Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakutoka somaliaWasomali wakristo wapo , ila wapo ambao ni kenya descendancy ....Wapo wamezaliwa na kukulia kenya maisha yao yote ...Pia wasomali ni kama kabila kenya .
Somalia wapo wakristo tena wasomali za asili kabisa , kama 1% ....Wapo kibao mpaka kariakoo pale.Wakutoka somalia
US inakadilia kua kuna kiasi kama cha wasomali 1000 ni wakristu
Wakati taasisi za kidini zinareport ni zaidi ya 5000
AL shabab ni rebels wana watu wana wafadhili , kiufupi ni serikali ya upinzani wanakusanya mpaka kodi kweny baadhi ya majimbo ..Hao hawana hasira kama al shababu
Wanatumia dini lakiniAL shabab ni rebels wana watu wana wafadhili , kiufupi ni serikali ya upinzani wanakusanya mpaka kodi kweny baadhi ya majimbo ..
Wanaajiri watu sehemu zote duniani katika kufanya ujangili wao .
Hakuna hiko kifungu , nioneshe...Tatizo lipo hapo pale waislamu 99% , kwa nn wasiongozwe na sheria zao .Wanatumia dini lakini
vifungu vya uislam kabisa
machafuko sikuzote huletwa na wafia diniHakuna hiko kifungu , nioneshe...Tatizo lipo hapo pale waislamu 99% , kwa nn wasiongozwe na sheria zao .
Kma mtaendelea kulazimisha huu ujinga wa demokraisia , basi vita hazitoishi hata kule saudia mkipeleka soon patakuwa na machafuko.
Waache wajitawale , sasa wafia dini wapi wakati al shabab wanaua waislamu wenzao hapo somali na kenya ....Ukiambia kaa usome basi soma ufautilie mambo sio kuja na chuki .machafuko sikuzote huletwa na wafia dini
saudi anawafyeka watu balaaa!! hatak mtu kutishia kunyang’anya madaraka
machafuko sikuzote huletwa na wafia dini
saudi anawafyeka watu balaaa!! hatak mtu kutishia kunyang’anya madaraka
Umeonagelea democrasia kua inaleta machafuko nakwambia machafuko huletwa na wafia dini kulazimisha wengine kufuata sheria za kidiniWaache wajitawale , sasa wafia dini wapi wakati al shabab wanaua waislamu wenzao hapo somali na kenya ....Ukiambia kaa usome basi soma ufautilie mambo sio kuja na chuki .
ISIS imeua waislamu wengi kuliko jamii nyingine, Al shabab vivyo hivyo ...Jaribu kusoma sio unakuwa manipulated na vitu vidogo kama hivi .
wanaona wenzao kama dini haijakolea![]()
Al-Shabab claims attack on UAE military in Somalia
The armed group considers the United Arab Emirates an ‘enemy’ for its backing of the Somali government.www.aljazeera.com
Al shabab hawana practise ya dini wapo tifauti kabisa ...Wanaua waislamu kutwa
Hakuna sheria ya dini , how comes 99% mkiwa jamii moja halafu muongozwe na sheria za kizungu kutoka nje ?Umeonagelea democrasia kua inaleta machafuko nakwambia machafuko huletwa na wafia dini kulazimisha wengine kufuata sheria za kidini
kwaiyo wasomali wakubali kuongozwa na al shababHakuna sheria ya dini , how comes 99% mkiwa jamii moja halafu muongozwe na sheria za kizungu kutoka nje ?
Kwanza umetembea nchi ngapi ? Ndio maana Russia anagombana na USA , kisa USA analazimisha mfumo wake kule si awache waishi wanavyotaka.
AL shabab wapo against na uislamu pamoja na Qur an , Qur an imesema mpaka mtu akushambulie ndio unajilnda sasa angalia hao jamaa zako walivyokuwa wahuni 😛 😛wanaona wenzao kama dini haijakolea
Demokrasia kule ni ya kupelekwa na wakoloni wana mifumo yao, AL shabab ni chama cha upinzani kama Chadema ...Ila kinafanya dhambi kwa ujangili.kwaiyo wasomali wakubali kuongozwa na al shabab
wanapigana vita vitakatifu!!AL shabab wapo against na uislamu pamoja na Qur an , Qur an imesema mpaka mtu akushambulie ndio unajilnda sasa angalia hao jamaa zako walivyokuwa wahuni 😛 😛