hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
💯"It is better to be feared than to be loved"
Itakuwa mbegu chafu kutoka kwa wazazi; kama mbegu za mazao na mifugo tunachagua, kwa nini na kwa binadamu tusichague mbegu?
Mfano:- ukichukua mbegu ya mhindi ile iliyopo mwishoni, ata mmea utakao ota utakuwa wa ovyo.
Anza kunywa nenda kwenye vikao ukiwa umekunywa konyagi utapenda...Hua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka😥😥
Na vile sijawahi kunywa kilevi si ninatia aibu jamani😃🤔🤔Anza kunywa nenda kwenye vikao ukiwa umekunywa konyagi utapenda...
View attachment 2757388
Unakunywa kiduchu tu raha yake utasimuliaNa vile sijawahi kunywa kilevi si ninatia aibu jamani😃🤔🤔
Nidokeze kwanza inakuaje kuaje yani...maanake nataka niwe nakasirika hata siku moja moja ila siwezi 😄😄Unakunywa kiduchu tu raha yake utasimulia
Mwanamke shurti apige mvinyo kidogo bwana wee! Hata kwenye mambo yetu unaendaje kavu na jicho linawaka bwana🤪Na vile sijawahi kunywa kilevi si ninatia aibu jamani😃🤔🤔
Ni ngumu kuelezea hisia ila itakufanya uwe wakujiamini,wenge fulani la burudani litajengeka ndani yako halafu akili itakuchaji chap chap!.. kikubwa zingatia kiasi pombe sio chaiNidokeze kwanza inakuaje kuaje yani...maanake nataka niwe nakasirika hata siku moja moja ila
Jaribu ulanzi utakusaidia🙂Hua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka😥😥
Aisee 😃😃😃,, hapana kwakweli 😂😂Mwanamke shurti apige mvinyo kidogo bwana wee! Hata kwenye mambo yetu unaendaje kavu na jicho linawaka bwana🤪
Sawasawa,, nikikua mkubwa ntafanya hivyo saizi naona imeshindikana 🙊🙊Ni ngumu kuelezea hisia ila itakufanya uwe wakujiamini,wenge fulani la burudani litajengeka ndani yako halafu akili itakuchaji chap chap!.. kikubwa zingatia kiasi pombe sio chai
Una mingapi kwani...??Sawasawa,, nikikua mkubwa ntafanya hivyo saizi naona imeshindikana 🙊🙊
Jamani😂😂😂,, nitajaribu siku moja halafu nione maana siwezagi kua serious kabisa yani😄😄Jaribu ulanzi utakusaidia🙂