Kwanini baadhi ya watu wanaonekana kuwa serious muda wote hata kama wana furaha?

Kwanini baadhi ya watu wanaonekana kuwa serious muda wote hata kama wana furaha?

Labda kweli [emoji2][emoji2]...ila ndo unielekeze sasa apart from pombe na mvinyo natakiwa kufanyaje maana hadi watu sometimes hua wananishangaa ujue [emoji23]
Haha umenikumbusha kuna jamaa mmoja tulisoma naye O Level, alikuwa anapenda sana kutabasamu na kuchekacheka hadi wenzie wakawa wanamuita Smiling Machine, yani yule alikuwa hata akisimulia kitu anasimulia huku anacheka tu
 
Haha umenikumbusha kuna jamaa mmoja tulisoma naye O Level, alikuwa anapenda sana kutabasamu na kuchekacheka hadi wenzie wakawa wanamuita Smiling Machine, yani yule alikuwa hata akisimulia kitu anasimulia huku anacheka tu
Yuko wapi huyo mwanakucheka
 
Kuwa funny ni tofauti na kuwa serious, we upo funny
Hua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka
 
Habari wanajf

Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama
"mbona inaonekana upo serious mda wote"
Au "mbona una mawazo sana"
Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu.

Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka unaona kabisa huyu mtu huenda hajawahi cheka.
Japokuwa kuna watu wanaonekana kama wanacheka mda wote.

Kipi haswa kinachangia hali hii ya kudumu kwa baadhi ya watuView attachment 2757335

Ni ushamba tu, watu wa hivyo hawana kabisa exposure, trust me, mostly inachangaiwa pia na utoto wao walipata shida sana au waliteseka sana au wana madhila ya walikotoka, unakuta mtu anakwambia eti unajua mimi nikiwa mdogo nilitembea peku kwenda shule hadi std 4 ndio nikaanza vaa viatu, au sijui mama yangu alikuwa muuza uji, so what? Inanihusu nini sasa? Au ulitaka nasi tukae peku hadi std 4 ili iweje? Au unatuonyesha kuwa unajua sana shida au? Ni ushamba tu mtu wa hivyo mpotezee kabisa na usipende mazoea nae kabisa, ushamba mkubwa.
 
Back
Top Bottom