Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ndiyo ushahidi wako(akina nani)walitaka kutoboa au kupasua anga?Anga ni mfano wa mfuniko wenye umbo la glass au ice, inafahamika kama “Dome" (firmament)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ushahidi wako(akina nani)walitaka kutoboa au kupasua anga?Anga ni mfano wa mfuniko wenye umbo la glass au ice, inafahamika kama “Dome" (firmament)
Sawa, kwanini walijenga mnara na sio kufanya hizo shughuli zao mahali pa Kawaida tu?Baber(AKKADIAN).
kila Aina ya Matambiko yalifanyika hapo ili kufungua geti la mbinguni.
ulozi/ushirikina wa Kiwango cha juu vilifanywa hapo.
so,matambiko hayo yangelitimia uenda finaly wangeliweza kuingia mbiguni.na Mungu kuona hivyo akawachafulia lugha mapema Kabla hawajafikia lengo.
ndiyo maana ilo eneo(akkadian)linaitwa geti la mbinguni.
Mungu!Nani huyo aje kujibu?
Maswali yako ni viroja sana.Huwa unasoma mwenyewe maandiko au huwa unasimuliwa tu?Sawa, kwanini walijenga mnara na sio kufanya hizo shughuli zao mahali pa Kawaida tu?
Hao si wanasoma Bible kama wanasoma Umbea wa mange...Hamna kitu wanaelewaThis is myopic and I will answer myopically. Ule mnara haukuwa na maana ya urefu wa kwenda juu Bali ilikuwa ni madhabahu ya malango ya kufikia mbingu ambayo Mungu anaishi.
So mfalme Nebkadneza kwa msaada wa wanefili alifuniliwa Siri mahali pa kuujenga huo mnara kama madhabahu na rituals za kufanya ili apate kuifikia mbingu ambayo waliamini Mungu anaishi.
Vizuri, kama upo interested na hiyo mada, nenda kafanye tafiti kuhusu kitu kinaitwa “operation High jump"Ndiyo ushahidi wako(akina nani)walitaka kutoboa au kupasua anga?
Maandiko ya kitabu gani?Maswali yako ni viroja sana.Huwa unasoma mwenyewe maandiko au huwa unasimuliwa tu?
Yani muda wote unanisumbua ili unipe homework badala ya kuleta hayo mambo hapa kila mmoja ajionee?Loser!Vizuri, kama upo interested na hiyo mada, nenda kafanye tafiti kuhusu kitu kinaitwa “operation High jump"
Tunajadili kuhusu kitabu gani hapa?Maandiko ya kitabu gani?
Hilo sio jambo dogo la kueleza kwa maandishi mafupi, pia nilifanya tafiti kwa muda wangu na wewe kama unataka kujua fanya tafiti kwa muda wakoYani muda wote unanisumbua ili unipe homework badala ya kuleta hayo mambo hapa kila mmoja ajionee?Loser!
Sijui, kwani mada imetaja kitabu gani?Tunajadili kuhusu kitabu gani hapa?
Sure I can do better as I use to do before.But I'm sure you could do better.
Kwa hiyo nikienda huko na kupata majibu yangu yasiyofanana na wewe ndiyo itakuwa imeishia hapo?Ukianzisha jambo lilete hapa.Ningetaka niende huko nisingekuwepo hapa.Hilo sio jambo dogo la kueleza kwa maandishi mafupi, pia nilifanya tafiti kwa muda wangu na wewe kama unataka kujua fanya tafiti kwa muda wako
Huwa unakunywa juisi ya ubuyu?Sijui, kwani mada imetaja kitabu gani?
Kama haiwezekani, basi watu wa Babeli ndyo walikuwa hawajui walifayaloMe naamini physically huwezi fika mbinguni. Mnara wa babel ni zaidi ya tujuavyo
Huku nilipo ubuyu ni adimu sana, sijapata juice hiyo kwa muda sasaHuwa unakunywa juisi ya ubuyu?
Kama unaenda nenda, kama huendi bakiKwa hiyo nikienda huko na kupata majibu yangu yasiyofanana na wewe ndiyo itakuwa imeishia hapo?Ukianzisha jambo lilete hapa.Ningetaka niende huko nisingekuwepo hapa.
😂😂😂😂😂🙏Kama unaenda nenda, kama huendi baki