Kwanini bara la Amerika halijatajwa mahala Popote Kwenye Biblia?

Kwanini bara la Amerika halijatajwa mahala Popote Kwenye Biblia?

Waasisi wa Ukristo, Uislam au Uyahudi, maarifa yao kuhusu ulimwengu yalikuwa yanaishia inayoitwa Mashariki ya Kati na maeneo yaliyokuwa na muingiliano nayo tu wakati huo. Ndio maana hausemi kuhusu America kama alivyouliza.
Hao waasisi ni mahali gani walisema uyahudi , Ukristo ni dini?
 
Hao waasisi ni mahali gani walisema uyahudi , Ukristo ni dini?
Haijalishi walisema/hawajasema— haibadilishi kitu. Kilicho muhimu ni nini wanadamu na ulimwengu tunakitambua. Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.
 
Haijalishi walisema/hawajasema—sio haibadilishi kitu. Kilicho muhimu ni nini wanadamu na ulimwengu tunakitambua. Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.

Mbona unakimbia na uliandika wewe kuwa Ukristo , uyahudi ni dini ?kwa nini useme kitu ambacho huna Hakika Nacho na hutaki kukubali makosa?

Halafu unasema haijalishi? Una Hakika na maneno yako ?
 
Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.

Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.

Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,

hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.

Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.

Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.

Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.

Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?

Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
Wewe usiyekuwa na story za kijinga . Una nini cha kuonyesha duniani chenye akili kinachoishi ?!. Obvious huna.

Hukuhitaji ku comment kwa dharau ukiwa empty handed .
 
Mbona unakimbia na uliandika wewe kuwa Ukristo , uyahudi ni dini ?kwa nini useme kitu ambacho huna Hakika Nacho na hutaki kukubali makosa?

Halafu unasema haijalishi? Una Hakika na maneno yako ?
Hakuna mahala nilipokimbia, Ukristo, Uyahudi ni Dini.
 
Hakuna mahala nilipokimbia, Ukristo, Uyahudi ni Dini.
😜😝😝😝😝

uliandika wewe kuwa Ukristo , uyahudi ni dini ?kwa nini useme kitu ambacho huna Hakika Nacho na hutaki kukubali makosa?

Halafu unasema haijalishi? Una Hakika na maneno yako ?
 
😜😝😝😝😝

uliandika wewe kuwa Ukristo , uyahudi ni dini ?kwa nini useme kitu ambacho huna Hakika Nacho na hutaki kukubali makosa?

Halafu unasema haijalishi? Una Hakika na maneno yako ?
Hakuna nilichobadilisha. UKRISTO NA UYAHUDI NI DINI.
 
Hii inathibitisha adam na eva sio binadamu wa kwanza,huko amerika walikuwepo watu kitambo tu
Hata biblia inasema Kaini na Habili, baada ya Kaini kuzinguana na Mungu na kumuua Habili kwa wizi.

Mungu alimpa adhabu akaenda mbali huko akatafuta mke anaanzisha maisha.
 
Hakuna nilichobadilisha. UKRISTO NA UYAHUDI NI DINI.
Umeandika

Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.

Hayo maneno ya kusema ukristo na uyahudi ni dini umeyatoa kitabu gani ?

Uliandika

Waasisi wa Ukristo, Uislam au Uyahudi, maarifa yao kuhusu ulimwengu yalikuwa yanaishia inayoitwa Mashariki ya Kati na maeneo yaliyokuwa na muingiliano nayo tu wakati huo.

Hao waasisi ni nani ?
 
Umeandika

Dunia leo inajua Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini.

Hayo maneno ya kusema ukristo na uyahudi ni dini umeyatoa kitabu gani ?

Uliandika

Waasisi wa Ukristo, Uislam au Uyahudi, maarifa yao kuhusu ulimwengu yalikuwa yanaishia inayoitwa Mashariki ya Kati na maeneo yaliyokuwa na muingiliano nayo tu wakati huo.

Hao waasisi ni nani ?
Screenshot_20230225-170451.jpg
Screenshot_20230225-170557.jpg

1. It's a known fact kuwa; Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini; Kitabu gani kimesema hayo?—kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.

2. Ukristo kama ilivyo Uislam, ni mjuisho wa mafunzo, maagizo au maamrisho waliyoyapata watu wengi (wakiongozwa na Yesu Kristo ama Muhammad), pia walikuwepo mitume na manabii kabla yao hawa. Wote kwa ujumla wao mapito au mafunzo yao ndio yameunda dini hizo. Mf Kina Abraham, Musa, n.k wote hao wameunda.
 
View attachment 2529687View attachment 2529688
1. It's a known fact kuwa; Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini; Kitabu gani kimesema hayo?—kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.

2. Ukristo kama ilivyo Uislam, ni mjuisho wa mafunzo, maagizo au maamrisho waliyoyapata watu wengi (wakiongozwa na Yesu Kristo ama Muhammad), pia walikuwepo mitume na manabii kabla yao hawa. Wote kwa ujumla wao mapito au mafunzo yao ndio yameunda dini hizo. Mf Kina Abraham, Musa, n.k wote hao wameunda.

kIDOGO UMEJIBU VIZURI kwenye hili jibu lako la kwanza

1. It's a known fact kuwa; Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini; Kitabu gani kimesema hayo?—kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.


Kuwa known fact wakati hakuna kitabu cha dini kinachosema kuwa ukristo au uyahudi ni dini hiyo si fact ila ni uvumi tu

2. Ukristo kama ilivyo Uislam, ni mjuisho wa mafunzo, maagizo au maamrisho waliyoyapata watu wengi (wakiongozwa na Yesu Kristo ama Muhammad), pia walikuwepo mitume na manabii kabla yao hawa. Wote kwa ujumla wao mapito au mafunzo yao ndio yameunda dini hizo. Mf Kina Abraham, Musa, n.k wote hao wameunda.

Mbona unajichanganya na wewe si mtaalamu wa biblia wala quran ?????, mbona huku umesema nakunukuu

kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.
 
kIDOGO UMEJIBU VIZURI kwenye hili jibu lako la kwanza

1. It's a known fact kuwa; Ukristo, Uislam na Uyahudi ni dini; Kitabu gani kimesema hayo?—kama una maanisha kwenye Biblia, I'm sorry mimi sio mtaalamu wa biblia wala Quran.


Kuwa known fact wakati hakuna kitabu cha dini kinachosema kuwa ukristo au uyahudi ni dini hiyo si fact ila ni uvumi tu



Mbona unajichanganya na wewe si mtaalamu wa biblia wala quran ?????, mbona huku umesema nakunukuu
Wewe unataka nikujibu kwa mtazamo wako, so tufupishe mazungumzo. Ukristo na Uyahudi kwako ni nini?
 
Wewe unataka nikujibu kwa mtazamo wako, so tufupishe mazungumzo. Ukristo na Uyahudi kwako ni nini?

Sio kwangu ni kwa mujibu wa vitabu vya ukristo na uyahudi hakuna mahali vimeandika kuwa hizo ni dini.

sasa kama unaona britannica au mtu yeyote kaandika ni dini wanao uhuru huo wa kuandika hata wewe unao uhuru wa kuandika utakavyo
 
Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.

Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.

Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,

hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.

Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.

Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.

Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.

Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?

Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
kionhozi anzisha uzi wa historia ya kweli iki watu tutoke utumwani(akili), kama itawezekana.
 
Limetajwa kama mfalme. Kwenye kitabu cha ufunuo ama pembe kwenye kitabu cha Kinabii cha Daniel.
 
Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Ufunuo wa Yohana 13:1 ni US ambayo iko North America.
 
Hata biblia inasema Kaini na Habili, baada ya Kaini kuzinguana na Mungu na kumuua Habili kwa wizi.

Mungu alimpa adhabu akaenda mbali huko akatafuta mke anaanzisha maisha.
Hii ya kusema akaenda mbali huko akatafuta mke akaanzisha maisha ni uongo. Imesema akaondoka mbele ya uso wa Mungu na akaenda kuishi Shinari.

Baadhi ya maandiko ya kale yanasema Shinari lilikuwa ENEO la Mashariki mwa Edeni nje ya ENEO aliloishi Adam na Mkewe na Kaini aliona mke miongoni mwa wadogo zake. Mke wa Kaini alikuwa anaitwa AWAN Ambaye alikuwa Pacha wake na Kaini ambaye aliolewa mwanzo na Abeli na baada ya kifo Cha Abel Kaini ndio alimuoa na hiko pia ndio chanzo Cha kifo cha Abeli "Wivu wa Mapenzi"

Mwanzo 5:1 utaona inasema Adam na hawa walizaa Wana wa kike na kiume. Baadhi ya maandiko ya kale ya Kiyahudi(Abrahamic Text's) yanasema Adam na Hawa walikuwa na watoto wa kiume 23 na WA Kike 33.
 
Back
Top Bottom