Kwanini baadhi ya watu wenye dini zao hufikiri kila mtu anapaswa kuendana nao?

Dini HUSAIDIA katika kuweka maadili sawa kama vile tu katiba/sheria ya nchi ilivyo, tofauti ni kwamba dini hutumia guilt (hatia) kuweka watu katika maadili wakati sheria ya nchi hushurutisha.
Mafisadi, wezi, watukanaji, wabakaji, walawiti na wengine wengi waovu wengi wao zaidi ya 99% huwa ni watu wenye dini.
 
Kati ya vitu sivipendi, mtu anisalimie kwa lugha za dini.. Huwa nakereka sana 🙂🙂
 
Sasa kwanini unisalimie salam ya watu wa kati huko inanisaidia nini si bora unisalimie kwa kisukuma asee MKOME
 
Ingetokea nikawa Rais hata kwa mwez tu...ningeweka kodi kubwa sana kwa hawa watu..yaani sio msikitini wala makanisani...wangeyafunga wenyewe bila kupenda..kwa nn hawalipi kodi??
 
Unafikiri hayo maneno uliyoandika hamna kiarabu ??
Kiswahili kimekopa maneno kutoka lugha mbalimbali ikiwemo kiarabu. Kama kiarabu kipo hapo ni sawa maana ndipo tulipokopa maneno mengi
 
Shalom.......
 
Mimi mtu akinisalimia hivyo nasemaga mimi sijui kiarabu na yeye nikimsalimia kihindi atanijibu?😃😃
Kama wewe ni mhindi ukisalimia kihindi haina noma sana, tatizo litaanza wewe ni Mwafrika tena labda mweusi tii kama chungu halafu unasalimia Waafrika wenzako wabantu kihindi.
 
Inabidi uende mbali zaidi ili ujue siasa inahusiana vipi na dini na kwa namna gani zimeathili tamaduni za watu.
 
Maandiko ya Aristotle na Nyerere ni maandiko ya ki-secular yanayoweza kutumika na watu wa dini zote na wasio na dini pia.
 
Ni habari njema kwako sio kwa kila mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…