Kwanini bado wazazi waliofanikiwa kibiashara ni waoga kuwashirikisha, kuwaamini na kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ?

Kwanini bado wazazi waliofanikiwa kibiashara ni waoga kuwashirikisha, kuwaamini na kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nashangaa kuona bado hizi fikra za kale zinaendelea "kila mtu ajitafutie cha kwake", mtoto wa mfanyabiashara anafika miaka 23 hana utofauti na watoto wa mwalimu, yani hajui kitu kuhusu biashara kiasi kwamba hata akimaliza chuo anafikiria mshahara, hata akikosa ajira mzazi kwenye account ana milioni 500 lakini atampa kimtaji cha milioni 10 nae aende kupambana kivyake "ajitafutie kivyake", Mzazi hamuamini mtoto wake aendeleze biashara zake.

Wazazi Watanzania ambao wamefanikiwa ni waoga sana kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ya kibiashara iliyofanya wafanikiwe tofauti na wenzetu wenye asili ya Asia (Waarabu na Wahindi)

Nikupe mfano utakuta baba alikuwa na maduka ya hardware na mashamba, biashara hizi zimempa mafanikio hata watoto wake kawasomesha kupitia maokoto ya huku.

Cha ajabu
-watoto mpaka wanakuwa wakubwa hawashirikishwi kwenye biashara walau wajifunze hata machimbo ya kujumulia mzigo,

-haukuti anawasomesha waje waendeleze biashara hiyo ya familia waje na idea mpya,

matokeo yake baba umri ukienda (uzee) au kifo na biashara zinakufa maana watoto hawajui chochote kuhusu hizo biashara, wajanja wanafagia.

Watanzania tunakosa kujiamini sana kuendeleza biashara za kifamilia. Tunapenda sana kuajiriwa. Wenzetu wanatengeneza brands
 
Watanzania hatuna utaratibu wa kuwaanda watoto tangu wakiwa wadogo,Angalia Kuna Maduka ya wahindi unaweza kwenda ukahudumiwa na boy wa miaka 9 mpaka ukashangaa hapo baba sijui babu yake kakaa pembeni kama observer,tatizo sisi mtoto muda huo yupo tuition huku tukuisisitiza soma uje kuwa daktari.....akifika miaka 23 udaktari hajaupata na kwenye biashara hana knowledge
 
Nashangaa kuona bado hizi fikra za kale zinaendelea "kila mtu ajitafutie cha kwake", mtoto wa mfanyabiashara anafika miaka 23 hana utofauti na watoto wa mwalimu, yani hajui kitu kuhusu biashara kiasi kwamba hata akimaliza chuo anafikiria mshahara, hata akikosa ajira mzazi kwenye account ana milioni 500 lakini atampa kimtaji cha milioni 10 nae aende kupambana kivyake "ajitafutie kivyake", Mzazi hamuamini mtoto wake aendeleze biashara zake.

Wazazi Watanzania ambao wamefanikiwa ni waoga sana kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ya kibiashara iliyofanya wafanikiwe tofauti na wenzetu wenye asili ya Asia (Waarabu na Wahindi)

Nikupe mfano utakuta baba alikuwa na maduka ya hardware na mashamba, biashara hizi zimempa mafanikio hata watoto wake kawasomesha kupitia maokoto ya huku.

Cha ajabu
-watoto mpaka wanakuwa wakubwa hawashirikishwi kwenye biashara walau wajifunze hata machimbo ya kujumulia mzigo,

-haukuti anawasomesha waje waendeleze biashara hiyo ya familia waje na idea mpya,

matokeo yake baba umri ukienda (uzee) au kifo na biashara zinakufa maana watoto hawajui chochote kuhusu hizo biashara, wajanja wanafagia.

Watanzania tunakosa kujiamini sana kuendeleza biashara za kifamilia. Tunapenda sana kuajiriwa. Wenzetu wanatengeneza brands
Hii ishu yule mbunge Kishimba sijui kama nimeandika jina lake kwa usahihi alishazungumzia bungeni ila wengi walimuona comedian.
 
Nashangaa kuona bado hizi fikra za kale zinaendelea "kila mtu ajitafutie cha kwake", mtoto wa mfanyabiashara anafika miaka 23 hana utofauti na watoto wa mwalimu, yani hajui kitu kuhusu biashara kiasi kwamba hata akimaliza chuo anafikiria mshahara, hata akikosa ajira mzazi kwenye account ana milioni 500 lakini atampa kimtaji cha milioni 10 nae aende kupambana kivyake "ajitafutie kivyake", Mzazi hamuamini mtoto wake aendeleze biashara zake.

Wazazi Watanzania ambao wamefanikiwa ni waoga sana kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ya kibiashara iliyofanya wafanikiwe tofauti na wenzetu wenye asili ya Asia (Waarabu na Wahindi)

Nikupe mfano utakuta baba alikuwa na maduka ya hardware na mashamba, biashara hizi zimempa mafanikio hata watoto wake kawasomesha kupitia maokoto ya huku.

Cha ajabu
-watoto mpaka wanakuwa wakubwa hawashirikishwi kwenye biashara walau wajifunze hata machimbo ya kujumulia mzigo,

-haukuti anawasomesha waje waendeleze biashara hiyo ya familia waje na idea mpya,

matokeo yake baba umri ukienda (uzee) au kifo na biashara zinakufa maana watoto hawajui chochote kuhusu hizo biashara, wajanja wanafagia.

Watanzania tunakosa kujiamini sana kuendeleza biashara za kifamilia. Tunapenda sana kuajiriwa. Wenzetu wanatengeneza brands
Wazazi wanaogopa kwa sababu ya aina ya maisha wanayoishi. Wazee wana nyumba ndogo na mademu wengi. Wakiwashirikisha watoto kila kitu wataanza kuhoji hela zinatumika vipi ? Wakitaka kumnunulia kimada gari. Watoto watahoji mbona kuna transaction ya milioni 20. Watakosa uhuru wa kutumia hela kwenye starehe yetu pendwa sisi waafrika. Na wakisema wawadekeze watoto kwa kuwapa mapocket money makubwa ili wasisumbuliwe watakuwa wamewaharibu. Kingine zaidi ni kuwa hii connection inabidi ianze mapema sana yaani mtoto akiwa mdogo. Ukichelewa kumshirikisha mtoto, unakuta mtoto anakuwa influenced na mama yake kwenye Business ya mzee. Haya mambo ukitaka kuyajua sana fuatilia wachagga miaka ya 90 na 80 waliouza mashamba ya baba zao wakiwa hai. Baada ya kupewa himaya ya maeneo wengine walidiriki hadi kufukuza wazazi. Yaani mzazi anafukuzwa kwenye eneo lake.
 
Nashangaa kuona bado hizi fikra za kale zinaendelea "kila mtu ajitafutie cha kwake", mtoto wa mfanyabiashara anafika miaka 23 hana utofauti na watoto wa mwalimu, yani hajui kitu kuhusu biashara kiasi kwamba hata akimaliza chuo anafikiria mshahara, hata akikosa ajira mzazi kwenye account ana milioni 500 lakini atampa kimtaji cha milioni 10 nae aende kupambana kivyake "ajitafutie kivyake", Mzazi hamuamini mtoto wake aendeleze biashara zake.

Wazazi Watanzania ambao wamefanikiwa ni waoga sana kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ya kibiashara iliyofanya wafanikiwe tofauti na wenzetu wenye asili ya Asia (Waarabu na Wahindi)

Nikupe mfano utakuta baba alikuwa na maduka ya hardware na mashamba, biashara hizi zimempa mafanikio hata watoto wake kawasomesha kupitia maokoto ya huku.

Cha ajabu
-watoto mpaka wanakuwa wakubwa hawashirikishwi kwenye biashara walau wajifunze hata machimbo ya kujumulia mzigo,

-haukuti anawasomesha waje waendeleze biashara hiyo ya familia waje na idea mpya,

matokeo yake baba umri ukienda (uzee) au kifo na biashara zinakufa maana watoto hawajui chochote kuhusu hizo biashara, wajanja wanafagia.

Watanzania tunakosa kujiamini sana kuendeleza biashara za kifamilia. Tunapenda sana kuajiriwa. Wenzetu wanatengeneza brands
Lete ushahidi badala ya kujumuisha bila chembe ya utafiti wala ukweli au kutumia lau commonsense mwanangu
 
Nasemaje ,Wazazi wa namna hiyo wakomae hivyo hivyo waendelee kukaza kwelikweli,Kila mtu apambane na hali yake huo msaaada wa kuwasomesha mpaka chuo unatosha.
Watu wengi sana huthamini walichokitolea jasho,hao watoto unaowasema walio wengi ni wafujaji sana,na wakishajua utajiri wa baba zao hawachelewi kuwadedisha ili wabaki na mali.
Kwahiyo kumpa mtaji akapambane kivyake ni njia bora zaidi ya kumsaidia yeye ,pia ni njia bora kwa usalama wa mzazi.
 
Nashangaa kuona bado hizi fikra za kale zinaendelea "kila mtu ajitafutie cha kwake", mtoto wa mfanyabiashara anafika miaka 23 hana utofauti na watoto wa mwalimu, yani hajui kitu kuhusu biashara kiasi kwamba hata akimaliza chuo anafikiria mshahara, hata akikosa ajira mzazi kwenye account ana milioni 500 lakini atampa kimtaji cha milioni 10 nae aende kupambana kivyake "ajitafutie kivyake", Mzazi hamuamini mtoto wake aendeleze biashara zake.

Wazazi Watanzania ambao wamefanikiwa ni waoga sana kuwatumia watoto wao kuendeleza miradi yao ya kibiashara iliyofanya wafanikiwe tofauti na wenzetu wenye asili ya Asia (Waarabu na Wahindi)

Nikupe mfano utakuta baba alikuwa na maduka ya hardware na mashamba, biashara hizi zimempa mafanikio hata watoto wake kawasomesha kupitia maokoto ya huku.

Cha ajabu
-watoto mpaka wanakuwa wakubwa hawashirikishwi kwenye biashara walau wajifunze hata machimbo ya kujumulia mzigo,

-haukuti anawasomesha waje waendeleze biashara hiyo ya familia waje na idea mpya,

matokeo yake baba umri ukienda (uzee) au kifo na biashara zinakufa maana watoto hawajui chochote kuhusu hizo biashara, wajanja wanafagia.

Watanzania tunakosa kujiamini sana kuendeleza biashara za kifamilia. Tunapenda sana kuajiriwa. Wenzetu wanatengeneza brands
Sio wote kuna yule alokufaga na mtoto wake kule njombe wakitoka mbeya kusaini dili la billions

Lkn pia kuwekeza kwa mtoto kutategemea na mtoto mwenyew wengine mzazi unavotarajia sivyo anavyokuwa, mtoto magroup ya wahuni kibao ganja yeye madem yeye kama mzee utawekaje pesa apo

Wengine nao hasa ma first born hawawezi kujiongeza kabisa yaani wanabweteka na vimali vya baba yao kwakuwa wamekua navyo ni shida sana
 
Sio wote kuna yule alokufaga na mtoto wake kule njombe wakitoka mbeya kusaini dili la billions

Lkn pia kuwekeza kwa mtoto kutategemea na mtoto mwenyew wengine mzazi unavotarajia sivyo anavyokuwa, mtoto magroup ya wahuni kibao ganja yeye madem yeye kama mzee utawekaje pesa apo

Wengine nao hasa ma first born hawawezi kujiongeza kabisa yaani wanabweteka na vimali vya baba yao kwakuwa wamekua navyo ni shida sana
Hilo pia lipo.
Unakuta mzazi anawaza miaka 10 au 20 ijayo jinsi gani biashara itakavyopanuka wakati mtoto anawaza ni jinsi gani atakavyotumia mali za baba yake kuwatambia watu mtaani.
 
Au ukute dogo kasomeshwa English medium kuanzia vidudu hadi form six.

Halafu Chuo mzee wake hakutaka kuangaika na HELSB akamsomesha na bumu akapewa na mzee wake.

At the end of the day anaanza Saka fursa za ajira na waliosoma kayumba.

Huu ni ujinga.

Why mzazi asimpe msingi wa biashara.

Mimi hii nadharia sikubaliani nayo.
 
Au ukute dogo kasomeshwa English medium kuanzia vidudu hadi form six.

Halafu Chuo mzee wake hakutaka kuangaika na HELSB akamsomesha na bumu akapewa na mzee wake.

At the end of the day anaanza Saka fursa za ajira na waliosoma kayumba.

Huu ni ujinga.

Why mzazi asimpe msingi wa biashara.

Mimi hii nadharia sikubaliani nayo.
Kwa mtoto mjasiliamali kiasili hawezi subiria amalize apewe mtaji ndo aanze biashara, huyo hata akijapewa bado atakuwa na safari ndefu na huenda akapewa mtaji ukakata na aanze tena japo sio wote.

Kama mzee anakulipia ada, mwaka wa pili omba mkopo mara nyingi huwa wanatoa ukipata anza kuwekeza na kufanya biashara ya ndoto yako kwa udogo huku unasave hadi unamaliza kuna sehemu utakuwa umefika na uzoefu utakuwa umepata.

Hamna mzazi fala ukiona huaminiwi hujawaaminisha pambana
 
Hilo pia lipo.
Unakuta mzazi anawaza miaka 10 au 20 ijayo jinsi gani biashara itakavyopanuka wakati mtoto anawaza ni jinsi gani atakavyotumia mali za baba yake kuwatambia watu mtaani.
Na unakuta lawama nyingi kwa mzee eti haniwezeshi wakati haoneshi jitihada yoyote
 
Back
Top Bottom