Kwanini baadhi ya Wasomali wakifika Kenya wanabadili dini na kuacha uislam?

Kwanini baadhi ya Wasomali wakifika Kenya wanabadili dini na kuacha uislam?

Attachments

  • 70D333E7-E5FC-486A-A44A-D233CBC1E703.jpeg
    70D333E7-E5FC-486A-A44A-D233CBC1E703.jpeg
    47.3 KB · Views: 6
Wasomali wapo kenya, si kila msomali unayemuona kenya Hajatoka kenya.

Na si kweli eti Wasomali wakija Kenya wanabadili dini, 99% ya Wasomali ni waisilamu,. Popote pale walipo.

Hata ukisoma hio article yako ina sema 1990 kulikua na Wasomali 20 wakristo na sasa hivi wameongezeka hadi 200.
Kuna wakati mtu anasoma mada kwa spidi ili ajibu au kutetea imani how?.

Fungua kwanza ile link ya BBC usome investigation story ya mwandishi alafu oanisha na bandiko letu hapa kisha reply sasa.

Maana unaweza kujikuta dunia si mahala pako asee 😀!.
 
Kuna wakati mtu anasoma mada kwa spidi ili ajibu au kutetea imani how?.

Fungua kwanza ile link ya BBC usome investigation story ya mwandishi alafu oanisha na bandiko letu hapa kisha reply sasa.

Maana unaweza kujikuta dunia si mahala pako asee 😀!.
😂😂😂😂
 
Kuna wakati mtu anasoma mada kwa spidi ili ajibu au kutetea imani how?.

Fungua kwanza ile link ya BBC usome investigation story ya mwandishi alafu oanisha na bandiko letu hapa kisha reply sasa.

Maana unaweza kujikuta dunia si mahala pako asee 😀!.
Unafikiri hizo figure za 20 na 200 nimetoa wapi? Kwenye hio link, unlike you nimesema na kufanya homework yangu, ila 100% wewe umenijibu bila kufungua hio link la sivyo ungeona data nilizoweka zimewekwa kwenye link
 
na mm sijasema wasomali wote
Wengi ni waislam mfu wanaogopa kubadili dini
Tanzania na Kenya kuna wa Somali in millions, kama wametoka 20 mpaka 200 that's just rounding figure, kama shida ni kuanzisha mjadala sawa, ila that figure haina maana yoyote, pengine hao wasomali wanataka tu visa za Ulaya.
mabara ni wahamiaji hao kutoka syria na nchi zenye vita
Lugha gongana, conversion has nothing to do with migration, mtu ana convert toka dini Moja kwenda nyengine, Migrant tayari anakuja na dini yake.

Ulaya Hao wazungu na raia wengine ndio wana convert Na katika dini zote Duniani ni uisilamu, Atheist na folks religion tu ambao wanaondoka ni wachache kuliko wanaoingia.

Screenshot_20240805-214417_Pixel Launcher.png
 
Wakimbizi wengi wa kisomali wanabadili dini wakofika kenya.Hii ni kwa sababu serikali ya kenya inaruhusu kila dini tofauti na nchini kwao ambako wanauliwa kisa dini!

Wasomali wanasema wamefanya au kufuata ukristo kwa miaka kumi kisiri siri wakiwa somalia.

Huu mkasa unafanana na iran

Je kama somali ingekua na uhuru si wasomali wote wangehama.






Wamekutana na imani ya kweli
 
Wakimbizi wengi wa kisomali wanabadili dini wakofika kenya.Hii ni kwa sababu serikali ya kenya inaruhusu kila dini tofauti na nchini kwao ambako wanauliwa kisa dini!

Wasomali wanasema wamefanya au kufuata ukristo kwa miaka kumi kisiri siri wakiwa somalia.

Huu mkasa unafanana na iran

Je kama somali ingekua na uhuru si wasomali wote wangehama.






Wasomali wangapi wamebadilisha dini mzee mbona unagenaralize as if wasomali wote wakienda kenya ni kawaida yao kubadilisha dini? Na umefanya utafiti? Au umeangalia documentary kwenye BBC? Majobless bwana
 
Wasomali wangapi wamebadilisha dini mzee mbona unagenaralize as if wasomali wote wakienda kenya ni kawaida yao kubadilisha dini? Na umefanya utafiti? Au umeangalia documentary kwenye BBC? Majobless bwana
mbona hasira kwan wakibadili we unapungukiwa nn??
Hujaona hiyo link
Wasomali wakienda ulaya na wakienda kenya wengi hubadili dini
 
Tanzania na Kenya kuna wa Somali in millions, kama wametoka 20 mpaka 200 that's just rounding figure, kama shida ni kuanzisha mjadala sawa, ila that figure haina maana yoyote, pengine hao wasomali wanataka tu visa za Ulaya.

Lugha gongana, conversion has nothing to do with migration, mtu ana convert toka dini Moja kwenda nyengine, Migrant tayari anakuja na dini yake.

Ulaya Hao wazungu na raia wengine ndio wana convert Na katika dini zote Duniani ni uisilamu, Atheist na folks religion tu ambao wanaondoka ni wachache kuliko wanaoingia.

View attachment 3062472
sawa tunaongelea wasomali
 
Unafikiri hizo figure za 20 na 200 nimetoa wapi? Kwenye hio link, unlike you nimesema na kufanya homework yangu, ila 100% wewe umenijibu bila kufungua hio link la sivyo ungeona data nilizoweka zimewekwa kwenye link
 
Back
Top Bottom