Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri mmoja hunijui 😀😀😀😀😀 kwa hiyo endelea kujifariji inarusiwaUpunguziwe nini sasa wakati ni empty set.
Maandishi yako yanawakilisha jinsi ulivyo,Uzuri mmoja hunijui 😀😀😀😀😀 kwa hiyo endelea kujifariji inarusiwa
Watanzania sio tu kwenye mapenzi, hata kwenye michezo, science na maeneo mengine vijana ile hofu ya kufail inawafanya wasiwe na uthubutu wa kufanya mambo mengiKukataliwa mbona kawaida tu, akikataa huyu unatongoza mwingine tu
Siunaona mambo ya wazazi yanatoka wapi mim sikujui kamwe sitakaa niwatukane wazazi wako nawaheshimu sana, hata wewe nakuheshimu na naheshimu kile unachopost sababu kwenye maisha hatuwez fanana kwenye fikraMaandishi yako yanawakilisha jinsi ulivyo,
Empty set,wazazi wako wana hasara kubwa sana.
Kuna kundi kubwa la wasagaji pia mkuu , hao wana majibu ya ovyo mno.
Dogo tafuta hela,
Nimesema tafuta hela,
Narudia tena tafuta hela,
Yangu ni hayo tu,wengine watakuja kuongezea yao.
Una akili nzito sana wewe aisee,kusema wazazi wako wana hasara kubwa sana juu yako ndio kuwatukana? Binti punguza ujinga basi,nimewapa pole kwa kua na mtoto kama wewe asiye na uwezo wa kufikiri zaidi ya kubwabwaja hovyo.Siunaona mambo ya wazazi yanatoka wapi mim sikujui kamwe sitakaa niwatukane wazazi wako nawaheshimu sana, hata wewe nakuheshimu na naheshimu kile unachopost sababu kwenye maisha hatuwez fanana kwenye fikra
Ndo maana mpaka sahivi siwez kukuita majina ya ajabu ajabu sababu nakuheshimu na hii ni kutokans na ukweli kwamba ukiwa mtu mzima unakua na busara
Mim sina uwezo wa kufikiri lakin sijawahi kuja hata kukulia shida ya kifikra, narudia tena usimdharau mtu usiyemjua huku tunatumia id fake changamoto ya jamiiforum kila mtu anavimbaUna akili nzito sana wewe aisee,kusema wazazi wako wana hasara kubwa sana juu yako ndio kuwatukana? Binti punguza ujinga basi,nimewapa pole kwa kua na mtoto kama wewe asiye na uwezo wa kufikiri zaidi ya kubwabwaja hovyo.
Aliyekwambia kua nahitaji heshima yako ni nani? acha kujipendekeza wewe.
Pesa pesa pesa mzee siku ukija gundua huo ndo uchawi wa mabinti utakuwa umechelewa sanaUtakuta unamu-approach mdada kistaarabu uanzishe naye mahusiano ya kimapenzi, ambayo pengine yataishia kwenye mdoa, sometimes unachukua namba yake unachat nae kistaarabu, aloo majibu anayojibu unajiuliza sababu ya kukujibu hivyo huoni, useme labda alikukataa halafu unaendelea kumsumbua hakuna, useme umemwambia kitu cha kumtusi au kumdhalilisha, hamna.. useme huyo mdada ni slay queen mdangaji, ukimuangalia sio tabia zake hata hafananii, kimahusiano useme kuna wanaume waliwahi kumuumiza, unakuta hata ex hana,
Ukimwambia mwanaume usiemtaka kuwa "Nashukuru kwa kunipenda, ila kiukweli sihitaji mahusiano ya kimapenzi na wewe, samahani kama nimekukwaza" halafu, akiendelea kukusumbua ndo sasa uchukue hatua Ya kumtukana na kumpa majibu ya dharau utapungukiwa nini?
Ile mtu unamtext sms za kwanza tu, Unapewa majibu ya dharau na ya kunya kama yote..nakaaga nashangaa, najiuliza huyu mtu akipata mume, huko kwenye ndoa atakua ni mke wa aina gani.
Ivo yaan 💪....nashangaa wanalumbana bure tu hapaKukataliwa mbona kawaida tu, akikataa huyu unatongoza mwingine tu
Lakini kwa mwaka anaweza akawa anawatafuna kama miaManara na ela zake mwanamke alimkimbia ukiamin hela ndo kila kitu utakuja kuwa dissapoint sana
Hakuna kitu kinaudhi ujue mwanamke yupo kwa ajili ya hela zako, yaan ukitoa fedha out of equation sio wako ndo maana mtu kama diamond anaishi maisha ya kihuni japokua na utajiri wote ule
Nakubali hela inakupa wepesi sana kwenye mambo mengi lakin is not everythingLakini kwa mwaka anaweza akawa anawatafuna kama mia
buccaneer na Ngoke ni Dick-Heads and Simps a.k.a wazee wa Bembeleza na Kulialia🤣🤣🤣🤣🤣mchezo umekuwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥....sasa ni buccaneer vs The Icebreaker and Gushleviv ........,.....sasa naona pambano jipya kati ya Ngoke vs The Icebreaker 🤸🤸🤸🤸