Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa yangu alikuwa anapendana na mdada Fulani kitaa, wakawa na tabia ya kukaa sehemu fulani hivi around na masikani yao mdada mida ya usiku wanaongea story kama wapendanao. Cha ajabu wadada na wamama waishio around wakajioganize kuwamwagia mkojo lita 5 .. Kisa tu kupendwa huyo mdadahahahhahahaha nimecheka sana, ujue wanawake wanapenda "attention" kila mmoja azuzuke nae, kila mmoja amuangalie na kumtaka yeye sasa ukiwa kwa mwingine anahisi yeye kuna vitu kazidiwa anachukia.
kinacho nipa raha ukipata mtu na yeye akatambua ukimwomba hachomoi ila akijua huna gal anakukazia
HUYU MWANAMKE ALIKUFANYA WEE NI MWANAUME WA KUZUGIA ILA YUPO AMBAE ANAYEMPENDA KWA DHATI .......Sijajua tatizo ni nini kwa wadada wa siku hizi unakuta una urafiki na msichana halafu inafika hatua ukimuelezea hisia zako anazingua na hataki kabisa hizo story za mapenzi yeye anataka muwe marafiki tuu au kaka na Dada .
Basi kwa ustaarabu unamuwa muwe kaka na Dada ambao mnasaidia katika shida na raha.
Lakini siku ukianzisha uhusiano au mahusiano na mwanamke mwingine au akijua una mwanamke basi anaanza kusikia wivu Mara anaanza kukuchukia Mara akuseme vibayaaaa.
Hivi tatizo ni nini maana mtu hakutaki uwe mpenzi wake ila ana wivuuu akisikia una mpenzi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]anakuwa anakupenda,anataka umbembeleze. Sasa nyie nanyi msivojua mapenzi mnawakimbia moja kwa moja mnaishia kuwaita dada,kwani adam na eva waliitana dada hata walipokula tunda la kati.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakaka vepee nyiee mnatesa roho zao
Hahahaha this made my dayPia 95% ya wanawake hawapendani kabisaaa, kuna wanawake wanatamani wanaume wote wawe wake wenzie wasipate.
Kaka umepiga mahala pake Hapa kazini kwetu kamekuja kadada fulani hivi sasa kuna jamaa mmoja yuko vizuri kiuchumi akakatokea kale kadada na kadada bila iyana kalimkubali yule jamaa Me nikaona isiwe tabu ukicheki kadada ilizoeana nacho sana kama kaka na dada Ishu jana nilikuwa naongea na demu mwingine uwezi amini kanichunia kuanzia jana hadi leo nikimsemesha ananijibu me sijatulia sasa najiuliza sijatulia kivipi na ikiwa yeye sijamtongoza nikaona usiwe tabu na mimi nimlie bati tuSijajua tatizo ni nini kwa wadada wa siku hizi unakuta una urafiki na msichana halafu inafika hatua ukimuelezea hisia zako anazingua na hataki kabisa hizo story za mapenzi yeye anataka muwe marafiki tuu au kaka na Dada .
Basi kwa ustaarabu unamuwa muwe kaka na Dada ambao mnasaidia katika shida na raha.
Lakini siku ukianzisha uhusiano au mahusiano na mwanamke mwingine au akijua una mwanamke basi anaanza kusikia wivu Mara anaanza kukuchukia Mara akuseme vibayaaaa.
Hivi tatizo ni nini maana mtu hakutaki uwe mpenzi wake ila ana wivuuu akisikia una mpenzi
Naamini kabisa kwa dhati ya moyo wangu (in haji manara voice) kama ungepewa upya uchague jinsia usingetamani kuzaliwa mwanamke.80% ya thread za Jf zamzungumzia mwanamke, this shows how special we are,
Alhamdulilah nimezaliwa mwanamke
Hata mimi niko hivyo hivyo mkuu, nakubembeleza nikubaliwe ndo sijuagi kabisaaMimi demu akishanikataa na urafiki unaishia hapo
hata mimi niko hivyo hivyo mkuu,nakubembeleza nikubaliwe ndo sijuagi kabisaa
Ndo hivyo mkuu haina haja ya kuforce.. wanawake wapo wengi sanaMtu umemtongoza akasema hataki unaendelea kuwa nae urafiki wa namna gani?!...kama ameona sifai kuwa mpenz basi hata urafiki haufai
Hamna hujui tu kasumba zetu sisi wanawake na wanaume wengine wanapenda wanawake wagumu, sio leo nakupenda na yeye hata mimi nakupenda big no. So, muelewege tuAnaekuoenda hawezi kuchezea shilingi chooni, hivi mtu unamtokea miezi kadhaa , hapo anataka kubembelezwa nini tena, ila ukibadilisha direction basi utakuwa mbaya kwake.
Una uspecial ganii??? Embuu achaa kujikwezaa !!!80% ya thread za Jf zamzungumzia mwanamke, this shows how special we are,
Alhamdulilah nimezaliwa mwanamke
Kile ambacho nafanya wewe unashindwaUna uspecial ganii??? Embuu achaa kujikwezaa !!!
Amnaa chochote!!Kile ambacho nafanya wewe unashindwa
Nenda leba, kalete kiumbe kama weweAmnaa chochote!!
!