Kibaki kawekwa kwenye pesa ipi hiyo?Acha uongo mbona kibaki kawekwa kwenye pesa na bado yuko hai?[/QUOTE
Kibaki kawekwa kwenye pesa ipi hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaki kawekwa kwenye pesa ipi hiyo?Acha uongo mbona kibaki kawekwa kwenye pesa na bado yuko hai?[/QUOTE
Kibaki kawekwa kwenye pesa ipi hiyo?
Mzee hapo umeua kabisa umeeleweka vyema agiza chochte nakuja kulipaMwaka 1775 wakati makoloni 13 ya Uingereza huko America yanajitangazia uhuru kutoka kwa Uingereza iliundwa Kamati ya watu 5 au The Comittee of Five iliyoundwa kuandaa mkataba wa kujitangazia Uhuru wa makoloni yao 13 au United States Declaration of Independence. Hii kamati ilihusishaKamati iliyohusika kuchagua hao watu 5 iliundwa na watu 7 waliokuwa na ushawishi mkubwa kwenye hayo makoloni 13 wakati huo. Watu hao ndio wanajulikana kama Founding Fathers of the United States nao ni
- John Adams
- Thomas Jefferson
- Benjamin Franklin
- Roger Sherman
- Robert Livingston
Hawa Founding fathers ndio walisaini mkataba kusitisha vita uliojulikana kama Treaty of Paris. Baada ya kupata uhuru wao, wakaitisha Bunge la Kwanza kabisa (United States Congress) ili kuunda serikali ya kwanza na katiba yao kuirekebisha.
- John Adams
- Benjamin Franklin
- Alexander Hamilton
- John Jay
- Thomas Jefferson
- James Madison
- George Washington
George Washington ana tambulika kama Father of the Nation sababu alikuwa Jemedari (commander in chief) wakati wa mapigano.
Baada ya kumalizika na wamepata uhuru, aliachia ngazi jeshini na sehemu zote ili Mkutano uamue nani kuwa kiongozi wa nchi yao huru sababu hakuwa anataka uongozi yeye alipigana ili wawe huru.
Lakini kutokana na mchango wake na alivyokuwa anapendwa, Electoral College waliamua kumfanya kuwa Raisi wao wa kwanza (First president of the United States of America).
Cc: hearly
Kibaki kawekwa Kurewenye pesa ipi hiyo?
Huyu nae kawekwa kwenye dollar?
Muwe mnasoma na kuelewa, Kibaki alikuwahi kuwa Raisi wa Marekani?? Pesa ya Kenya ina nguvu gani kwenye uchumi wa dunia??Acha uongo mbona kibaki kawekwa kwenye pesa na bado yuko hai?
View attachment 779687 View attachment 779687Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Faru John unamjua?Kwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Ndyo namjuaFaru John unamjua?
Umecopy and paste without hata kufanya simple google achana na research...kuna mtu mweusi kweli hapo au ulikuwa unamaanisha kitu kingine?Maraisi weusi wa marekani kabla na baada ya george washington ni hawa .
1. John Hanson (a Moo).
2. Thomas Jefferson
3. Andrew Jackson
4. Abraham Lincoln (inavyosemekana alikuwa black)
5. Warren Harding
6. Calvin Coolidge
7. Dwight E. Eisenhower
Wenzetu wanaangalia juhudi za MTU kwenye ya kitaifa, sisi nadhani tunaweka wanyama ili tutangaze maliasiliKwani sisi faru aliye kwenye elfu 5 aliwahi kuwa rais wetu? Au yule nyoka wa kwenye jero ya zamani?
Humphrey Polepole.So who discover america?