Old Skuli
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 690
- 178
we unataka wanyoe ili iweje labda?Kwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we unataka wanyoe ili iweje labda?Kwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
Zinaleta bahatiKwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
budget ipi?Haya mambo ya kunyoa nyoa unakaribisha budget zisizo za msingi.
Labda tuanzie kwenye, kwann nywele za kwapa, why zinaota kwapani...?
nawaona wakiogeleaWanaume wengi?!
Umewaonea wapi hao wanaume wengi...
cjakuelewaUmefikisha jumla ya wanaume wangapi?
umenyoaa tayar au bado unaona uvivu?Hata mie nashangaa kwanini sinyoi siku nikipanga nikanyoe basi nikifika geto nasahau nikikumbuka najiisi mvivu lakini leo nitajaribu maana hii mada imenigusa Sana
hta we unaeza kujbu. ww unanyoaga?Next time ukiwa nae au ukiwa nao waulize mbona hamnyoi? Nahisi watakupa majibu. Katika hao wengi uliza watatu wanatosha.
ili wawe wasafwe unataka wanyoe ili iweje labda?
behind 4 walls? wht do u mean?Nywele za kwapa ni hazina.
Kwenye mambo yetu yale ya behind 4 walls zinatoaga kaharufu fulani hivi watoto wa mujini wanakaitaga AMEIZING...
Idadi ya wanaume unaowaona hawanyoi imefikia wangapi Mkuu?cjakuelewa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji28] [emoji28]Next time tafuta wembe wanyoe kwa nguvu harafu uturetee mrejesho.
Me ni mmoja waooKwanini baadhi ya wanaume wengi hawanyoi nywele za makwapa na naonaga wengi hawanyoi mpaka zinakuwa nyingi kwanini?
Nywele za kwapa ni hazina.
Kwenye mambo yetu yale ya behind 4 walls zinatoaga kaharufu fulani hivi watoto wa mujini wanakaitaga AMEIZING...