Kwanini Baba Nyerere hakutunganisha na Rwanda na Burundi badal yake akatuunganisha na Zanzibar

Kwanini Baba Nyerere hakutunganisha na Rwanda na Burundi badal yake akatuunganisha na Zanzibar

Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa

Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis

Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Wazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha kutimiza matakwa ya mabwana wakubwa.
 
Wazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha na mabwana wakubwa.
Hee HV unasema Kweli hivi wazo la muungano siyo la Nyerere Tena ? Je Ni la kina Nani ambao walimsimamia Nyerere kufanya muungano huo
 
Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa

Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis

Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Uzi mzuri mkuu sema kuna makosa mengi sana ya kimaandishi .
 
Wazo na maamuzi ya kuiunganisha Tanganyika na Zanzibar hayakuwa ya Nyerere, Nyerere alitumika tu kama kikaragosi cha kutimiza matakwa ya mabwana wakubwa.
Anyway shikamoo bib sijakuona Muda Sana HV Bado unalo Hilo darsa lako la faiza na pia una account Twitter ? !Kama unayo naomba nikufollow
 
Hee HV unasema Kweli hivi wazo la muungano siyo la Nyerere Tena ? Je Ni la kina Nani ambao walimsimamia Nyerere kufanya muungano huo
Jisomee, kama Kingereza hakipandi mwambie AI akusaidie kutafsiri:

 
Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa

Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis

Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Unajua matusi gani alitukanwa alipowasilisha wazo hilo kwa viongozi wa Rwanda na Burundi wakati huo?
 
Watusi na wahutu Ni watu hatari Sana

Mfano muhutu Ni mkatili na asiye na huruma 😡 kukuua ama kuchinja MTU Ni easy..

Mtusi Ni dicteta na wabinafsi Sana na Wana nationalism ya kitusi (Kama waislaeli weusi vili)
Tabia ya mtu hufinyangwa na makuzi na mazingira. Hata wewe ungekuzwa kwenye mazingira ya kikatili ingekuwa mkatili.

Watusi na Wahutu ni watu wema. Nchi zao zingekuwa sehemu ya Tanzania hayo yasliyotokea kwenye nchi zao yasingetokea.
 
Ukitazama ramanj vzr ya tanganyika utaona kabsa kuwa Rwanda na Burundi imo ndai ya tanganyika kbsa lkn ajabu Ni nchi zinazo jiitegemeaa

Sasa kwani mwalimu hakuona haja tuwe taifa moja badlaa yake tumekuwa na Zanzibar ambao wako mbali na sis

Niko hayo kwa leo safarini kuelekea rwanda kwa wakwe
Rwanda na Burundi zilikuwa ni sehemu ya Tanganyika na sarafu ilikuwa moja, hata jimbo la Mozambique la Cabo Delgado lilikuwa Tanganyika.

Baada ya Ujerumani kushindwa vita ndio Mreno akachukuwa Cabo Delgado na Wabelgium wakachukuwa Rwanda na Burundi.
 
Rwanda na Burundi zilikuwa ni sehemu ya Tanganyika na sarafu ilikuwa moja, hata jimbo la Mozambique la Cabo Delgado lilikuwa Tanganyika.

Baada ya Ujerumani kushindwa vita ndio Mreno akachukuwa Cabo Delgado na Wabelgium wakachukuwa Rwanda na Burundi.
Kumbe Rwanda na Burundi ni sehemu ya nchi yetu!

Itatokea kuungana nao tena ili tuwe na nchi kubwa iitwayo Tanganyika?
 
Back
Top Bottom