Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Niko na very early 20's 😥😥Una mingapi kwani...??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko na very early 20's 😥😥Una mingapi kwani...??
Anza sahivi uizoee huko baadae nyie ndio mnakuja kutusumbua mnadumbukia mpaka kwenye mitaro!Niko na very early 20's 😥😥
sio kweli bhana 😃🤔🤔Anza sahivi uizoee huko baadae nyie ndio mnakuja kutusumbua mnadumbukia mpaka kwenye mitaro!
Ngoja ukuekue kidogo huenda ukanielewa.Aisee 😃😃😃,, hapana kwakweli 😂😂
Shauli yako vitu vyakuvikuta ukubwani huwa vinasumbua mno!..😂sio kweli bhana 😃🤔🤔
Huyu naye ni mtu?Habari wanajf
Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama
"mbona inaonekana upo serious mda wote"
Au "mbona una mawazo sana"
Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu.
Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka unaona kabisa huyu mtu huenda hajawahi cheka.
Japokuwa kuna watu wanaonekana kama wanacheka mda wote.
Kipi haswa kinachangia hali hii ya kudumu kwa baadhi ya watuView attachment 2757335
Labda kweli 😃😃...ila ndo unielekeze sasa apart from pombe na mvinyo natakiwa kufanyaje maana hadi watu sometimes hua wananishangaa ujue 😂Ngoja ukuekue kidogo huenda ukanielewa.
Wanasemaga hivyo ndio,, ila sio kwa wote bhana Nakataa😂😂Shauli yako vitu vyakuvikuta ukubwani huwa vinasumbua mno!..😂
Kwamba huwa unachekacheka hovyo hata kwenye issues serious?Labda kweli 😃😃...ila ndo unielekeze sasa apart from pombe na mvinyo natakiwa kufanyaje maana hadi watu sometimes hua wananishangaa ujue 😂
Wanakataaga hivihivi baadae tutakutana mtaroniWanasemaga hivyo ndio,, ila sio kwa wote bhana Nakataa😂😂
Siwezagi kua serious,, kuna wakati mtu anaweza akaniudhi sanaaa anaweza kuhisi hata nitapunic hata nimtukane au nimchambe but naishia tu kusema sawa na kutabasamu🤔🤔Kwamba huwa unachekacheka hovyo hata kwenye issues serious?
usinitisheee😬😬Wanakataaga hivihivi baadae tutakutana mtaroni
Tatizo hampendi ukweli!usinitisheee😬😬
Inawezekana bhana... my mom ana 40+ lakini hajawahi onja kilevi chochote na yuko good tu mbona😶😶🙄Tatizo hampendi ukweli!
Hiyo chekelea haitakuisha... Vipi honey unae au ndo papatupapatu...?Inawezekana bhana... my mom ana 40+ lakini hajawahi onja kilevi chochote na yuko good tu mbona😶😶🙄
Niko nae ila naona kama ameniacha hivi anahisi siko serious ntampotezea muda😃Hiyo chekelea haitakuisha... Vipi honey unae au ndo papatupapatu...?