KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Unaona Sasa shauli yako utaachwa mpk na hao malaika wanaokulinda!Niko nae ila naona kama ameniacha hivi anahisi siko serious ntampotezea muda😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona Sasa shauli yako utaachwa mpk na hao malaika wanaokulinda!Niko nae ila naona kama ameniacha hivi anahisi siko serious ntampotezea muda😃
Haha umenikumbusha kuna jamaa mmoja tulisoma naye O Level, alikuwa anapenda sana kutabasamu na kuchekacheka hadi wenzie wakawa wanamuita Smiling Machine, yani yule alikuwa hata akisimulia kitu anasimulia huku anacheka tuLabda kweli [emoji2][emoji2]...ila ndo unielekeze sasa apart from pombe na mvinyo natakiwa kufanyaje maana hadi watu sometimes hua wananishangaa ujue [emoji23]
Don't say that 😥😥Unaona Sasa shauli yako utaachwa mpk na hao malaika wanaokulinda!
Angekua wa kike ni mimi huyu kabisa najiona😥😂😂Haha umenikumbusha kuna jamaa mmoja tulisoma naye O Level, alikuwa anapenda sana kutabasamu na kuchekacheka hadi wenzie wakawa wanamuita Smiling Machine, yani yule alikuwa hata akisimulia kitu anasimulia huku anacheka tu
Yuko wapi huyo mwanakuchekaHaha umenikumbusha kuna jamaa mmoja tulisoma naye O Level, alikuwa anapenda sana kutabasamu na kuchekacheka hadi wenzie wakawa wanamuita Smiling Machine, yani yule alikuwa hata akisimulia kitu anasimulia huku anacheka tu
Then who's gonna say that...?Don't say that 😥😥
Mdau kumbe wewe ni Ke? DuuhAngekua wa kike ni mimi huyu kabisa najiona😥😂😂
Usiniambie ulikua unajua mimi ni Me😃🤔🤔🙉Mdau kumbe wewe ni Ke? Duuh
Kumbe katoto kabisa nlikuwaga najua wewe ni mshangazi fulaniNiko na very early 20's 😥😥
Wanasema sikuizi mashangazi wanaishia 2004 eti 😶😶Kumbe katoto kabisa nlikuwaga najua wewe ni mshangazi fulani
Hua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka
Sure muda wote najua me sijawahi fuatilia tone ya uandishi ndiomana, nadhani hata content siwi makini between linesUsiniambie ulikua unajua mimi ni Me😃🤔🤔🙉
Kwakweli naona mimi niko funny 😄Kuwa funny ni tofauti na kuwa serious, we upo funny
Pole sana aisee,, am a girl my friend 🤗Sure muda wote najua me sijawahi fuatilia tone ya uandishi ndiomana, nadhani hata content siwi makini between lines
Oooh safiPole sana aisee,, am a girl my friend 🤗
🙌🙌Oooh safi
Habari wanajf
Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama
"mbona inaonekana upo serious mda wote"
Au "mbona una mawazo sana"
Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu.
Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka unaona kabisa huyu mtu huenda hajawahi cheka.
Japokuwa kuna watu wanaonekana kama wanacheka mda wote.
Kipi haswa kinachangia hali hii ya kudumu kwa baadhi ya watuView attachment 2757335
Sio kweli hao wa 2004 bado wabichi kabisaWanasema sikuizi mashangazi wanaishia 2004 eti 😶😶
Nilikuta mahali wanasema hivyo nikabaki nashangaa🙉🙉sio kweli hao wa 2004 bado wabichi kabisa