Kwanini baadhi ya Wasomali wakifika Kenya wanabadili dini na kuacha uislam?

Kwanini baadhi ya Wasomali wakifika Kenya wanabadili dini na kuacha uislam?

ndo nakuuliza kwaiyo waache watawaliwe na alsha bab
Kulikuwa na utawala ambao uliangua 1991 ndio wakaingia , ina maana waliporwa...Ethiopi waliingia ili kutoa utawala wa wasomali wa asili ili kuendelea mambo ya wazungu .

Hata TALIBAN walifanya hivyo wamepewa nchi yao , si unaona wako kimya sasa. 😀 😀
 
Hakuna jihad imepigwa kweny makazi ya watu wala kutumia mabovu, jihad ilikuwa ni kujilianda na watu walianza kushambulia waislamu .

Elewa neno ''kuanza kushambulia waislamu''
Tuambie kadiri ya kitabu siyo mawazo yako mbona unakwepesha
Si kuna quote za makafiri na jihad
hizo ndo tunataka tusikie
 
Kulikuwa na utawala ambao uliangua 1991 ndio wakaingia , ina maana waliporwa...Ethiopi waliingia ili kutoa utawala wa wasomali wa asili ili kuendelea mambo ya wazungu .

Hata TALIBAN walifanya hivyo wamepewa nchi yao , si unaona wako kimya sasa. 😀 😀
mkuu vita haiishi kwasababu watu wanatawaliwa na utawala wao wa asili si kweli!
kumbuka huo utawala ni familia fulan au mfalme ndo anatawala nani anataka mambo hayo yaan we familia yako itutawale kwa kipi kwan we malaika??
Hamna mtu anaependa huo mfumo.

Jiulize kwanini dunia nzima inapenda democrasia?
Kwasababu democrasia inaruhusu kila mtu mwenye uwezo na ushawishi kutawala!

Hata utawala wa wafalme ulikua na maadui wanaotaka kuuangusha.
Binadamu amekua akipigana maisha yake yote
 
Uislamu ni dini ngumu kwa sababu ina ustaarabu mwingi na ndio maana wenye mioyo dhaifu na isiyo na ustaarabu huwa hawafuati mafundisho ya kiislamu ikiwa wamezaliwa na wazazi waislamu, na wenye mapenzi na dunia kuliko mbinguni nao pia hawawezi kuwa na mapenzi na uislamu, na sio kwamba ni dini ovu na mbaya!

Ukitaka kujua uislamu ni ustaarabu tosha angalia pure muslims wanavyoishi na kupewa identity ya Ostadh au sheikh hata kama hana elimu then linganisha na wengine from other faith!
 
Uislamu ni dini ngumu kwa sababu ina ustaarabu mwingi na ndio maana wenye mioyo dhaifu na isiyo na ustaarabu huwa hawafuati mafundisho ya kiislamu ikiwa wamezaliwa na wazazi waislamu, na wenye mapenzi na dunia kuliko mbinguni nao pia hawawezi kuwa na mapenzi na uislamu, na sio kwamba ni dini ovu na mbaya!

Ukitaka kujua uislamu ni ustaarabu tosha angalia pure muslims wanavyoishi na kupewa identity ya Ostadh au sheikh hata kama hana elimu then linganisha na wengine from other faith!
Tatizo kwene ugaidi tu hapo
na kuamini kuna bikra72
 
Tuambie kadiri ya kitabu siyo mawazo yako mbona unakwepesha
Si kuna quote za makafiri na jihad
hizo ndo tunataka tusikie
Katika Qur an waliotajwa ni makafir wale waliokuwa wanapigana na waislamu , yaani wapo kweny vita.

Qur an 2:190

"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui."

Mpaka ushambuliwe ndio upigane , nje ya hapo ni ukafiri kuua watu wasiokuwa na hatia , waliotajwa washambuliwe na wakamatwe ni wale walikuwa kweny battlefield yaani wanapambana kweny uwanja wa vita sio kuvamiwa . 😀 😀
 
Katika Qur an waliotajwa ni makafir wale waliokuwa wanapigana na waislamu , yaani wapo kweny vita.

Qur an 2:190

"Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui."

Mpaka ushambuliwe ndio upigane , nje ya hapo ni ukafiri kuua watu wasiokuwa na hatia , waliotajwa washambuliwe na wakamatwe ni wale walikuwa kweny battlefield yaani wanapambana kweny uwanja wa vita sio kuvamiwa . 😀 😀
mkuu ila ukweli unaujua ww
 
Back
Top Bottom