Kwanini baadhi ya Wasomali wakifika Kenya wanabadili dini na kuacha uislam?

hii ni Al jazeera estimate watu 270million walikufa kutokana na vita ya jihad

Hivi unajua kusoma na kuelewa lugha ya kiingereza au unababiababia tumaneno unatotuelewa
Umeelewa dhana ya huo ujumbe kama umeletwa kuhakiki au kukejeli ujumbe wa mfia ugalatia?
 
Mkuu hiyo habar si naww unaweza kutweet??
Hicho n chombo cha kuaminika??au n mfia dini mmoja ameamua kutweet
Kwamba Mao na Stalin huwajui na mauaji waliyofanya ama una habari nyengine kwamba hao jamaa hawajafanya alicho claim jamaa hapo?
 
Hivi unajua kusoma na kuelewa lugha ya kiingereza au unababiababia tumaneno unatotuelewa
Umeelewa dhana ya huo ujumbe kama umeletwa kuhakiki au kukejeli ujumbe wa mfia ugalatia?
Punguza hasira! usije ukanilipua
 
Muislam kuacha uislam na kwenda kwenye dini za waliokufuru ni nadra sana na hutokea mara chache
 
Muislam kuacha uislam na kwenda kwenye dini za waliokufuru ni nadra sana na hutokea mara chache
Kwasababu ya uongo,hasira,chuki malalamiko wanayopandikizwa ! yaan unakua kama uraibu fulan
 
Kwasababu ya uongo,hasira,chuki malalamiko wanayopandikizwa ! yaan unakua kama uraibu fulan
Yeah ni kweli na sababu zingine waislam wanaamini Mungu ni mmoja tu aliumba mbigu ardhi na kila kitu, sasa ukianza kumwambia muislam kuwa Yesu ni mungu anakuona we ni chizi sasa mungu gani aliuliwa na viumbe wake?
Ndo hapo hawezi kukubali kubadilisha dini.
 
Hamna anaetaka mtu abadili dini!!
Ijueni kweli nayo itakuwekeni huru!!
Mungu wa kweli hana hasira na chukii,visasi na ubaguzi!
Tofauti ya hapo n moto
 

Hamna kitu kinaitwa dini ya kiislam. Ukweli ni kwamba ni desturi, mila na tamaduni za kiarabu ambazo kwa kiasi fulani kinahusisha imani ya watu hao. Wasomi wengi wanauita uislam kuwa ni desturi za kiarabu kwa maana zinachukua maeneo yote zaidi ya imani. Inachukua maeneo yote hata yasiyo na uhusiano na imani kama vile upishi wa chakula, usanifu wa nyumba, lugha, mavazi, kutembea, kuimba, maingiliano na serikali, sheria, elimu, nk. Uislam unasadifu sana kwenye nchi zenye desturi za kiarabu kwa kuwa huko ndiyo kwenye misingi hiyo. Lkn nje ya ulimwengu wa kiarabu, uislamu (ambayo mimi naita desturi za kiarabu) ni mzigo kwa kuwa desturi za kigeni zinalazimishwa kuingia kwenye mazingira ambayo siyo rafiki kwa mila na desturi hizo kiarabu.

CC: kahtaan
FaizaFoxy
 
Hamna anaetaka mtu abadili dini!!
Ijueni kweli nayo itakuwekeni huru!!
Mungu wa kweli hana hasira na chukii,visasi na ubaguzi!
Tofauti ya hapo n moto
Yule wa pope francis anaebariki ushoga hawezi kuwa wa kweli
 
Yule wa pope francis anaebariki ushoga hawezi kuwa wa kweli
Atleast hayo n maamuzi yake hamna popote kwene biblia imeandikwa.

Yule shekhe anaelawiti watoto 15 mafia??
ndo maagizo?!

Nadhan hapo umetofautisha ss
 

Ile dini haijielewi. Hawajui wanataka nini. Maana Sudan , Yemen, Somalia, Iraq, Syria nk wanapiga na kuuana wakati wote ni waisilamu
 
Atleast hayo n maamuzi yake hamna popote kwene biblia imeandikwa.

Yule shekhe anaelawiti watoto 15 mafia??
ndo maagizo?!

Nadhan hapo umetofautisha ss
Kati yako wewe na pope francis aliebariki ushoga nani anaeujua ukristo zaidi?
 
Hao "wasomi" wako hawajaelimika, wamesomea ujinga, bahati mbaya sana nawewe wamekujaza ujinga walionao.

Tazama wasomi walioelimika hawa:


View: https://youtu.be/ZKetWZeTjI4?si=Sboi71IVdKATgJ0c
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…