Hao waasisi ni mahali gani walisema uyahudi , Ukristo ni dini?Waasisi wa Ukristo, Uislam au Uyahudi, maarifa yao kuhusu ulimwengu yalikuwa yanaishia inayoitwa Mashariki ya Kati na maeneo yaliyokuwa na muingiliano nayo tu wakati huo. Ndio maana hausemi kuhusu America kama alivyouliza.
Haijalishi walisema/hawajasema— haibadilishi kitu. Kilicho muhimu ni nini wanadamu na ulimwengu tunakitambua. Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.Hao waasisi ni mahali gani walisema uyahudi , Ukristo ni dini?
Haijalishi walisema/hawajasema—sio haibadilishi kitu. Kilicho muhimu ni nini wanadamu na ulimwengu tunakitambua. Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.
Wewe usiyekuwa na story za kijinga . Una nini cha kuonyesha duniani chenye akili kinachoishi ?!. Obvious huna.Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.
Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.
Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,
hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.
Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.
Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.
Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.
Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?
Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
Hakuna mahala nilipokimbia, Ukristo, Uyahudi ni Dini.Mbona unakimbia na uliandika wewe kuwa Ukristo , uyahudi ni dini ?kwa nini useme kitu ambacho huna Hakika Nacho na hutaki kukubali makosa?
Halafu unasema haijalishi? Una Hakika na maneno yako ?
😜😝😝😝😝Hakuna mahala nilipokimbia, Ukristo, Uyahudi ni Dini.
Hakuna nilichobadilisha. UKRISTO NA UYAHUDI NI DINI.😜😝😝😝😝
uliandika wewe kuwa Ukristo , uyahudi ni dini ?kwa nini useme kitu ambacho huna Hakika Nacho na hutaki kukubali makosa?
Halafu unasema haijalishi? Una Hakika na maneno yako ?
Hata biblia inasema Kaini na Habili, baada ya Kaini kuzinguana na Mungu na kumuua Habili kwa wizi.Hii inathibitisha adam na eva sio binadamu wa kwanza,huko amerika walikuwepo watu kitambo tu
UmeandikaHakuna nilichobadilisha. UKRISTO NA UYAHUDI NI DINI.
Umeandika
Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.
Hayo maneno ya kusema ukristo na uyahudi ni dini umeyatoa kitabu gani ?
Uliandika
Waasisi wa Ukristo, Uislam au Uyahudi, maarifa yao kuhusu ulimwengu yalikuwa yanaishia inayoitwa Mashariki ya Kati na maeneo yaliyokuwa na muingiliano nayo tu wakati huo.
Hao waasisi ni nani ?
View attachment 2529687View attachment 2529688
1. It's a known fact kuwa; Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini; Kitabu gani kimesema hayo?—kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.
2. Ukristo kama ilivyo Uislam, ni mjuisho wa mafunzo, maagizo au maamrisho waliyoyapata watu wengi (wakiongozwa na Yesu Kristo ama Muhammad), pia walikuwepo mitume na manabii kabla yao hawa. Wote kwa ujumla wao mapito au mafunzo yao ndio yameunda dini hizo. Mf Kina Abraham, Musa, n.k wote hao wameunda.
2. Ukristo kama ilivyo Uislam, ni mjuisho wa mafunzo, maagizo au maamrisho waliyoyapata watu wengi (wakiongozwa na Yesu Kristo ama Muhammad), pia walikuwepo mitume na manabii kabla yao hawa. Wote kwa ujumla wao mapito au mafunzo yao ndio yameunda dini hizo. Mf Kina Abraham, Musa, n.k wote hao wameunda.
kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.
Wewe unataka nikujibu kwa mtazamo wako, so tufupishe mazungumzo. Ukristo na Uyahudi kwako ni nini?kIDOGO UMEJIBU VIZURI kwenye hili jibu lako la kwanza
1. It's a known fact kuwa; Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini; Kitabu gani kimesema hayo?—kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.
Kuwa known fact wakati hakuna kitabu cha dini kinachosema kuwa ukristo au uyahudi ni dini hiyo si fact ila ni uvumi tu
Mbona unajichanganya na wewe si mtaalamu wa biblia wala quran ?????, mbona huku umesema nakunukuu
Wewe unataka nikujibu kwa mtazamo wako, so tufupishe mazungumzo. Ukristo na Uyahudi kwako ni nini?
kionhozi anzisha uzi wa historia ya kweli iki watu tutoke utumwani(akili), kama itawezekana.Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.
Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.
Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,
hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.
Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.
Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.
Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.
Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?
Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
Lakini ndio ukweli wenyewe mkuuUmeandika kama utani hv
Uingereza ndiyo Tashishi ya Yona.Wingereza na marekani zimetajwa sema kwa namna ambavyo huwezi elewa. Kasome kitabu cha Daniel alafu fananisha na matukio ya dunia mf. WW1,WW2..vita baridi
Ufunuo wa Yohana 13:1 ni US ambayo iko North America.Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Hii ya kusema akaenda mbali huko akatafuta mke akaanzisha maisha ni uongo. Imesema akaondoka mbele ya uso wa Mungu na akaenda kuishi Shinari.Hata biblia inasema Kaini na Habili, baada ya Kaini kuzinguana na Mungu na kumuua Habili kwa wizi.
Mungu alimpa adhabu akaenda mbali huko akatafuta mke anaanzisha maisha.