Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #61
π₯ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π₯ππππππ
Lengo la kujenga mnara wa Babeli ni sawa na lengo la kujenga ISS?Habari mdau, fikiri kuhusu hili...
Mungu alikasirika walipo jenga mnara wa Babeli, kwa lengo la kufikia mbinguni.
View attachment 3048030
Jiulize, je kwa sasa hana tatizo na international space station?
View attachment 3048031
Kama Mungu alizuia jaribio la watu kufika mbinguni, inamaana kwa sasa hawezi kuzuia?
Perhaps, space is fake.....
Miaka 10000? Mbona mbali sana mkuuKama hiki ndiyo kiwango cha KUFIKIRI, basi itatuchukua miaka 10000 kuwa na vijana wenye fikra chanya. Anyway, Biblia haijaandikwa kama gazeti mkuu. Rudia kuusoma tena habari za Babeli.
Perhaps space is fake, huwezi kutoka nje ya dunia.Lengo la kujenga mnara wa Babeli ninsawa na lengo la kujenga ISS?
Wapi uliwahi sikia ISS inahangaika na hata kumtaja Mungu?
Well, that's why nimesema nahitaji ufikiri kuhusu hili na umefanya hivyo... VizuriI don't think haya mambo yaliwahi kuwako
Sasa wakasema: βHaya! Na tujijengee jiji na mnara ambao kilele chake kitafika mbinguni, na tujijengee jina maarufu, ili tusitawanyike katika dunia yote.(Mwanzo 11:4)Lengo lilikuwa lipi?
Kilichojengwa Kwa macho ya kimwili lilikua ni jengo lakini kwa jicho la kiroho walikua wanatoa sacrifice za kutumia uchawi ili kuzifikia mbingu. Hapo ndipo jamii za siri zilipoanzia. Uchawi pia ulianziwa hapo.Habari mdau, fikiri kuhusu hili...
Mungu alikasirika walipo jenga mnara wa Babeli, kwa lengo la kufikia mbinguni.
View attachment 3048030
Jiulize, je kwa sasa hana tatizo na international space station?
View attachment 3048031
Kama Mungu alizuia jaribio la watu kufika mbinguni, inamaana kwa sasa hawezi kuzuia?
Perhaps, space is fake.....
Sasa wakasema: βHaya! Na tujijengee jiji na mnara ambao kilele chake kitafika mbinguni, na tujijengee jina maarufu, ili tusitawanyike katika dunia yote.(Mwanzo 11:4)
Sahihi kabisa, mambo mengi machafu yalianzia hapo, lakini hilo jengo lengo lake lilikuwa kujaribu kufikia mbingu. Japo haiwezekani lakini walifanya pasipo kujua kwamba Mungu hapendi na atawaadhibuKilichojengwa Kwa macho ya kimwili lilikua ni jengo lakini kwa jicho la kiroho walikua wanatoa sacrifice za kutumia uchawi ili kuzifikia mbingu. Hapo ndipo jamii za siri zilipoanzia. Uchawi pia ulianziwa hapo.
Mwanzo 1:20 Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.Kilele chake kitafika mbinguni
Wee jamaa kichwa yako ngumu. Yaani kama wewe ni kiongozi wa familia wanakukoma kwa misimamo yako ya uliyolazimishwa kuamini, khaaSawa, kwanini walijenga mnara na sio kufanya hizo shughuli zao mahali pa Kawaida tu?
Mwanzo 1:20 Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.
Mbingu unaweza kumaanisha Anga hewa au Makao ya ya roho. Anga kwa maneno mengine ni mbingu. So maneno hayo yanamaanisha Kilele chake kitafika Angani.
Hapana mkuu, Biblia imesema lengo ni kufika au kuona mbinguniWee jamaa kichwa yako ngumu. Yaani kama wewe ni kiongozi wa familia wanakukoma kwa misimamo yako ya uliyolazimishwa kuamini, khaa
Basi baki na biblia yako. So Yesu aliposema yeye ndie chakula cha uzima, means ili tusife tumchinje Yesu tumchome mishkaki then tule sindio?Hapana mkuu, Biblia imesema lengo ni kufika au kuona mbinguni
Hapana, sio kumla mwili au kunywa damu yake, ila ni kuishi maneno yake na kufuata mafundisho yake Bwana.Basi baki na biblia yako. So Yesu aliposema yeye ndie chakula cha uzima, means ili tusife tumchinje Yesu tumchome mishkaki then tule sindio?
Hoja za kitoto usiwe unanishirikisha we bwana mdogo.Kama huyo God ni real, Aje hapa ajidhihirishe mwenyewe.
Mnahangaika kumwongelea na kumuelezea Mungu ambaye hajawahi kuwepo na hayupo kuprove his reality.
Living God is realGod is not fake
Kama ni hoja za kitoto mbona unashindwa kujibu?Hoja za kitoto
Unahangaika sana kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.usiwe unanishirikisha we bwana mdogo.
ππππKama ni hoja za kitoto mbona unashindwa kujibu?
Unahangaika sana kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.
Kama huyo Mungu yupo aje hapa mwenyewe ajidhihirishe mwenyewe yupo na ajiongelee yeye kama yeye.
Ninyi mnahangaika kuongelea kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo kujitetea chenyewe.
Automatically taarifa zenu ni za uongo.