OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Wingereza na marekani zimetajwa sema kwa namna ambavyo huwezi elewa. Kasome kitabu cha Daniel alafu fananisha na matukio ya dunia mf. WW1,WW2..vita baridi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah ww... kuorodhesha mabara yote mbona simple. Ila bible haijafanya hilo. Alietunga biblia hakujua kama kuna bara la marekaniUkishasema Ulimwenguni mwote ni kwamba umejumuisha mabara yote na Marekani ni Inclusive. Katika hali ya kawaida isingekuwa jambo jepesi kuorodhesha kila bara au nchi au Taifa.
Nimesoma hicho kitabu sijaona sehemu inaongelea kuhusu marekani au ulaya...Wingereza na marekani zimetajwa sema kwa namna ambavyo huwezi elewa. Kasome kitabu cha Daniel alafu fananisha na matukio ya dunia mf. WW1,WW2..vita baridi
Hao jamaa wa kwenye Biblia , maarifa yao kuhusu dunia yalikuwa limited.Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Ebu tufafanulie kidogo hapo mkuuUSA imetajwa katika Biblia kutimiza UNABII wa MWANZO na MWISHO wa hii dunia kusambaratishwa na Mungu
Ukisoma vizuuuri tafsiri ya hii dunia tangu kutawaliwa na nchi za Italy (Romans), Uajemi, UK, Ugiriki n.k utaelewa vyema kabisa kupitia vitabu vya DANIEL na UFUNUO.
LooserBiblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.
Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.
Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,
hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.
Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.
Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.
Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.
Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?
Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
Marko 16:Ni suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Una vyanzo? Au unaongea kwa hisia za upinzani?Hii inathibitisha adam na eva sio binadamu wa kwanza,huko amerika walikuwepo watu kitambo tu
Halikuwepo kabisaNi suala ambalo halina ubishi kuwa kwenye Biblia..hakuna sehemu yeyote inayotaja kitongoji,Kijiji au mji wowote utokao bara la America...
Tunaona mabara mengine hasa Asia, Australia,Ulaya na Africa yametajwa tajwa sana tu kwenye Biblia...Hata baadhi ya mitume kama Mtume Paul wametembelea maeneo mengi ya mabara hayo isipokuwa America....
Nini kilifanya America isahaulike kiasi hicho?
Upinzani upi tena,ukweli ndio huo,Cain alimuoa nani?Una vyanzo? Au unaongea kwa hisia za upinzani?
Hii hoja nimeijubu sana humu jf na baada ya majibu thread zinakufa. Siwezi kurudia hoja nyepesi kama hiyo kila siku, ngoja nisake kama nitaona baadhi ya thread.Upinzani upi tena,ukweli ndio huo,Cain alimuoa nani?
Post in thread 'Kaini alivyomuua Habili alitokomea mbali huko alioa bint je alikua jamii gani naomba kujua' Kaini alivyomuua Habili alitokomea mbali huko alioa bint je alikua jamii gani naomba kujuaUpinzani upi tena,ukweli ndio huo,Cain alimuoa nani?
Sawa mkuu, Ila biblia haijatungwa bali ni maandiko mbalimbali yaliyojumuishwa.Ah ww... kuorodhesha mabara yote mbona simple. Ila bible haijafanya hilo. Alietunga biblia hakujua kama kuna bara la marekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana kutungwa.Sawa mkuu, Ila biblia haijatungwa bali ni maandiko mbalimbali yaliyojumuishwa.
Ongeza NYAMA KIDOGO pamoja na kuwa biblia kuandikwa kulingana watu kile walichosikia na kukiona pia Kuna watu ambao ndio walikuwa wanaamua kipi kiandikwe na kipi kisiandikwe HADHIRA kaz yetu kupokea tu.
Biblia ni hadithi za uzushi tu zilitungwa na wahuni wachache kwa malengo maalumu, huku wakizitumia nchi za Middle east kama chambo la wabeba maudhui ya stori zao za kusadikika.
Hadith zote za quran na biblia ni uongo hazijawai kuwepo.
Tafuta ushaidi dunia nzima hutoona uwepo wa musa, sijui akina ibrahimu, akina suleiman, huyo yesu ndio kabisaa story za kujichanganya,
hata iyo nchi ya ahadi feki(israel) haijawai kuwepo kabla ya kuundwa mwaka 1947 na umoja wa mataifa, wakawajengea na hayo maekalu feki na makaburi feki mnayosema alizikwa yesu, na huko yerusalem ya uongo ambako kabla ya kuundwa mwaka 1947 hapakukuwa na uwepo wa iyo jamii ya waisrael bal wakimbizi wa ulaya walioingia hapo palestina kwa mgongo wa UN.
Tafuta mahala popote dunian hutoona uwepo ama ushahidi wa Falao ama mnaita firauni kuwa aliwaweka utumwani jamii fulan huko misri kwa miaka400, hata hao mafalao wenyewe hawajawai kuwa na historia ya kufanya ushenzi wa kufanya utumwa, bali chuki za waarabu na wazungu waliamua kutunga stori mbaya kuuchafua utawala wa waafrika wa kale waonekane walikuwa washenzi.
Stori za kidini ili uamini inabidi ujitoe ufahamu kweli kweli maana itakulazimu uamini hata mambo unayoona hayamake sense we utaambiwa amini usihoji.
Kuna matukio mengi na makubwa kulko hayo yaliyotajwa na vitabu vyenu vya uongo na ubaguzi.
Ktk historia ya dunia jambo baya na lakutisha ni Utumwa kwa jamii ya waafrika kuharibiwa maisha, kuharibiwa asili yao, utamaduni, kumbukumbu na mamilioni ya watu kupoteza maisha, lkn hutoona hizo biblia zenu na ngonjera za Quran zikiongelea as if yaliyotokea ni mazuri ama vitabu vyenu vinabagua baadhi ya jamii kuelezea maisha yao?
Dunia ina historia kubwa ya muda mrefu tofaut na hizo stori zenu za kijinga za kidini.
In the Middle East