Kwanini bangi ikatazwe wakati pombe inaleta madhara pia. Turekebishe Sheria za Kikoloni

Kwanini bangi ikatazwe wakati pombe inaleta madhara pia. Turekebishe Sheria za Kikoloni

Sigara na pombe vilikuwepo tangu hata ukoloni haujafika Afrika. Tuna pombe zetu za asili pamoja na sigara. Kawaulize wazee
Utakuwa umezaliwa miaka ya 2000
Acha upumbavu wewe,
Kuna sehemu nimeongelea kua sigara imeanza lini? Mbona unakua mjinga kiasi hicho? Halafu kua makini wewe unaweza kua hata ni mjukuu wangu.
 
Ukweli ambao hausemwi ama haujafunguliwa kwa wengi ni kuwa Bangi inaongeza upeo wa kufikiri kwa umakini na kuchanganua mambo ukiitumia ipasavyo. Kwa wale wanaofanya tahajudi hili liko dhahili, ndio maana inakatazwa coz ukiitumia bila utaratibu ina madhara pia, kupelekea hadi ukichaa. Lakini faida haziwekwi bayana. Chunguza kwa umakini utaelewa ninachomaanisha.

Tahajudi ni nini?
 
View attachment 2290894

Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali.

Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa sheria za kilo;oni ikiwemp sheria ya kufanya bangi iwe haramu nayo tukaipokea hivyo hivyo mpaka leo.

Haya mambo ya kufata fata sheria tulizorithishwa na wakoloni yawe na limit yake, kisa wakoloni waliona bangi ni mbaya basi sheria walizoziacha nasi tunazifata hivyo hivyo .... Hata makombo na matapishi ya sheria za utesajii zilizotumika kwenye jela enzi za ukoloni kwa wafungwa watumwa hasa waliotetea uhuru na kuwachukiza wakoloni ndizo zinatumika mpaka leo, si ajabu kukuta wafungwa wakifanyishwa makazi mazito lakini mlo ni moja tu siku nzima na watu walivyo wajinga wanatoa sababu zile zile za kikoloni eti ili wafungwa wasipate nguvu.

bangi mtu ataitumia lakini bado anaweza kujitambua tofauti na pombe.

Bangi ambayo hufanya watu wawe machizi ni sababu ya ivi vitu ambavyo vitaisha ikiwa halali:

1. Baadhi ya mapusha wanaouza bangi mtaani huwa wanachanganya bangi na madawa ya kulevya yanayotindua akili si kidogo, wateja wanadhani kwamba bangi ya pusha huyo ni "mzigo wenyewe" kumbe wanachobuta ni madawa kama methamphetamine na maunga, hapa si ajabu kukuta mtu anavua hata nguo anatembea uchi mtaani. ndivyo kina Ray C walivyopatwa na masaibu yaliyowahi kuwakuta hivi, mtu unadhani unavuta bangi kumbe mhuni kakuchanganyia madude, yeye anachotaka uwe mteja wa kudumu tu awe anapiga pesa yako, hajali hata uwe kichaa.

2. Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi ... n.k.
Njoo Arusha ndio utajua kwanini Bangi imekatazwa
 
Umenikumbusha kitu,kuna jamaa yangu yeye alikuwa anavuta bangi,kuna wakati inafikia mpaka ikimuishia alikuwa anatafuna mbegu zake,kilichokuwa kikifuatia alikuwa anapitiwa na usingizi mkali,mdomo wazi udenda unamtoka huku anajamba hovyo,baada ya kuachana naye kwa takribani miaka 10 iliyopita nimekutana na mtu ananiambia siku hizi jamaa kawa chizi na kazi ameachishwa...
Huyo alikuw anachanganyiwa madawa, bangi haimtoi udenda mtu
 
View attachment 2290894

Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali.

Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa sheria za kilo;oni ikiwemp sheria ya kufanya bangi iwe haramu nayo tukaipokea hivyo hivyo mpaka leo.

Haya mambo ya kufata fata sheria tulizorithishwa na wakoloni yawe na limit yake, kisa wakoloni waliona bangi ni mbaya basi sheria walizoziacha nasi tunazifata hivyo hivyo .... Hata makombo na matapishi ya sheria za utesajii zilizotumika kwenye jela enzi za ukoloni kwa wafungwa watumwa hasa waliotetea uhuru na kuwachukiza wakoloni ndizo zinatumika mpaka leo, si ajabu kukuta wafungwa wakifanyishwa makazi mazito lakini mlo ni moja tu siku nzima na watu walivyo wajinga wanatoa sababu zile zile za kikoloni eti ili wafungwa wasipate nguvu.

bangi mtu ataitumia lakini bado anaweza kujitambua tofauti na pombe.

Bangi ambayo hufanya watu wawe machizi ni sababu ya ivi vitu ambavyo vitaisha ikiwa halali:

1. Baadhi ya mapusha wanaouza bangi mtaani huwa wanachanganya bangi na madawa ya kulevya yanayotindua akili si kidogo, wateja wanadhani kwamba bangi ya pusha huyo ni "mzigo wenyewe" kumbe wanachobuta ni madawa kama methamphetamine na maunga, hapa si ajabu kukuta mtu anavua hata nguo anatembea uchi mtaani. ndivyo kina Ray C walivyopatwa na masaibu yaliyowahi kuwakuta hivi, mtu unadhani unavuta bangi kumbe mhuni kakuchanganyia madude, yeye anachotaka uwe mteja wa kudumu tu awe anapiga pesa yako, hajali hata uwe kichaa.

2. Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi ... n.k.
Na hivyo vingine ulivyotaja vizuiwe pia tu
 
View attachment 2290894

Kama pombe tuijuavyo, inaweza kumfanya mtu ajinyee (mnisamehe kwa luga kali ila imebidi), atapike, azimie (kuzima), kuropoka, kushindwa kujitambua kabisa, hupunguza umakini (rejea mheshimiwa Kitwanga), n.k. licha ya haya yote lakini pombe hii ni halali.

Ni utumwa wa fikra huu, tulirithishwa sheria za kilo;oni ikiwemp sheria ya kufanya bangi iwe haramu nayo tukaipokea hivyo hivyo mpaka leo.

Haya mambo ya kufata fata sheria tulizorithishwa na wakoloni yawe na limit yake, kisa wakoloni waliona bangi ni mbaya basi sheria walizoziacha nasi tunazifata hivyo hivyo .... Hata makombo na matapishi ya sheria za utesajii zilizotumika kwenye jela enzi za ukoloni kwa wafungwa watumwa hasa waliotetea uhuru na kuwachukiza wakoloni ndizo zinatumika mpaka leo, si ajabu kukuta wafungwa wakifanyishwa makazi mazito lakini mlo ni moja tu siku nzima na watu walivyo wajinga wanatoa sababu zile zile za kikoloni eti ili wafungwa wasipate nguvu.

bangi mtu ataitumia lakini bado anaweza kujitambua tofauti na pombe.

Bangi ambayo hufanya watu wawe machizi ni sababu ya ivi vitu ambavyo vitaisha ikiwa halali:

1. Baadhi ya mapusha wanaouza bangi mtaani huwa wanachanganya bangi na madawa ya kulevya yanayotindua akili si kidogo, wateja wanadhani kwamba bangi ya pusha huyo ni "mzigo wenyewe" kumbe wanachobuta ni madawa kama methamphetamine na maunga, hapa si ajabu kukuta mtu anavua hata nguo anatembea uchi mtaani. ndivyo kina Ray C walivyopatwa na masaibu yaliyowahi kuwakuta hivi, mtu unadhani unavuta bangi kumbe mhuni kakuchanganyia madude, yeye anachotaka uwe mteja wa kudumu tu awe anapiga pesa yako, hajali hata uwe kichaa.

2. Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi ... n.k.
Na hivyo vingine ulivyotaja vizuiwe pia tu
 
Watumiaji wa bangi kutokuwa na elimu ya wazi ya matumizi sahihi, wapo watumiji wanavuta bangi mbichi miaka nenda rudi kumbe haya si matumizi sahihi, wapo watumiaji hawajui kuichambua kuyatenganisha maua ya bangi yasiwe na vijiti na mbegu, wao wanachanganya na haya si matumizi sahihi
Hili ndio tatizo kubwa aisee

wengi hawajui hili
 
Kwa heshima na taadhima tengueni kauli haiitwi bangi hiyo ni DAWA hata shirika la afya linatambua hilo ndio maana imetolewa kwenye list ya madawa ya kulevya kwenye weed kuna kitu kinaitwa THC (Tetrahydrocannabinol) is an herbal drug
kweli mkuu
 
Ukweli ambao hausemwi ama haujafunguliwa kwa wengi ni kuwa Bangi inaongeza upeo wa kufikiri kwa umakini na kuchanganua mambo ukiitumia ipasavyo. Kwa wale wanaofanya tahajudi hili liko dhahili, ndio maana inakatazwa coz ukiitumia bila utaratibu ina madhara pia, kupelekea hadi ukichaa. Lakini faida haziwekwi bayana. Chunguza kwa umakini utaelewa ninachomaanisha.
wala bange wengi niliokutana nao wana akili mno!!
 
Nakumbuka siku ya kwanza kujifunza kuvuta bangi ilikuwa ni mwaka 2013 nikiwa form4 sekondary ya Greenview iliopo mwanza(ilemela)
Siku hiyo nakumbuka tulitoroka hostel na rafiki zangu watatu mida ya saa tatu usiku maana kwa sisi boys tulikuwa tunakaa nje ya shule pembeni kidogo na fensi ya shule... bhas bhana kwa kuwa nlikuwa na uzoefu kidogo wa kuvuta sigara japo nayo ilikuwa imeanza kunikolea nkasema na hii kitu kubwa (bangi) niijaribu... sasa tukatoka zetu usiku kama kawaida etu tukaenda kuvuta sigara then tukapita kwa pusha wa bangi... hapo rafiki zangu walikuwa ni wavutaji wa bangi ile mbaya... baada ya kufika kwa pusha akatunyongea kama kawaida .. wakaanza kuvuta rafiki zangu nipo na mimi wakanishawishi nivute... bhas bhana nkajitoa muhanga na mimi uku nikiwa na hofu sijui stim lake likoje... bhas nkaichukua ile bangi nkaanza kuvuta... sasa kumbe bangi moshi wake ni laini sana tofauti na sigara wala kupaliwa ningumu sana ... nkapiga pafu moja nkaenda ya pili hadi ya tatu... nkawauliza jamaa zangu mbona haipandi sisikii kitu kwa maana nlikuwa nmeshazoea sigara pafu moja au mbili kitu unaanza sikia stim... bhas wakanambia sikilizia .... nkaendelea kupga pafu ya nne adi tano iv nadhani kama sio sita...

Tulivomaliza tukaanza safari ya kurejea shuleni... wakati huo wanafunzi wapo prepo kujisomea wakati sie tupo mtaa...
wakati tupo njiani tumekaribia shuleni kitu nkaanza kusikia kinapanda... ghafla mwili ukashikwa ganzi ilioambatana na baridi huku nkaanza kuona maluweluwe iv...
sasa tulivofika shuleni tukatuka fensi na kuingia kutokea darasani ili tujumuike na wenzetu prepo bhas ghafla nkakutana na mdada ambae alikuwa ananifaham yeye alikuwa form3 bhas akawa ananiita .... sasa wakati ananiita ile bangi ilikuwa ishapanda kichwani nkawa sielewi nacheka tu mwenyew🤣🤣🤣 afu nkawa kama namkimbia kuelekea darasani .... ile kuingia darasani kuchukua daftari nianze kusoma nkawa naona maandishi yanapanda kwa juu kwa unatumia computer vile... nkaanza kudata sana wakati huo najikaza wanafunzi wenzangu wasigundue kitu... mara kicheko kiwawa kinanibana nkakitoa kwa nguvu🤣🤣🤣 baada ya kuangaliana na rafiki ang mmoja wa kike nkawa nmetoka nje... ile nmetoka nje ghafla nkakutana na mwalimu akawa kaniita akauliza "kwanini upo nje muda wa kujisomea?" Nikawa sasa najikaza ili asinigundue... mimi nkamjibu najihisi vibaya kichwa kinauma sana naomba nkajimwagie maji nkapumzike hostel... bhas akawa kanielewa nipo nkashuka kwenye ma tank ya maji kwenda kujimwagia maji kichwa ili kitu ipungue makali... wakati huo koo lilikuwa limekauka hata mate mdomoni yalikuwa hayapo ... nkafika kwenye ma tank nkanywa maji mengi sana na kujimwagia maji kichwani lakini ngoma bado ikawa ngumu... wakati huo natetemeka mambo nayoyaskia maskioni mwangu siyaelewi...

Mawazo yangu yalinipeleka kwamba nimeshakuwa mwehu sababu wakati tunatoka kwa pusha njiani bangi ilivokuwa inapanda nkawa kama sielewi kitu nkataka kupga kelele ila mmoja wa rafiki angu akanambia usipge kelele jikaze ... ukipga kelele utakuwa mwehu mazima ... bhasi nkawa naogopa sana maana nkajua tayari nmeshakuwa mwehu.... bhasi baada ya kujimwagia maji nkawa narudi hostel ... nlipofika hostel kulikuwa hakuna wanafunzi nkapanda kitandani kwangu (kitanda cha juu) bhas wakati nipo kitandani nkaanza kusikia masauti ambayo siyaelewi mara adhana nazisikia kwa sana mara sauti ya mama ikisema nisije jaribu kuvuta bangi ntakuwa mwehu....
Duh apo ndo nkaanza kuchanganyikiwa nkijua daaah nmeshachiz sitorudi tena kwenye hali yangu ya kawaida... bhasi nkawa nateseka kitandani nataka adi kulia ila nkawa najikaza kama nilivoambiwa... bhas kuna muda mawazo yaniijia nitoke niende hostel ya wadada.. hapohapo akili inakuwa inatoka na kurudi nkashikilia kitanda nisitoke.... nkajikaza ivoivo adi watu walivotoka prepo wakanikuta hostel... jamaa zangu wakawa wamekuja kuniangalia kitandani na kunisemesha... nikawaambia waniache kwanza "wakaanza kunicheka" bhas nkawa sielewi kitu nipo kitandani bado naskia masauti sauti tu ya ajabu mixer makelele ya watu hapo vyumbani...
Nikakaamuda sana nkaanza kuona mabadiliko kama mzigo unaanza kupoa.. kidogo nkaanza kupata faraja kwamba narudi katika hali yangu... bhas nkawa namuomba Mungu nirudi kuwa sawa na nkiahidi kimoyomoyo kuwa sitorudia tena... bhas kufikia mida ya saa sita usiku Mungu akasaidia stimu likakata ndipo nkatelemka kwenye kitanda na kwenda kukojoa na nikasema sitorudia tenaaaa
Nkafurahi sana maana nlijua nshakuwa mwehu....

Kilichofuta tena aseeee baada ya kurudia tena ..............
 
Back
Top Bottom