujamfikia ashajua unataka nn na jibu lake anakuwa ameliandaa tayar, mbona wengine wana mapokeo mazur tu, wanasema wanaudhaifu lakin kuna sehem kuko vizur,anyaway pole🙂🙂
 
Ukijinyenyekeza kindezi Kwa Wanawake wakati WA kuwatongoza lazima wakufanyie hizo Drama.

Vaa pendeza, kuwa smart, onyesha unanuru ya Maisha hata Kwa kuigiza,
Jionyeshe kama MTU ambaye ni ndoto ya Wanawake wengi kumpata,

Sio uwe Rafu, mchafu, ngozi haina Nuru alafu uwaite hao viumbe, watakupuuza na kukudharau.
Jiamini, ongea Sauti isiyo na woga.
Usiwaite kihuni, ita kijentomen

Wanawake wanaogopa wanaume wenye vipato, mabishoo, handsome boy, Watawala na wenye vyeo.
Kwa sababu wanaume hao hawajinyenyekezi kwao
You're really masculine guy
 
Back
Top Bottom