Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😀 😀 😀Soma jihad kwa kupitia vitabu kama Qur an , kuna jihad ya nafsi yaani vita ni mwisho kabisa mtu anapokushambulia .mkuu ila ukweli unaujua ww
Jihad ya kujitolewa kama kujenga msikiti ,sehemu ya kusome kila u alofanya kuleta juhudi katika watu kumjua Mungu ni jihad , achana kina othman don fodia