dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #21
Ssi mainjinia hatuahitajoki kusoma history , history is for a lazy studentUnahitaji kusoma historia ya Africa ili kupata jibu la swali lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ssi mainjinia hatuahitajoki kusoma history , history is for a lazy studentUnahitaji kusoma historia ya Africa ili kupata jibu la swali lako
Forogo Ganze Ni naniHakuwa na akili na alikuwa mchawi.
Asingekuwa mchawi Leo Forojo Ganze asingejulikana.
Wazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha kutimiza matakwa ya mabwana wakubwa.Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa
Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis
Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Hilo lisingewezekaana Leo hi Rwanda ingekuwa sehemu ya mkoa wetuKwani wewe ulitaka genocide pia ipigwe kwenye ardhi yetu🙌
Tunavyolia lia kuhusu utapel wa mapenzi ,tungeunganishwa na hizi chuma tungejiua nchi nzima kisa mapenzi.
Hee HV unasema Kweli hivi wazo la muungano siyo la Nyerere Tena ? Je Ni la kina Nani ambao walimsimamia Nyerere kufanya muungano huoWazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha na mabwana wakubwa.
Kbsaa yaani leo ningezama Rwanda kumuopa mnyatwanda mwezangu piga mitiTunavyolia lia kuhusu utapel wa mapenzi ,tungeunganishwa na hizi chuma tungejiua nchi nzima kisa mapenzi.
Wanyarandwa ni matapeli nguli wa mapenzi hasa kwa bantu boys .Kb
Kbsaa yaani leo ningezama Rwanda kumuopa mnyatwanda mwezangu piga miti
Uzi mzuri mkuu sema kuna makosa mengi sana ya kimaandishi .Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa
Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis
Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Anyway shikamoo bib sijakuona Muda Sana HV Bado unalo Hilo darsa lako la faiza na pia una account Twitter ? !Kama unayo naomba nikufollowWazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha kutimiza matakwa ya mabwana wakubwa.
Jisomee, kama Kingereza hakipandi mwambie AI akusaidie kutafsiri:Hee HV unasema Kweli hivi wazo la muungano siyo la Nyerere Tena ? Je Ni la kina Nani ambao walimsimamia Nyerere kufanya muungano huo
Samwaleko🐃Wazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha kutimiza matakwa ya mabwana wakubwa.
Unajua matusi gani alitukanwa alipowasilisha wazo hilo kwa viongozi wa Rwanda na Burundi wakati huo?Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa
Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis
Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Acha uongoUnajua matusi gani alitukanwa alipowasilisha wazo hilo kwa viongozi wa Rwanda na Burundi wakati huo?
Tabia ya mtu hufinyangwa na makuzi na mazingira. Hata wewe ungekuzwa kwenye mazingira ya kikatili ingekuwa mkatili.Watusi na wahutu Ni watu hatari Sana
Mfano muhutu Ni mkatili na asiye na huruma 😡 kukuua ama kuchinja MTU Ni easy..
Mtusi Ni dicteta na wabinafsi Sana na Wana nationalism ya kitusi (Kama waislaeli weusi vili)
Rwanda na Burundi zilikuwa ni sehemu ya Tanganyika na sarafu ilikuwa moja, hata jimbo la Mozambique la Cabo Delgado lilikuwa Tanganyika.Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa
Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis
Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Ila Dar iwe safi kama Kigali?Bas kagame awe rais wetu yaani
Ndiye mshirikina alietuletea mwenge.Fo
Forogo Ganze Ni nani
Kumbe Rwanda na Burundi ni sehemu ya nchi yetu!Rwanda na Burundi zilikuwa ni sehemu ya Tanganyika na sarafu ilikuwa moja, hata jimbo la Mozambique la Cabo Delgado lilikuwa Tanganyika.
Baada ya Ujerumani kushindwa vita ndio Mreno akachukuwa Cabo Delgado na Wabelgium wakachukuwa Rwanda na Burundi.