ndo nikogo hivyo tangu nilivyokua shule, hadi nyumbani niko hivyohivyo ๐๐siyo kwamba ni defensive mechanism, unatumia kama silaha
Hajakunywa anacheka, akinywa si ndio atasakata rumba.Anza kunywa nenda kwenye vikao ukiwa umekunywa konyagi utapenda...
View attachment 2757388
Bora tubaki hivyo hivyo tu๐Sijui hata mnaitwaje, ila hamnogi๐คฃ๐คฃ
ni tatizo la afya ya akiliHabari wanajf
Kama nawewe ni miongoni basi utakuwa sio mgeni wa maswali kama
"mbona inaonekana upo serious mda wote"
Au "mbona una mawazo sana"
Sasa kuna baadhi ya watu nadhani namimi ni miongoni tunaonekana tuna sura ambazo hazina chembe ya tabasamu.
Yaani kuna mtu ukimtazama kwa haraka unaona kabisa huyu mtu huenda hajawahi cheka.
Japokuwa kuna watu wanaonekana kama wanacheka mda wote.
Kipi haswa kinachangia hali hii ya kudumu kwa baadhi ya watuView attachment 2757335
Ukienda kwa baby wako unakuwa na macho makavu tu? Na hivi ulisema ni makubwa๐คฃ๐คฃ haogopi?Bora tubaki hivyo hivyo tu๐
"Familiarity breeds contempt"Why??
it takes a second,not to be feared anymore."It is better to be feared than to be loved"
Bahati mbaya hayupo๐. Ila huwa naenda hivyo situmii pombe kabisa.Ukienda kwa baby wako unakuwa na macho makavu tu? Na hivi ulisema ni makubwa๐คฃ๐คฃ haogopi?
Ati hayupo?Bahati mbaya hayupo๐. Ila huwa naenda hivyo situmii pombe kabisa.
AbsolutelyAti hayupo?
How?ni tatizo la afya ya akili
Wewe umeifunga mada๐๐๐Kila kiumbe kina toa energy ambayo inakua felt na wengine wanaomzunguka. Ndio mana unafuraha lkn watu wanaon umenuna, it is something spiritual not a body language.
๐๐๐ Mtu wa zamani,si tulibiwa tumetokana na nyani lakin?Huyu naye ni mtu?
Weka mfano halisi ikibidi iwe ya kiongozi wa chama cha siasa chenye nguvu