Kwanini bajeti ya Waziri Mchengerwa haina kelele za rushwa kama wizara ya Makamba?

Kwanini bajeti ya Waziri Mchengerwa haina kelele za rushwa kama wizara ya Makamba?

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
Bajeti ya Waziri Mohamed Mchengerwa imewasilishwa bungeni leo hadi sasa hakuna kelele zozote za rushwa kwa wabunge kama ilivyokuwa kwa wizara ya nishati.

Heko wizara ya maliasili kwa kuendesha mambo yenu kwa uwazi na kuacha wabunge waichambue bajeti yenu kwa manufaa ya watanzania sio wenzenu wa nishati waliotumia fedha nyingi kuwanyamazisha wabunge na vyombo vya habari.
 
BAJETI ya Waziri Mohamed Mchengerwa imewasilishwa bungeni leo hadi sasa hakuna kelele zozote za rushwa kwa wabunge kama ilivyokuwa kwa wizara ya nishati.

Heko wizara ya maliasili kwa kuendesha mambo yenu kwa uwazi na kuacha wabunge waichambue bajeti yenu kwa manufaa ya watanzania sio wenzenu wa nishati waliotumia fedha nyingi kuwanyamazisha wabunge na vyombo vya habari.
Walinda legacy wanakuja na majibu!!
 
BAJETI ya Waziri Mohamed Mchengerwa imewasilishwa bungeni leo hadi sasa hakuna kelele zozote za rushwa kwa wabunge kama ilivyokuwa kwa wizara ya nishati.

Heko wizara ya maliasili kwa kuendesha mambo yenu kwa uwazi na kuacha wabunge waichambue bajeti yenu kwa manufaa ya watanzania sio wenzenu wa nishati waliotumia fedha nyingi kuwanyamazisha wabunge na vyombo vya habari.
Kwa sababu haonekani kuwa na mpango wa kutaka uRais na hajaingia nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na wafuasi wa Chato
 
Historia yake ya kuiba mitihani haitofutika kamwe, ajiamini ndio maana mlungula mbele ndio silaha yake..
 
Back
Top Bottom