Kwanini bara la Asia (hususani China & India) kuna watu wengi mno?

Kwanini bara la Asia (hususani China & India) kuna watu wengi mno?

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Nimekua nikiamini kuwa hakuna bara linaloifikia Afrika kwa uzuri wa kusapoti uhai, yaani vitu kama rasiliamali nyingi, hali ya hewa, ardhi yenye rutuba, maji ya kutosha(sub saharan), wanyama wengi wa kuwinda/kula nk. nk.

Pia nimekua nikiamini kuwa Afrika ndipo binadamu wa kwanza walipoishi

Lakini pia ni common knowledge kuwa binadamu angependa kuishi sehemu yenye hali ya hewa nzuri na chakula cha kutosha maana yake kuwe na ardhi nzuri ya kulima, mvua za kutosha na wanyama wa kuwinda.

Na kama wanadamu wa Kwanza waliishi Afrika,; bara lenye kila kitu walichokihitaji hivyo basi tungetegemea wengi wasingeondoka Afrika lwa kuvuka majangwa na milima na bahari na kwenda kujazana Asia, na kwasasa ilitakiwa Afrika ndiyo ingekuwa inaongoza kwa kuwa na watu wengi.

Lakini Ukweli sio huo, Asia inaongoza kwa idadi na karibia theluthi mbili (2/3) ya watu duniani wanaishi Asia kwa ujumla ya zaidi ya Billioni 4.6 kwenye dunia ya watu bilioni 7.7

Nchi mbili tu India na China zina zaidi ya billion 2.7

Yaani nchi mbili tu duniani zilizo Asia zinanataka kulingana na mabara matatu (yaani Afrika + Ulaya + bara la Marekani kaskazini)

Ilikuwaje Asia ikawa na watu wengi hivi?

Kuna nini Asia?
 
Kwa sababu waChina na Wahindi wana vidudu vidogo. Fanyeni research, China walikuwa na sera ya mtoto mmoja tu kwa miongo minne, imagine isingekuwepo.

Unafikiri mnapoletewa hii misaada ya watu waMarekani kwa ajili ya uzazi wa mpango wanakuwa wanawapenda sana?

 
Ukitaka kupata uhalisia siku zote angalia population density yaani idadi ya watu kwa Kilometa za mraba, watu wangapi wanaishi kwa Square Kilometer, hapo ndiyo utajua kama Wachina ni wengi au la, kwa mfano kwa ukubwa wa China utakuta Rwanda ina watu wengi zaidi per square km kulinganisha na China.

Mfano USA ina watu zaidi ya milioni 300 unaweza kufikiri ni wengi kuliko Tanzania lkn kiuhalisia USA haina watu wengi kuliko Tanzania kama ukichukulia ukubwa wa nchi …
 
Nimekua nikiamini kuwa hakuna bara linaloifikia Afrika kwa uzuri wa kusapoti uhai, yaani vitu kama rasiliamali nyingi, hali ya hewa, ardhi yenye rutuba, maji ya kutosha(sub saharan), wanyama wengi wa kuwinda/kula nk. nk.

Pia nimekua nikiamini kuwa Afrika ndipo binadamu wa kwanza walipoishi

Lakini pia ni common knowledge kuwa binadamu angependa kuishi sehemu yenye hali ya hewa nzuri na chakula cha kutosha maana yake kuwe na ardhi nzuri ya kulima, mvua za kutosha na wanyama wa kuwinda.

Na kama wanadamu wa Kwanza waliishi Afrika,; bara lenye kila kitu walichokihitaji hivyo basi tungetegemea wengi wasingeondoka Afrika lwa kuvuka majangwa na milima na bahari na kwenda kujazana Asia, na kwasasa ilitakiwa Afrika ndiyo ingekuwa inaongoza kwa kuwa na watu wengi.

Lakini Ukweli sio huo, Asia inaongoza kwa idadi na karibia theluthi mbili (2/3) ya watu duniani wanaishi Asia kwa ujumla ya zaidi ya Billioni 4.6 kwenye dunia ya watu bilioni 7.7

Nchi mbili tu India na China zina zaidi ya billion 2.7

Yaani nchi mbili tu duniani zilizo Asia zinanataka kulingana na mabara matatu (yaani Afrika + Ulaya + bara la Marekani kaskazini)

Ilikuwaje Asia ikawa na watu wengi hivi?

Kuna nini Asia?
Ili ujue hesabu unahitaji vitu vya kuhesabu ambapo sisi tunafunga vijiti na vizibo vya soda, hivi hauwezi kuvifunga vingi, wahindi wao waliona mbali wakachagua uwingi wa watu hivyo kila mahali wanaweza kuhesabu zaidi ya elfu kumi, sisi ukimwambia mtu aandike elfu kumi ataandika 1,0000! Nadhani umeona Ikulu ikisahihisha hesabu humu JF of GT's.
Watanzania tuko kiduchu hatujui kuhesabu wahindi wako wengi sana wanajua kuhesabu.
 
Kwa sababu historia yao NI ya tangu zamani Sana kipindi Kuna small kingdoms..soma historia utajifunza
 
Ukitaka kupata uhalisia siku zote angalia population density yaani idadi ya watu kwa Kilometa za mraba, watu wangapi wanaishi kwa Square Kilometer, hapo ndiyo utajua kama Wachina ni wengi au la, kwa mfano kwa ukubwa wa China utakuta Rwanda ina watu wengi zaidi per square km kulinganisha na China.

Mfano USA ina watu zaidi ya milioni 300 unaweza kufikiri ni wengi kuliko Tanzania lkn kiuhalisia USA haina watu wengi kuliko Tanzania kama ukichukulia ukubwa wa nchi …
Kwahyo population density ya Asia ni ndogo ukilinganisha na Afrika?
 
Wao wameishi wakiwa na ujamaa sasa na Ili uweze kutawala lazima uwe na jeshi mkubwa so kwa vyovyote mtaji ni watu
 
Wengi Sana baran Asia wanatumia Sera zao za ujamaa na kutegemeana.

Na katika ujamaa mali Ni Watu na sio vitu, tofauti na ubepari.

Afrika tuliathiriwa Sana na sera za ubepari baada TU ya ukoloni kuingia[emoji4]
 
Ukitaka kupata uhalisia siku zote angalia population density yaani idadi ya watu kwa Kilometa za mraba, watu wangapi wanaishi kwa Square Kilometer, hapo ndiyo utajua kama Wachina ni wengi au la, kwa mfano kwa ukubwa wa China utakuta Rwanda ina watu wengi zaidi per square km kulinganisha na China.

Mfano USA ina watu zaidi ya milioni 300 unaweza kufikiri ni wengi kuliko Tanzania lkn kiuhalisia USA haina watu wengi kuliko Tanzania kama ukichukulia ukubwa wa nchi …
✓Wanaokuelewa ni wale waliosoma masomo ya Geography, mathematics, basic applied mathematics na Statistics tuuuuu. Hawa wengine hawaelewi kitu apa
 
Ukitaka kupata uhalisia siku zote angalia population density yaani idadi ya watu kwa Kilometa za mraba, watu wangapi wanaishi kwa Square Kilometer, hapo ndiyo utajua kama Wachina ni wengi au la, kwa mfano kwa ukubwa wa China utakuta Rwanda ina watu wengi zaidi per square km kulinganisha na China.

Mfano USA ina watu zaidi ya milioni 300 unaweza kufikiri ni wengi kuliko Tanzania lkn kiuhalisia USA haina watu wengi kuliko Tanzania kama ukichukulia ukubwa wa nchi …
Kwa kutumia population density bado Africa ni wachache

Asia- Population density 100/km2 (260/sq mi)

Africa- Population density 36.4/km2 (94/sq mi)

Europe- Population density 72.9/km2 (188/sq mi)
 
Nimekua nikiamini kuwa hakuna bara linaloifikia Afrika kwa uzuri wa kusapoti uhai, yaani vitu kama rasiliamali nyingi, hali ya hewa, ardhi yenye rutuba, maji ya kutosha(sub saharan), wanyama wengi wa kuwinda/kula nk. nk.

Pia nimekua nikiamini kuwa Afrika ndipo binadamu wa kwanza walipoishi

Lakini pia ni common knowledge kuwa binadamu angependa kuishi sehemu yenye hali ya hewa nzuri na chakula cha kutosha maana yake kuwe na ardhi nzuri ya kulima, mvua za kutosha na wanyama wa kuwinda.

Na kama wanadamu wa Kwanza waliishi Afrika,; bara lenye kila kitu walichokihitaji hivyo basi tungetegemea wengi wasingeondoka Afrika lwa kuvuka majangwa na milima na bahari na kwenda kujazana Asia, na kwasasa ilitakiwa Afrika ndiyo ingekuwa inaongoza kwa kuwa na watu wengi.

Lakini Ukweli sio huo, Asia inaongoza kwa idadi na karibia theluthi mbili (2/3) ya watu duniani wanaishi Asia kwa ujumla ya zaidi ya Billioni 4.6 kwenye dunia ya watu bilioni 7.7

Nchi mbili tu India na China zina zaidi ya billion 2.7

Yaani nchi mbili tu duniani zilizo Asia zinanataka kulingana na mabara matatu (yaani Afrika + Ulaya + bara la Marekani kaskazini)

Ilikuwaje Asia ikawa na watu wengi hivi?

Kuna nini Asia?
Hao hawapangiwi pa kumwagia
 
Back
Top Bottom