Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Mungu anaweza kuleta amani. Yeye ni mfalme wa amani.Amani hailetwi na maombi wewe, kwani huko Lebanon , Ukraine, Urusi, Syria hakuna wanaofanya maombi?
Lakini kaa ukijua kuwa, Mungu ni Mungu mwenye Hasira, na ghadhabu yake inapomwagwa juu ya nchi dunia lazima itikisike, Kabla ya kuleta maangamivu yoyote, Jua kabisa, Maonyo hutangulia.
Ezekiel 22:30
Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, atakayelitengeneza boma, na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka, kwa ajili ya nchi, nisije nikaiharibu, lakini sikuona mtu.