Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
SALAMA LEKO
Labda anayekataa ni wewe , wengine na h
Hadi naona aibu mimi hawa wezi wanatutishia habari za Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SALAMA LEKO
Labda anayekataa ni wewe , wengine na h
Hadi naona aibu mimi hawa wezi wanatutishia habari za Mungu
Mafisadi, wezi, watukanaji, wabakaji, walawiti na wengine wengi waovu wengi wao zaidi ya 99% huwa ni watu wenye dini.Dini HUSAIDIA katika kuweka maadili sawa kama vile tu katiba/sheria ya nchi ilivyo, tofauti ni kwamba dini hutumia guilt (hatia) kuweka watu katika maadili wakati sheria ya nchi hushurutisha.
Hiyo ndiyo kazi ya dini hata kwa waislamuMafisadi, wezi, watukanaji, wabakaji, walawiti na wengine wengi waovu wengi wao zaidi ya 99% huwa ni watu wenye dini.
Mimi mtu akinisalimia hivyo nasemaga mimi sijui kiarabu na yeye nikimsalimia kihindi atanijibu?😃😃Mimi sijui Kiarabu
OYa shwari ? (Ni sawa tu na kuuliza kama amani ipo???).Basi salimia hivyo kwa kiswahili "amani iwe nanyi"
Mimi mtu akinisalimia hivyo nasemaga mimi sijui kiarabu na yeye nikimsalimia kihindi atanijibu?😃😃
Hadi naona aibu mimi hawa wezi wanatutishia habari za Mungu
Sasa kwanini unisalimie salam ya watu wa kati huko inanisaidia nini si bora unisalimie kwa kisukuma asee MKOMEKatika hoja zako 3 iko hivi,
1. Asalaam Aleykum siyo salam ya kidini ni salam ya watu wa middle East, Yesu pia alikuwa akisalimia hivi pia ambapo tafsiri yake kwa kiswahili ni Amani iwe juu yako, na wewe unaitikia na kwako pia, je kuna shida hapo? Shida ni lugha tu huelewi, ni kama Wakristo wanashindana salamu ya bwana asifiwe na tumsifu Yesu kristu ipi sahihi? Huwezi kuona hawa wote ni vichaa? Kuna tofauti gani hapo katika hizo mbili?
2. Hizo refference siyo lazima uzikubali unaweza kuzikataa au kuzikubali kwa sababu vyote ni vitabu vimeandikwa na binadamu havijaandikwa na Mungu.
3. Nakubaliana na wewe mia kwa mia kwenye hoja namba 3.
Kiswahili kimekopa maneno kutoka lugha mbalimbali ikiwemo kiarabu. Kama kiarabu kipo hapo ni sawa maana ndipo tulipokopa maneno mengiUnafikiri hayo maneno uliyoandika hamna kiarabu ??
Shalom.......Katika hoja zako 3 iko hivi,
1. Asalaam Aleykum siyo salam ya kidini ni salam ya watu wa middle East, Yesu pia alikuwa akisalimia hivi pia ambapo tafsiri yake kwa kiswahili ni Amani iwe juu yako, na wewe unaitikia na kwako pia, je kuna shida hapo? Shida ni lugha tu huelewi, ni kama Wakristo wanashindana salamu ya bwana asifiwe na tumsifu Yesu kristu ipi sahihi? Huwezi kuona hawa wote ni vichaa? Kuna tofauti gani hapo katika hizo mbili?
2. Hizo refference siyo lazima uzikubali unaweza kuzikataa au kuzikubali kwa sababu vyote ni vitabu vimeandikwa na binadamu havijaandikwa na Mungu.
3. Nakubaliana na wewe mia kwa mia kwenye hoja namba 3.
Kama wewe ni mhindi ukisalimia kihindi haina noma sana, tatizo litaanza wewe ni Mwafrika tena labda mweusi tii kama chungu halafu unasalimia Waafrika wenzako wabantu kihindi.Mimi mtu akinisalimia hivyo nasemaga mimi sijui kiarabu na yeye nikimsalimia kihindi atanijibu?😃😃
Mimi hujibu "Kazi iendelee".Mimi mtu akinisalimia salamaleko huwa namjibu salama. Sipendi mashindano na watu....
Maandiko ya Aristotle na Nyerere ni maandiko ya ki-secular yanayoweza kutumika na watu wa dini zote na wasio na dini pia.Ila mtu akinukuu akina Aristotle,Mwalimu Nyerere unapenda ? Hekima ipo kwenye vitabu vitakatifu.acha upoyoyo.pia Salamu kama haikuhusu/huijui itika unavyojua. Kwenye vituo vya mabasi kukiwa na miziki ya Koffi,Matangazo ya Dawa, Biashara hakuna shida! Ila akihubiriwa Muumba wa vyote,ni shida! Umekamatwa na ibilisi wewe,yakupasa toba.mfano injili ni habari njema,unakasilikia vipi habari njema?
Shalom.Shalom.......
Ni habari njema kwako sio kwa kila mtu.Ila mtu akinukuu akina Aristotle,Mwalimu Nyerere unapenda ? Hekima ipo kwenye vitabu vitakatifu.acha upoyoyo.pia Salamu kama haikuhusu/huijui itika unavyojua. Kwenye vituo vya mabasi kukiwa na miziki ya Koffi,Matangazo ya Dawa, Biashara hakuna shida! Ila akihubiriwa Muumba wa vyote,ni shida! Umekamatwa na ibilisi wewe,yakupasa toba.mfano injili ni habari njema,unakasilikia vipi habari njema?