Kwanini baadhi ya watu hutingisha miguu wakiwa wametulia?

Kwanini baadhi ya watu hutingisha miguu wakiwa wametulia?

Nijuavyo Mimi Mtu hufanya hivo anapopata raha za asili akiwa kukaa na kutulia, hapa tukumbuke mwenye huzuni au stress hawezi kutisa au mnavodai kutingisha miguu. Baada ya raha hujawa na mawazo ya kukamilisha sterehe zake, na hii hutokea pale unapomuwaza mpenzi kwa utulivu mkubwa mguu hushake na kwa sisi tulio na mabinti akifanya hivo lazima nimwite na kumtuma hata maji tu ili Akili iwaze kingine na kumkomboa kwenye fikra za kupigwa mti. Kwa wanaume nako ni hivo hivo, okisijenii ikijaa kwenye bunduki ukiwa umetulia kitini lazima ushake mguu na hapo ili ikate ghafla ukiitwa na mtu unayemheshimu lazima ikate, na hata ukikaa hautikisi tena mguu hadi baadae, muda mwngne wakati wa barid wengi hufanya hiv ila lengo lao kubwa ni kupata mpenzi atoe baridi, U know I m super humble[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Wale wanaokuwa wamelala alafu mguu ukawa kama unashituka amini nakwambia hao wanaakili Sanaa, wanauwezo wa kuamisha hadi mlima..

Na hao unao wataja ni jamii ya wale wenyewe wanaakili sana..
Naomba udadavue kidogo mkuu.
Maana inanitokea toka niko mtoto..
Mguu unashtuka kama nimepigwa mtama hivi.
Niliuliza wat wakasema ni dalili ya kua na majini mwili..
 
inategemea, kujitingisha ni dalili ya kuwa mtu yupo stressed au anafikiria kitu..

hii inanitokeaga hata mimi...naweza nikawa natingisha mguu au vidole nagonga kwenye meza,

watu wametofautiana, wapo ambao huwa ni voluntary na wengine ni involuntary ila all in all ni mechanism ya ubongo ktk utendaji wake wa kila siku.

Utakuwa una burn calories sana aisee......
 
Najitahidi sana, kutokutingisha kwenye Public...maana ni rahisi mtu kujua uko disturbed kichwani kiaina.....
usijibane sana, ni nzuri pia kiafya
wakijua upo disturbed haiaribu kitu babe acha uoga
 
Hii kitu inaanzia tokea ukiwa tumboni kabla hujazaliwa,hautaiacha mpaka siku utakapozimika...
 
Last edited:
Mtaongea mengi lakini ukweli ni kwamba,hii ni tabia ya mtu yoyote aliyelidhika kimaisha,awe anacho au hana lakini kaweka moyo wake kua na amani na maisha yake.na ni tabia inayoendana na dharau na tuliichukua kwa wakoroni wa kiarabu.tabia za kibwanyenye
 
Heading yoko haina mantiki unajua vizuri maana ya kutulia?
 
kwa wengine huwa ni involuntary action (na ni nzuri sana kwa afya)
Kwa wengine hua tunafanya makusudi kabisa kwa sababu ukikaa muda mrefu umetulia kama gogo inaleta matatizo kwenye blood circulation. Hii pia niliona kwenye kijitabu katika ndege za qatar airways wanashauri kamisa kua usikae muda mrefu bila either kuchezesha miguu au hata kutembea tembea kwenye zile isle paths kuepuka tatizo la mfumo wa mzunguko wa damu.
 
Najikuta natingisha tu miguu. Nikikaaa kwenye kiti unaweza sema ni bonge la bosi.
 
kwa wengine huwa ni involuntary action (na ni nzuri sana kwa afya)
Kwa wengine hua tunafanya makusudi kabisa kwa sababu ukikaa muda mrefu umetulia kama gogo inaleta matatizo kwenye blood circulation. Hii pia niliona kwenye kijitabu katika ndege za qatar airways wanashauri kamisa kua usikae muda mrefu bila either kuchezesha miguu au hata kutembea tembea kwenye zile isle paths kuepuka tatizo la mfumo wa mzunguko wa damu.

Ni sawa kabisa...baada ya kukaa kitako mda mrefu....unashauriwa hivyo...ila kuna ile umesimama...
 
Back
Top Bottom