Kwanini baraka zinamiminika Zambia na siyo Tanzania

Kwanini baraka zinamiminika Zambia na siyo Tanzania

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheshimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhutubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Kisa ni ule uzalendo wetu wa kitanzania
 
Huyo wa Zambia anataka haki zaidi na amepambana kufikia alipo
Wa kwetu alikuwemo kwenye system kwa hiyo hakuna jipya labda abadilishe zaidi

Hata Magu alijulikana dunia nzima mpaka Brazil hata Bangladesh na kote ingawa alikuwa ni zao la humo ila alikuwa na uchungu na system ilivyo
Akaja na mbinu mpya na watu wakafurahi kweli kweli

Ila alibadilika na furaha ya watu akaifanya ikawa kilio kwa wengi na dunia ikamsusa tena

Hata huyo usitegemee atakuwa hivyo mda wote
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Wale mabalozi wanao hudhuria kesi ya Mbowe wana zi-feed nchi zao kila kitu, kuwa Chief Hagaya si mwanademokrasia wakweli bali ni mwigizaji
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Tanzania ina ongozwa na Siro kubambikia watu kesi. Na kuzuia mikutano halali ya vyama vya siasa.
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Bora maana angepokelewa Kama Hichilema tusingekunywa maji
 
Anatawala kwa haki, hana visasi, hana kinyongo na watesi wake..hana kinyongo na chama alichokitoa madarakani.

Alisema hatutawatesa watesi wetu maana tukifanya hivyo hatutakuwa tofauti na wao..

Ni muwazi na mtu wa Dini sana.....

Lakini Nyuma ya Pazia kwenye utawala wa Lungu Zambia ilikuwa kama Jamhuri ndogo ya China, maana kila kitu walipewa Wachina...Sasa Wazungu wapo kwenye mikakati ya kuirudisha Zambia kwenye himaya yao....
 
kwa sababu kama angealikwa mama Samia basi wapigania legacy ya mwendazake, humu jf na kwingineko, kwa kushirikiana na 'ushuzi' ya uongozi ya humphey polepole, husema kuwa nchi inauzwa kwa mabeberu....husema kuwa hiyo ni kazi ya jk.......husema kuwa wazungu ni mabeberu na hawana nia njema na nchi yetu......huuliza mbona jpm (r.i.p) hakwenda huko? (kwao wao ni jambo la maana kuwa na mawazo yanayofanana taifa lote hili).

kwa sababu hizo, acha hichilema aitwe kwani hatusikii ikisemwa (na hao wapigania legacy) kuwa yeye anaiuza zambia, bali tunasikia sifa njema za hatua hiyo!! kuweni viongozi wadau, nchi nzuri sana hii kutawala ukijua kuzitumia vyema hizi ngolowanje za wabongo.
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?

Laana Ya Free Man Inaendelea Kuwatafuna,
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Ngombe wa masikini siku zote hazai,wewe huoni hata UK wameiondoa Kenya kwenye red list na kuiweka kwenye amber list hivyo watalii wataanza kumiminika kenya
 
Sababu kubwa hapo ni kwamba Marekani wanataka kumchomoa Mchina pale Zambia. Zambia imefika pabaya kwa Mchina. Sasa Marekani na Uingereza hawajafurahishwa na kiasi hicho cha nguvu ya Mchina pale Zambia. Kwa hiyo lazima HH awekwe mtu kati kisawasawa.
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
Kila mtu analipwa alichopanda. Rais Samia aliingia kwa mbwembwe akiahidi kuboresha haki za watu, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru ktk vyombo vya kutoa haki kama polisi mahakama na vinginevyo. Aliishia tu ktk midomo.

Haikande Hichilema yeye ametamka bayana na kutekeleza wazi wazi.

Anastahili Pongezi. Ameendelea kuwa mfano wa kuigwa Afrika.
 
Sababu kubwa hapo ni kwamba Marekani wanataka kumchomoa Mchina pale Zambia. Zambia imefika pabaya kwa Mchina. Sasa Marekani na Uingereza hawajafurahishwa na kiasi hicho cha nguvu ya Mchina pale Zambia. Kwa hiyo lazima HH awekwe mtu kati kisawasawa.
Sio sababu. Kwani mwaka jana Mchina hakuwepo??
 
Ngombe wa masikini siku zote hazai,wewe huoni hata UK wameiondoa Kenya kwenye red list na kuiweka kwenye amber list hivyo watalii wataanza kumiminika kenya
😅😅😅jamaa umeongea kwa huzuni kweli.
 
Je, Watanzania na Wana CCM kipekee, kwanini mapokezi na mialiko anayopewa Rais wa Zambia haijakuwepo kwa Rais wetu? Nini special Zambia wamefanya kinachowaheahimisha Duniani?

Hatutamani na sisi Rais wetu angekuwa kwenye vichwa vya habari vya Dunia kama Hichelema? Mama ameikosea wapi sayari hii hadi jina la Tanzania halipo kwenye mijadala pamoja na kuhubia UN? Tumewakosea wanaokataa kutuheshimisha au Kuna Jambo la haki halipo Tanzania?
... kwa dunia ya leo kuna phrases tatu za msingi (keywords) kiongozi ukiziishi kwa kumaanisha utaheshimika duniani; DEMOKRASIA, HAKI (za binadamu), UTAWALA BORA. Heshima ya Rais wa Zambia inatokana na phrases hizo, nothing more.
 
Back
Top Bottom