Kwanini baadhi ya watu wanaonekana kuwa serious muda wote hata kama wana furaha?

Kwanini baadhi ya watu wanaonekana kuwa serious muda wote hata kama wana furaha?

Habari wanajf

Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama
"mbona inaonekana upo serious mda wote"
Au "mbona una mawazo sana"
Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu.

Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka unaona kabisa huyu mtu huenda hajawahi cheka.
Japokuwa kuna watu wanaonekana kama wanacheka mda wote.

Kipi haswa kinachangia hali hii ya kudumu kwa baadhi ya watuView attachment 2757335
Sura za kazi Ila hizo ndio sura za stand up comedy akitumia vizuri muonekano anakusanya maokoto yaan kuna watu sura zao ukimwangalia tu unacheck yaan mtu hajasema chochote ukimwangalia tu sura yake ushacheka sasa aanze kuongea utavunjika mbavu Ila ndio hawapendi kuonekana hivyo yaan ukimcheka anaona km umemdharau kumbe mwonekano wake unachekesha tu

Mcheck huyo NYANI yaan mmetuona NYANI kweli?
 
Hua natamani niwe serious hivyo walau kwa masaa machache tu..maanake hata kwenye vikao vya watu very sensitive hua naulizwa kitu gani kinakufanya utabasamu na sijui kwanini napenda kucheka😥😥
Tafuta mmakonde upendane nae,ndani ya mwezi tu utakua serious.
"Jokes"
 
Mi kila saa naonekana mpole hata kama nimekasirika, yaani naweka sura ya kukasirika lakini watu wananiambia daah we jamaa ni mpole kinoma.

Hicho ndo kinawaponza Huwa hawajui kama nimemaind hadi Waone namtandika mtu vibao, na nikianza kupiga had nione damu ndo hasira zinaisha
kama mimi, watu wanakuona mpole ila hawakujui tu....

tena hadi wanakudharau
 
Wallahi sintaweza kwanza kwenye maisha yangu sikumbuki kama niliwahi kupiga mwanamke, mara ya mwisho kupigana nilipigana na rafiki yangu nikiwa darasa la 3 aliniibia saa yangu
Huwezi kunipiga 😂. Nitakubembeleza wewe
 
Huwezi kunipiga 😂. Nitakubembeleza wewe
Yaani Ukiwa dem wa kikuria lazima wazee wako waniite kijijini waweke kikao cha ukoo kuniuliza kwanini sikupigi? Watanishtaki kwa kosa la kukunyanyasa kwakua sikupigi, maana usipompiga mwanamke wa kikuria wazee wake wanasema unamnyanyasa mtoto wao bora arudi nyumbani
 
Yaani Ukiwa dem wa kikuria lazima wazee wako waniite kijijini waweke kikao cha ukoo kuniuliza kwanini sikupigi? Watanishtaki kwa kosa la kukunyanyasa kwakua sikupigi, maana usipompiga mwanamke wa kikuria wazee wake wanasema unamnyanyasa mtoto wao bora arudi nyumbani
Wala hata mimi sio mkurya
 
Kabisa asee, japo jamaa nilichokuwa namkubali kumkuta amekasirika ni nadra sana, alikuwa anacheka na kila mtu tu
Ndo inavyokuaga, ila tatizo ni watu wanakua wamekuzoea sana hadi kero sometimes...siku ukijifanya uko serious wanajua kabisa kama unawaigizia😄😄
 
Back
Top Bottom