Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?


Ha ha ha! wanauza hao! wanahitaji dushelele kuubwa!
 
Chupi bhana, ukivaa ikaonekana juu ya nguo unaambiwa umekaa uchi. Ukikaa vibaya ikaonekana unaambiwa kaa vizuri. Ukionekana hujavaa wanakuuliza mbona hujavaaa? Dah maswali ni mengi kwa vazi hili.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha mi na wewe tutawasuta watu hatuwezi kusutana best usingizi haukuji
amu nitakusuta nakwambia.
Hebu lala ukue.
Afu vp mbona kimya!
Mwezi wa 4 ndo huo.
Hatuendi kumsuta yule Shankupe?
Nina hamu.
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! mimi nakataa kwa BIG NOOOOOOOOOOOO! hayo maji maji yanatokana na nini? labda huyo wa kwako, ndiye mwenye maji maji, lakini mm wala sina , na mara nyingi nikiwa home wakati wa weekend huwa sivai kabisaaaaaa!! na wala silowi, sasa unaposema tunalowanisha , Mhhhhhhhhh! nina wasiwasi na huyo mwanamke wako labda atakuwa ana tatizo mpeleke Hosp.
 
dada ha ha bora ulivyofunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…