Kwanini baadhi ya wanawake wana wivu na wanaume ambao sio wapenzi wao?

Kwanini baadhi ya wanawake wana wivu na wanaume ambao sio wapenzi wao?

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Sijajua tatizo ni nini kwa wadada wa siku hizi unakuta una urafiki na msichana halafu inafika hatua ukimuelezea hisia zako anazingua na hataki kabisa hizo story za mapenzi yeye anataka muwe marafiki tuu au kaka na dada.

Basi kwa ustaarabu unaamua muwe kaka na dada ambao mnasaidia katika shida na raha.

Lakini siku ukianzisha uhusiano au mahusiano na mwanamke mwingine au akijua una mwanamke basi anaanza kusikia wivu Mara anaanza kukuchukia Mara akuseme vibaya.

Hivi tatizo ni nini maana mtu hakutaki uwe mpenzi wake ila ana wivu akisikia una mpenzi.
 
Ukimwambia mwanamke unampenda ni rahisi kuamini ndo mana ukihama kwa mwanamke mwingine kinachomuuma ni kwamba kumbe umemuona sio special sana kwako kuna bora zaidi yake...sasa hapo ndo wivu unapokuja anataka kuprove kwamba she is special lkn mda huo huo anajifanya hataki mahusiano.....ukitaka umpate binti kirahisi mtie wivu tu ila sio wote kuna wenye confidence zao ingawa ni wachache sana
 
Anakuwa sitaki nataka huyo...aliyaka usumbuke kidogo kumpata,sasa na wewe ulivokataa mazima na kumchukua mazima lazima roho imuume coz bado anakupenda
Ndio hapoo sasa aiseee
 
huwa hawakatai,bali wanataka wabembelezwe kwa muda mrefu inapotokea nawe huna muda huo ukahamia airtel ndipo anapo hisi ile misaada itakuwa ndio mwisho.

kifuatacho ni hasira na wivu
Umenitia moyo wacha niendelee kubembeleza
 
Hakuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke.mm mwanamke akinikataa naachana nae completely,siwezi kuwa mpenzi mtazamaji!
Mimi huwa nauchuna miezi 2-3 (hapo no call no sms) alafu nakuja rudisha majeshi hachomoi maana anajua jamaa akisepa ni mazima.

Hawa watu sio kuwashobokea sanaaa, hata kama umempenda jikaze tu kuuchuna
 
Pia 95% ya wanawake hawapendani kabisaaa, kuna wanawake wanatamani wanaume wote wawe wake wenzie wasipate.
Hahahhahahaha nimecheka sana, ujue wanawake wanapenda "attention" kila mmoja azuzuke nae, kila mmoja amuangalie na kumtaka yeye sasa ukiwa kwa mwingine anahisi yeye kuna vitu kazidiwa anachukia.

Kinachonipa raha ukipata mtu na yeye akatambua ukimwomba hachomoi ila akijua huna gal anakukazia
 
Hakuna urafiki wa kawaida kati ya mwanamke na mwanaume...

Na wengine hawasemi ndiyo ya moja kwa moja... matendo yao tu utakuja keshakubali, ni wewe mwanaume kujiongeza...


cc: mahondaw
Sipendagi mwanamke kukubali kwa vitendo, huwa naenjoy anavyo hangaika kutoa jibu la mdomo hahahahha mara ntakwambia, lini una muda yaani full mawenge.

Wengine kutoa jibu ni mtihani we jishikie mkono kapige vyombo
 
sipendagi mwanamke kukubali kwa vitendo, huwa naenjoy anavyo hangaika kutoa jibu la mdomo hahahahha mara ntakwambia, lini una muda yaani full mawenge.

wengine kutoa jibu ni mtihani we jishikie mkono kapige vyombo

Wameumbwa tofauti kwenye maamuzi hawawezi kuwa sawa...


cc: mahondaw
 
Hayo mambo yapoo sanaa..!! Manzi anaweza akawa anatamani sana kuwa na wewe sema ndo vilee so ukipata mwingine lazima aumie
 
Back
Top Bottom