Kwanini bangi ikatazwe wakati pombe inaleta madhara pia. Turekebishe Sheria za Kikoloni

Kwanini bangi ikatazwe wakati pombe inaleta madhara pia. Turekebishe Sheria za Kikoloni

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
okok.jpg


Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali.

Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa sheria za kilo;oni ikiwemp sheria ya kufanya bangi iwe haramu nayo tukaipokea hivyo hivyo mpaka leo.

Haya mambo ya kufata fata sheria tulizorithishwa na wakoloni yawe na limit yake, kisa wakoloni waliona bangi ni mbaya basi sheria walizoziacha nasi tunazifata hivyo hivyo .... Hata makombo na matapishi ya sheria za utesajii zilizotumika kwenye jela enzi za ukoloni kwa wafungwa watumwa hasa waliotetea uhuru na kuwachukiza wakoloni ndizo zinatumika mpaka leo, si ajabu kukuta wafungwa wakifanyishwa makazi mazito lakini mlo ni moja tu siku nzima na watu walivyo wajinga wanatoa sababu zile zile za kikoloni eti ili wafungwa wasipate nguvu.

bangi mtu ataitumia lakini bado anaweza kujitambua tofauti na pombe.

Bangi ambayo hufanya watu wawe machizi ni sababu ya ivi vitu ambavyo vitaisha ikiwa halali:

1. Baadhi ya mapusha wanaouza bangi mtaani huwa wanachanganya bangi na madawa ya kulevya yanayotindua akili si kidogo, wateja wanadhani kwamba bangi ya pusha huyo ni "mzigo wenyewe" kumbe wanachobuta ni madawa kama methamphetamine na maunga, hapa si ajabu kukuta mtu anavua hata nguo anatembea uchi mtaani. ndivyo kina Ray C walivyopatwa na masaibu yaliyowahi kuwakuta hivi, mtu unadhani unavuta bangi kumbe mhuni kakuchanganyia madude, yeye anachotaka uwe mteja wa kudumu tu awe anapiga pesa yako, hajali hata uwe kichaa.

2. Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi ... n.k.
 
Sometime hua nahs wanazuia bangi kwa sabab wao ndo wauzaji wakubwa kwa hyo wanazuia competition
 
Ugoro ni hatari sana na unamadhara mengi kweli vijana wa sasa huupenda kweli!
 
Unafananisha bangi na pombe..
BHANGI😂😂😂😂
.
Kama ina madhara sawa waambie vijana waache pombe wapige bangi.
 
View attachment 2290894

Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali.

Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa sheria za kilo;oni ikiwemp sheria ya kufanya bangi iwe haramu nayo tukaipokea hivyo hivyo mpaka leo.

Haya mambo ya kufata fata sheria tulizorithishwa na wakoloni yawe na limit yake, kisa wakoloni waliona bangi ni mbaya basi sheria walizoziacha nasi tunazifata hivyo hivyo .... Hata makombo na matapishi ya sheria za utesajii zilizotumika kwenye jela enzi za ukoloni kwa wafungwa watumwa hasa waliotetea uhuru na kuwachukiza wakoloni ndizo zinatumika mpaka leo, si ajabu kukuta wafungwa wakifanyishwa makazi mazito lakini mlo ni moja tu siku nzima na watu walivyo wajinga wanatoa sababu zile zile za kikoloni eti ili wafungwa wasipate nguvu.

bangi mtu ataitumia lakini bado anaweza kujitambua tofauti na pombe.

Bangi ambayo hufanya watu wawe machizi ni sababu ya ivi vitu ambavyo vitaisha ikiwa halali:

1. Baadhi ya mapusha wanaouza bangi mtaani huwa wanachanganya bangi na madawa ya kulevya yanayotindua akili si kidogo, wateja wanadhani kwamba bangi ya pusha huyo ni "mzigo wenyewe" kumbe wanachobuta ni madawa kama methamphetamine na maunga, hapa si ajabu kukuta mtu anavua hata nguo anatembea uchi mtaani. ndivyo kina Ray C walivyopatwa na masaibu yaliyowahi kuwakuta hivi, mtu unadhani unavuta bangi kumbe mhuni kakuchanganyia madude, yeye anachotaka uwe mteja wa kudumu tu awe anapiga pesa yako, hajali hata uwe kichaa.

2. Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi ... n.k.
Umenikumbusha kitu,kuna jamaa yangu yeye alikuwa anavuta bangi,kuna wakati inafikia mpaka ikimuishia alikuwa anatafuna mbegu zake,kilichokuwa kikifuatia alikuwa anapitiwa na usingizi mkali,mdomo wazi udenda unamtoka huku anajamba hovyo,baada ya kuachana naye kwa takribani miaka 10 iliyopita nimekutana na mtu ananiambia siku hizi jamaa kawa chizi na kazi ameachishwa...
 
Umenikumbusha kitu,kuna jamaa yangu yeye alikuwa anavuta bangi,kuna wakati inafikia mpaka ikimuishia alikuwa anatafuna mbegu zake,kilichokuwa kikifuatia alikuwa anapitiwa na usingizi mkali,mdomo wazi udenda unamtoka huku anajamba hovyo,baada ya kuachana naye kwa takribani miaka 10 iliyopita nimekutana na mtu ananiambia siku hizi jamaa kawa chizi na kazi ameachishwa...
Duuh ulevi wa hovyo sana huu
 
Sigara na pombe vilikuwepo tangu hata ukoloni haujafika Afrika. Tuna pombe zetu za asili pamoja na sigara. Kawaulize wazee
Utakuwa umezaliwa miaka ya 2000
Hata Sigara inaua watu wengi tu na ina madhara ila cha ajabu yenyewe ni halali!!
 
View attachment 2290894

Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali.

Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa sheria za kilo;oni ikiwemp sheria ya kufanya bangi iwe haramu nayo tukaipokea hivyo hivyo mpaka leo.

Haya mambo ya kufata fata sheria tulizorithishwa na wakoloni yawe na limit yake, kisa wakoloni waliona bangi ni mbaya basi sheria walizoziacha nasi tunazifata hivyo hivyo .... Hata makombo na matapishi ya sheria za utesajii zilizotumika kwenye jela enzi za ukoloni kwa wafungwa watumwa hasa waliotetea uhuru na kuwachukiza wakoloni ndizo zinatumika mpaka leo, si ajabu kukuta wafungwa wakifanyishwa makazi mazito lakini mlo ni moja tu siku nzima na watu walivyo wajinga wanatoa sababu zile zile za kikoloni eti ili wafungwa wasipate nguvu.

bangi mtu ataitumia lakini bado anaweza kujitambua tofauti na pombe.

Bangi ambayo hufanya watu wawe machizi ni sababu ya ivi vitu ambavyo vitaisha ikiwa halali:

1. Baadhi ya mapusha wanaouza bangi mtaani huwa wanachanganya bangi na madawa ya kulevya yanayotindua akili si kidogo, wateja wanadhani kwamba bangi ya pusha huyo ni "mzigo wenyewe" kumbe wanachobuta ni madawa kama methamphetamine na maunga, hapa si ajabu kukuta mtu anavua hata nguo anatembea uchi mtaani. ndivyo kina Ray C walivyopatwa na masaibu yaliyowahi kuwakuta hivi, mtu unadhani unavuta bangi kumbe mhuni kakuchanganyia madude, yeye anachotaka uwe mteja wa kudumu tu awe anapiga pesa yako, hajali hata uwe kichaa.

2. Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi ... n.k.
aire man!!
 
Kwa heshima na taadhima tengueni kauli haiitwi bangi hiyo ni DAWA hata shirika la afya linatambua hilo ndio maana imetolewa kwenye list ya madawa ya kulevya kwenye weed kuna kitu kinaitwa THC (Tetrahydrocannabinol) is an herbal drug
 
Ukweli ambao hausemwi ama haujafunguliwa kwa wengi ni kuwa Bangi inaongeza upeo wa kufikiri kwa umakini na kuchanganua mambo ukiitumia ipasavyo. Kwa wale wanaofanya tahajudi hili liko dhahili, ndio maana inakatazwa coz ukiitumia bila utaratibu ina madhara pia, kupelekea hadi ukichaa. Lakini faida haziwekwi bayana. Chunguza kwa umakini utaelewa ninachomaanisha.
 
Back
Top Bottom